Nini asili ya huu mtazamo katika jamii?

Nini asili ya huu mtazamo katika jamii?

Tiger

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2007
Posts
1,747
Reaction score
387
Mtazamo wa kuona kuwa mwanamke ni kiumbe anayehitaji favour kama vile, kulindwa(security), kuinuliwa, kutetewa, mpaka kuwa na siku ya wanawake, siku ya kina mama, viti maalumu, makazini kupewa kipaumbele na vitu kama hivyo. Vinatoka wapi?
Ni dini siasa au tamaduni?
 
Kuanzia unaamini haya:-
1.mwanamke ni msaidizi wa mwanaume?
2.ameumbwa kwa ajili ya kumtumikia mwanaume?
Majibu yako yataongoza arguments nitakazozitoa baadaye.
 
Kuanzia unaamini haya:-
1.mwanamke ni msaidizi wa mwanaume?
2.ameumbwa kwa ajili ya kumtumikia mwanaume?
Majibu yako yataongoza arguments nitakazozitoa baadaye.

Kwanini isiwe both ways?
 
Mtazamo wa kuona kuwa mwanamke ni kiumbe anayehitaji favour kama vile, kulindwa(security), kuinuliwa, kutetewa, mpaka kuwa na siku ya wanawake, siku ya kina mama, viti maalumu, makazini kupewa kipaumbele na vitu kama hivyo. Vinatoka wapi?
Ni dini siasa au tamaduni?

Ni mfumo dume ambao umeshamirishwa zaidi na dini na tamaduni.
 
Mxiuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!! Yaani kiumbe wewe umenichefua jioni ya leo acha tu!

Yani huto tu upendeleo tunaopewa kwa kunguziwa tu machungu kinukta ndo umekuuuma sanaaaaa!

Ndo tabia gani na unafiki wa hali yajuu kujifanya umesahau/ kujisahaulisha kwa makusudi Ukweli ya kwamba Wanaume na mfumo wenu dume mmetukandamiza karne na karne na bado mnaendelea huko vijijini! Eeeeh!

Ndo nakwambia hivi dawa yenu inachemka! Acha tuchukue chukue Uraisi wa baadhi ya nchi ndo mtapoisoma namba.

Wanaume watu wabaya sanaaaa!

Pamoja na kutusulubu karne na karne ila bado hamjarizika na walivofaidi babu zenu bado na nyie mataka! Kupewe chance ya kuandika Vitabu vitakatifu ndo kutumia huo mwanya kudumisha mfumo dume?????? Na hamjatosheka bado mpaka leo mmedumisha MFUMO DUME MAMBO LEO

1. Mwanamke hana Ubini, lazima achukue wa mwanaume either baba yake au mmewe! Huwezi kuwa Ms. Lara officially! Lazima uwe Miss either baba au mume.

2.Mwanamke aliekamilika ni yule alieolewa na kudumu kwenye huo mfumo dume. Hata upate maendeleo kiuchumi vipi kama huna mume bado naonekana una kasoro.

3. Mwanaume mmoja anatembea na nyie hata 10, either mnajuana, mnahisiana, ama vovote yeye keshafaidi nyie mtajiju.

4.Mke bora si yule anaekuza uchumi bali ni yule mtumwa bora kwa mumewe na kufata matakwa ya binadamu mwenzie wa kiume na kupambana awezavyo kuvumilia coz akibaki nanyanyasika na akiondoka atazaraulika tu. No way out!

5.Mama bora ni yule asijinafasi mshahara wake na kujibanaaa ili atunze familia kuokoa jahazi ilihali mumewe anaweka heshima bar. Wanao wakiwa ovyo mumeo hawamshangai! Wanakula sahani moja na wewe tu mama.

6.Mchumba bora ni yule anaemlea Bf kama mtoto. Ukijitia akili na maarifa mengi utazeekea nyumbani.

7.Mwanamke akipata cheo katanua miguu kwa wazito, hana lolote. Hata mumewe anakuwa na mahaka na hicho cheo cha ghafla!

IFIKE MAHALI WANAUME MKUBALI KUTULIPA FIDIA KWA MAOVU YENU NA BABU ZENU MLIOTUFANYIA NA MNAYOENDELEA KUTUFANYIA. MTU ACHIE POOO! KIDOGO!
 
Kuanzia unaamini haya:-
1.mwanamke ni msaidizi wa mwanaume?
2.ameumbwa kwa ajili ya kumtumikia mwanaume?
Majibu yako yataongoza arguments nitakazozitoa baadaye.
Umenena ukweli ila sijui kama amekuelewa...!
 
Mungu mwenyewe ndo aliyetuanzishia hilo kasheshe kwa kutuita MSAIDIZI WA ADAM.
 
Kauga nasema toka moyoni, sina jibu la uhakika.

Okay, since you have an open mind, mimi sishabikii wanawake kuonekana vilema au nusu watu. Lkn pia sijafurahia historia ilivyowabeba wanaume na kubrainwash wanawake mpaka tukajiona nusu watu ambao bila mercy ya wanaume hatuwezi kitu.

Men needs women tena zaidi ya sisi tunavyowahitaji.
 
Mxiuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!! Yaani kiumbe wewe umenichefua jioni ya leo acha tu!

Yani huto tu upendeleo tunaopewa kwa kunguziwa tu machungu kinukta ndo umekuuuma sanaaaaa!

Ndo tabia gani na unafiki wa hali yajuu kujifanya umesahau/ kujisahaulisha kwa makusudi Ukweli ya kwamba Wanaume na mfumo wenu dume mmetukandamiza karne na karne na bado mnaendelea huko vijijini! Eeeeh!

Ndo nakwambia hivi dawa yenu inachemka! Acha tuchukue chukue Uraisi wa baadhi ya nchi ndo mtapoisoma namba.

Wanaume watu wabaya sanaaaa!

Pamoja na kutusulubu karne na karne ila bado hamjarizika na walivofaidi babu zenu bado na nyie mataka! Kupewe chance ya kuandika Vitabu vitakatifu ndo kutumia huo mwanya kudumisha mfumo dume?????? Na hamjatosheka bado mpaka leo mmedumisha MFUMO DUME MAMBO LEO

1. Mwanamke hana Ubini, lazima achukue wa mwanaume either baba yake au mmewe! Huwezi kuwa Ms. Lara officially! Lazima uwe Miss either baba au mume.

2.Mwanamke aliekamilika ni yule alieolewa na kudumu kwenye huo mfumo dume. Hata upate maendeleo kiuchumi vipi kama huna mume bado naonekana una kasoro.

3. Mwanaume mmoja anatembea na nyie hata 10, either mnajuana, mnahisiana, ama vovote yeye keshafaidi nyie mtajiju.

4.Mke bora si yule anaekuza uchumi bali ni yule mtumwa bora kwa mumewe na kufata matakwa ya binadamu mwenzie wa kiume na kupambana awezavyo kuvumilia coz akibaki nanyanyasika na akiondoka atazaraulika tu. No way out!

5.Mama bora ni yule asijinafasi mshahara wake na kujibanaaa ili atunze familia kuokoa jahazi ilihali mumewe anaweka heshima bar. Wanao wakiwa ovyo mumeo hawamshangai! Wanakula sahani moja na wewe tu mama.

6.Mchumba bora ni yule anaemlea Bf kama mtoto. Ukijitia akili na maarifa mengi utazeekea nyumbani.

7.Mwanamke akipata cheo katanua miguu kwa wazito, hana lolote. Hata mumewe anakuwa na mahaka na hicho cheo cha ghafla!

IFIKE MAHALI WANAUME MKUBALI KUTULIPA FIDIA KWA MAOVU YENU NA BABU ZENU MLIOTUFANYIA NA MNAYOENDELEA KUTUFANYIA. MTU ACHIE POOO! KIDOGO!

Siyo wivu dada, ni kutaka kuifikirisha jamii upya kama tulikosea mahali fulani.
Hiyo ndo sababu ya kuleta uzi.
 
Mfumo dume ambao umeshika mizizi katika tamaduni karibu zote duniani na wenye kiini cha sababu za kibaiolojia.

Kuna exception nyingi pia, kama makabila ya Afrika mashariki yenye utamaduni wa mwanamke kuolewa (kuwaoa rather) na wanaume kadhaa, au tabia kama za wahindi ambazo mwanamke anamtolea mwanamme mahari. Pamoja na matriarchal societies such as the Yao of Tanzania.
 
Asili ya kumdunisha mwanamke ni tangu mbinguni. Mungu ni mwanaume, malaika wote ni wanaume (Mikaeli na Gabriel) hata Mungu aliposema tumfanye mtu kwa mfano wetu, walimuumba Adam, mwanamke alikuja baade baada ya Adam kuonekana mpweke. Hivyo mfume dume aliuanzisha Mungu na wote wanaojaribu kupingana nao ndio hao wanaotengeneza mazingira ya kuwabeba wanawake.
 
Mfumo dume ambao umeshika
mizizi katika tamaduni karibu zote duniani na wenye kiini cha sababu za
kibaiolojia.

Kuna exception nyingi pia, kama makabila ya Afrika mashariki yenye
utamaduni wa mwanamke kuolewa (kuwaoa rather) na wanaume kadhaa, au
tabia kama za wahindi ambazo mwanamke anamtolea mwanamme mahari. Pamoja
na matriarchal societies such as the Yao of Tanzania.

Ni mifumo gani ya kibaologia inayopelekea mfumo huo? Pengine hiyo yawezakuwa ya kiasili zaidi.
 
Asili ya kumdunisha
mwanamke ni tangu mbinguni. Mungu ni mwanaume, malaika wote ni wanaume
(Mikaeli na Gabriel) hata Mungu aliposema tumfanye mtu kwa mfano wetu,
walimuumba Adam, mwanamke alikuja baade baada ya Adam kuonekana mpweke.
Hivyo mfume dume aliuanzisha Mungu na wote wanaojaribu kupingana nao
ndio hao wanaotengeneza mazingira ya kuwabeba wanawake.

Kuna ubaya wowote kufikiri tofauti na mfumo huo wa kidini?
 
Okay, since you have an open
mind, mimi sishabikii wanawake kuonekana vilema au nusu watu. Lkn pia
sijafurahia historia ilivyowabeba wanaume na kubrainwash wanawake mpaka
tukajiona nusu watu ambao bila mercy ya wanaume hatuwezi kitu.

Men needs women tena zaidi ya sisi tunavyowahitaji.

Vipi kuhusu ule usemi kuwa wanawake wako smart na wao ndio wanao-rule the game?
 
Kuna ubaya wowote kufikiri tofauti na mfumo huo wa kidini?
Ikiwa wewe unafuata dini unapaswa kuheshimu mfumo huo maana hata Mungu aliposema watu wasizini huwezi kuja na hoja ya kusema wanawake ni wengi kuliko wanaume hivyo ili kuweka ulinganifu mwanaume mmoja anaweza kuwa na wanawake wengi, ila kwa ugumu wa shingo za wanadamu mambo hayo hufanyika.
 
Back
Top Bottom