Nimesoma hadi hapa, ghafla nikashikwa na tumbo la kuhara.Nimesikia kuwa Lissu Muda si mlefu anarudi na tiketi kasha kata.
Nimesoma hadi hapa, ghafla nikashikwa na tumbo la kuhara.Nimesikia kuwa Lissu Muda si mlefu anarudi na tiketi kasha kata.
Ngoja nihakikishe kwanza kama wewe ni kundi "letu" CDM maana unaweza kuwa unatu- bluff! -ridicule! then nitarudi kukupongeza au "kukutukana"Hi Guys
I hope mko poa,,, Right,,??
Okay, Good.
Ni ukweli ulio wazi kuwa Nchi hii hakuna mtu mwenye ushawishi kisiasa zaidi ya lissu,Naweza kumwita ndo mfalme wa sheria na siasa kwenye ukanda huu,Japo najua huu ni ukweli mchungu kwa CCM,Ukatae,ukubali ila huo ndo ukweli.
Lissu Toka apatwe na majanga Yale ya kupigwa risasi naweza kusema jina lake limezidi kuwa kubwa,Naweza kusema ukichukua viongoz wale wa juu wa CCM watano ukiwajumlisha kwa pamoja ndo unaweza kupata nusu ya Lissu,Namlinganisha Lissu na viongoz wa CCM siyo kwa ubaya Bali ni Kutokana na Chama cha Lissu (CDM) kuwa ndo chama kikuu cha upinzan cha CCM so kulinganisha siyo mbaya.
Nimesikia kuwa Lissu Muda si mlefu anarudi na tiketi kasha kata,Mimi kama Mtanzania niliye paza sauti na watanzania wengi kipindi amekutwa na majanga yale ,Nimeona Huyu mfalme anastahili kupokelewa kishujaa,Tena ikiwezekana CHADEMA wawatangazie na kuwaandaa watz vitu vya kutayarisha.
Haya ni mambo Makuu viongozi wa CHADEMA wanapaswa kufanya siku ya kumpokea Mfalme Lissu,
👉Wawatangazie Watazania Ni aina gani ya suti tutavaa,Hii ni kwa wanawake na wanaume wote.
👉Atafika siku,Tarehe na Muda gani,
👉Kama uongozi wa CDM hamna gari la kifahari la kumpokelea Lissu pale Airport mtuambie mapema
watz tuko tayari kuchangia Hata la kukodi.
👉Muombe kibali mapema serikalini cha kumpokea Lissu mana itakuwa zaidi ya mafuriko.
👉Gari la kumpokea mfalme Lissu pale Airport lisiwekewe Hata tone la mafuta mana vijana tuko tayari kulisukuma kuelekea popote Lissu atakapo kuwa ana elekea.
KARIBU MFALME LISSU.
Kazi tunafanya vyeo hatupandi, wateja hamna hela imepotea, kodi juu si bora tumsubirie mheshimiwa.yaani watanzania baadhi mnaakili za kule kwenye chakula cha inzi maana mnafikiria vitu vinavyotoa harufu mbaya akili zenu zingekuwa kichwani msingefikiria mambo ya kipuuzi kama kumpokea msaliti wa nchi tobo lissu wa nini siangebaki tu huko na ujinga wake acheni umburura huo fanyeni kazi
Uzi bora kwa mwezi huuu mwishoni mwa July.Hi Guys
I hope mko poa,,, Right,,??
Okay, Good.
Ni ukweli ulio wazi kuwa Nchi hii hakuna mtu mwenye ushawishi kisiasa zaidi ya lissu,Naweza kumwita ndo mfalme wa sheria na siasa kwenye ukanda huu,Japo najua huu ni ukweli mchungu kwa CCM,Ukatae,ukubali ila huo ndo ukweli.
Lissu Toka apatwe na majanga Yale ya kupigwa risasi naweza kusema jina lake limezidi kuwa kubwa,Naweza kusema ukichukua viongoz wale wa juu wa CCM watano ukiwajumlisha kwa pamoja ndo unaweza kupata nusu ya Lissu,Namlinganisha Lissu na viongoz wa CCM siyo kwa ubaya Bali ni Kutokana na Chama cha Lissu (CDM) kuwa ndo chama kikuu cha upinzan cha CCM so kulinganisha siyo mbaya.
Nimesikia kuwa Lissu Muda si mlefu anarudi na tiketi kasha kata,Mimi kama Mtanzania niliye paza sauti na watanzania wengi kipindi amekutwa na majanga yale ,Nimeona Huyu mfalme anastahili kupokelewa kishujaa,Tena ikiwezekana CHADEMA wawatangazie na kuwaandaa watz vitu vya kutayarisha.
Haya ni mambo Makuu viongozi wa CHADEMA wanapaswa kufanya siku ya kumpokea Mfalme Lissu,
👉Wawatangazie Watazania Ni aina gani ya suti tutavaa,Hii ni kwa wanawake na wanaume wote.
👉Atafika siku,Tarehe na Muda gani,
👉Kama uongozi wa CDM hamna gari la kifahari la kumpokelea Lissu pale Airport mtuambie mapema
watz tuko tayari kuchangia Hata la kukodi.
👉Muombe kibali mapema serikalini cha kumpokea Lissu mana itakuwa zaidi ya mafuriko.
👉Gari la kumpokea mfalme Lissu pale Airport lisiwekewe Hata tone la mafuta mana vijana tuko tayari kulisukuma kuelekea popote Lissu atakapo kuwa ana elekea.
KARIBU MFALME LISSU.
Mkombozi pekee wa nchi hii ni Lissu, ukubali ukatae huo ndio ukweli. Wengine walafi na roho mbaya tu.Kazi tunafanya vyeo hatupandi, wateja hamna hela imepotea, kodi juu si bora tumsubirie mheshimiwa.
Pohamba sema ukweli Ushawishi wa Bunduki na sasa umehamia kwenye Matunguli ya Ushirombo! HahahahhaaaEti hakuna mwenye ushawishi zaid ya Lissu
Rais ndio mwenye ushawish zaid
Mkuu usipingane na ukwleli.utajiumiza kichwa tu, Lissi ni zaidi ya top five za huko ccmwewe na Lisu wote ni washenzi tu,atapokelewa kama parcel tu hapa nchini,saliti hilo
Inawezekana akawa mfalme juha 🤣🤣[emoji1] [emoji1] labda mfalme juha
Hizi hasira za mkizi zinatikana na stress, mkuu vyuma vimekukazia kama vya Lengai Sebayayaani watanzania baadhi mnaakili za kule kwenye chakula cha inzi maana mnafikiria vitu vinavyotoa harufu mbaya akili zenu zingekuwa kichwani msingefikiria mambo ya kipuuzi kama kumpokea msaliti wa nchi tobo lissu wa nini siangebaki tu huko na ujinga wake acheni umburura huo fanyeni kazi
Jiangalie utakuwa umeingiziwa kitu huko.Nimesoma hadi hapa, ghafla nikashikwa na tumbo la kuhara.
ULIVYO NA MDOMO MCHAFU ZAIDI YA CHOO CHA TANDALE KWA HIYO UMEUMIA KUSIKIA LISSU ANAKUJA LOL? KAMA AK 47 ILISHINDWA BASI TAMBUA UPO UPANDE WA KUSHINDWAyaani watanzania baadhi mnaakili za kule kwenye chakula cha inzi maana mnafikiria vitu vinavyotoa harufu mbaya akili zenu zingekuwa kichwani msingefikiria mambo ya kipuuzi kama kumpokea msaliti wa nchi tobo lissu wa nini siangebaki tu huko na ujinga wake acheni umburura huo fanyeni kazi
Nani kakwambia atatua Dar. Mwendo wa Chattle!Siku Lissu anatua lazima litazuka jambo tu.......tunaweza kuambiwa ni siku ya usafi Dar, wanawake kwa waume wote ni mwendo wa mafagio -- fitna hainaga aibu aisee!!
Kweli?Ninaunga mikono na miguu
Sema humwamini siyo hawamwamin.Nimesoma mistari miwili tu ya juu ikanipa mwelekeo wote wa fikra zako.
Mtu mwenye ushawishi wa kisiasa nchini anajificha mbali na nchi yake akitafuta kuungwa mkono na 'weupe' kwa sababu anatambua kwamba nyumbani watu hawamwamini.
Tutasherehekea atakapokua rais wa JMTKweli?
Suti na Magari ya Fahari, ya nini hayo?
Kusukuma gari?
Jameni jameni CHADEMA, natumaini mnao ma'thik tank' zaidi ya hawa huko! Hii CHADEMA mbona ni kama haikusinyaa tu bali inapungua? Kuna jambo kule, sio bure hii!
Ukweli ni kwamba hapatakuwepo na mapokezi rasmi yatakayoruhusiwa kumpokea Tundu Lissu atakaporejea nyumbani, ya nini kuendelea kujihangaisha na jambo lililo wazi badala ya kutafuta njia zingine zinazofaa kumwonyesha heshima hiyo? Andaeni mipango ambayo hawana uwezo wa kuizuia. Mojawapo ni kuvaa T-shirts za kumwombea Tundu Lissu. Kila atakayevaa aendelee na shughuli zake popote alipo. Wakitaka kuwakusanya wote waliovaa T-shirts hizo siku hiyo, hilo liwe ni shauri yao, nyinyi haiwahusu zaidi ya kuchukua na kuweka ushahidi wa kumbukumbu za ukusanyaji wa watu hao.
Wekeni mikakati na Wahamasisheni watu wawe tayari kwa mapoke hayo makubwa.
Hapo sawa.Tutasherehekea atakapokua rais wa JMT
Bora ujikalie zako ndan kama akija siku hyo,maana mtapigwa hadi mchakaeNa Mimi naunga mkono hoja.