Nini chanzo cha mahari kuwa juu?

Nini chanzo cha mahari kuwa juu?

Hasham007

Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
13
Reaction score
2
Habari zenu wana JF,

Saivi kumeibuka wimbi la mahari kuwa juu kiasi ambacho vijana wengi wanashindwa kuingia katika ndoa licha ya kuwa na niya yakufanya hivyo.

Kwa uoni wangu licha ya maisha kuwa magumu lakini chanzo haswa wazee wa sasa hivi ni tofauti na wazee wa zamani.

Zamani mzee akipata pesa akijua anamtoto wa kike basi huanza kumnunulia vyombo kidogo kidogo na kuweka chini ya mvungu wa kitandani: Ikifika siku yakuolewa basi tayari anavyombo vyake vyakutosha hivyo hata mahari mtu anakuja kudaiwa machache sana.

Lakini leo wazazi wanategemea mahari yako ndio wamtafutie mtoto wao kila kitu ndio maana vigongo vya mahari huwa vikubwa mno.

Hayo ni mawazo yangu tu: Je ukiachilia hilo kuna sababu zipi nyinginezo zinazosababisha leo hii mahari yawe makubwa?
 
Kwanza;Wazazi baadhi ya wazazi wengi wamekuwa wakiongeza mambo ambayo hayana umuhimu sana,utakuta binti ametaja mahar yake ya kawaid tu lkn baada ya hapo kuna vitu hivyoooo vikiorodheshwa hapo kitu kinawezakufika kweny milion 4 na kuendelea that's too bad

Pili;Binti mwenyew kutaka ufahar,watu wajue kwamba ameolewa kwa pesa nyingi kana kwamba yeye ni mzur sana au ana kitu kinachofanya mahari yake ni kubwa

Japo siamini kama binti kuweka mahari kubwa huwa anafanya kwa ajili ya kumkomesha mwanaume Ila tu ni kama mashindano imekuwa baina ya familia,ndugu,majirani

Inapendeza zaid kukubaliana kwanza na mtarajiwa wako kiasi atakachoweza kukitoa then mtu ukifika kwa wazazi unasema tu jmn pesa yenu isizidi kias kadhaaaaaaaaa tofaut na hapo patachimbika

Mwanamke msimamo
 
Kwanza;Wazazi baadhi ya wazazi wengi wamekuwa wakiongeza mambo ambayo hayana umuhimu sana,utakuta binti ametaja mahar yake ya kawaid tu lkn baada ya hapo kuna vitu hivyoooo vikiorodheshwa hapo kitu kinawezakufika kweny milion 4 na kuendelea that's too bad

Pili;Binti mwenyew kutaka ufahar,watu wajue kwamba ameolewa kwa pesa nyingi kana kwamba yeye ni mzur sana au ana kitu kinachofanya mahari yake ni kubwa

Japo siamini kama binti kuweka mahari kubwa huwa anafanya kwa ajili ya kumkomesha mwanaume Ila tu ni kama mashindano imekuwa baina ya familia,ndugu,majirani

Inapendeza zaid kukubaliana kwanza na mtarajiwa wako kiasi atakachoweza kukitoa then mtu ukifika kwa wazazi unasema tu jmn pesa yenu isizidi kias kadhaaaaaaaaa tofaut na hapo patachimbika

Mwanamke msimamo
Wewe utanitoza sh ngapi maana nataka nijiandae
 
Usawa mgumu mkuu! Na hali hii ya mkuu wa nchi hadi VAT inawekwa kwenye mahari.
 
MKUU KAMA NDOA NI PASUA KICHWA,ACHANA NAYO FANYA ISHU NYINGINE.
 
Kwanza;Wazazi baadhi ya wazazi wengi wamekuwa wakiongeza mambo ambayo hayana umuhimu sana,utakuta binti ametaja mahar yake ya kawaid tu lkn baada ya hapo kuna vitu hivyoooo vikiorodheshwa hapo kitu kinawezakufika kweny milion 4 na kuendelea that's too bad

Pili;Binti mwenyew kutaka ufahar,watu wajue kwamba ameolewa kwa pesa nyingi kana kwamba yeye ni mzur sana au ana kitu kinachofanya mahari yake ni kubwa

Japo siamini kama binti kuweka mahari kubwa huwa anafanya kwa ajili ya kumkomesha mwanaume Ila tu ni kama mashindano imekuwa baina ya familia,ndugu,majirani

Inapendeza zaid kukubaliana kwanza na mtarajiwa wako kiasi atakachoweza kukitoa then mtu ukifika kwa wazazi unasema tu jmn pesa yenu isizidi kias kadhaaaaaaaaa tofaut na hapo patachimbika

Mwanamke msimamo
Hii ndyo the true definition of wife material
 
Mkuu jaribu kuwaulizia vizuri gigy mane na yule sanchi nadhani watakua na maelezo mazuri katika hili..
 
Back
Top Bottom