Ningependa Tundu Lissu apokelewe hivi

Ningependa Tundu Lissu apokelewe hivi

Eti hakuna mwenye ushawishi zaid ya Lissu

Rais ndio mwenye ushawish zaid
Ushawishi wa kuteka, kupiga risasi, kuua na kuweka miili ya raia wenye maoni kinzani kwenye viroba au ule wa kununua wapinzani? Kilangila.
 
Hi Guys

I hope mko poa,,, Right,,??

Okay, Good.

Ni ukweli ulio wazi kuwa Nchi hii hakuna mtu mwenye ushawishi kisiasa zaidi ya lissu,Naweza kumwita ndo mfalme wa sheria na siasa kwenye ukanda huu,Japo najua huu ni ukweli mchungu kwa CCM,Ukatae,ukubali ila huo ndo ukweli.

Lissu Toka apatwe na majanga Yale ya kupigwa risasi naweza kusema jina lake limezidi kuwa kubwa,Naweza kusema ukichukua viongoz wale wa juu wa CCM watano ukiwajumlisha kwa pamoja ndo unaweza kupata nusu ya Lissu,Namlinganisha Lissu na viongoz wa CCM siyo kwa ubaya Bali ni Kutokana na Chama cha Lissu (CDM) kuwa ndo chama kikuu cha upinzan cha CCM so kulinganisha siyo mbaya.

Nimesikia kuwa Lissu Muda si mlefu anarudi na tiketi kasha kata,Mimi kama Mtanzania niliye paza sauti na watanzania wengi kipindi amekutwa na majanga yale ,Nimeona Huyu mfalme anastahili kupokelewa kishujaa,Tena ikiwezekana CHADEMA wawatangazie na kuwaandaa watz vitu vya kutayarisha.

Haya ni mambo Makuu viongozi wa CHADEMA wanapaswa kufanya siku ya kumpokea Mfalme Lissu,

👉Wawatangazie Watazania Ni aina gani ya suti tutavaa,Hii ni kwa wanawake na wanaume wote.

👉Atafika siku,Tarehe na Muda gani,

👉Kama uongozi wa CDM hamna gari la kifahari la kumpokelea Lissu pale Airport mtuambie mapema
watz tuko tayari kuchangia Hata la kukodi.

👉Muombe kibali mapema serikalini cha kumpokea Lissu mana itakuwa zaidi ya mafuriko.

👉Gari la kumpokea mfalme Lissu pale Airport lisiwekewe Hata tone la mafuta mana vijana tuko tayari kulisukuma kuelekea popote Lissu atakapo kuwa ana elekea.


KARIBU MFALME LISSU.
Naunga mkono hoja, tena napenda kuongezeapo kidogo tu ili kunogesha mapokezi ya "MFALUME TINDIKALI SULI"

1. Siku hiyo itangazwe kuwa ni ya mapumziko.

2. Wananchi wote wapenda amani tutangaziwe kubaki majumbani.

3. Serikali iwaandae vijana wake wa JESHI LA POLISI na wale waliopo kwenye mafunzo ya polisi pale CCP Moshi, wawapatie mabomu ya kutosha ya machozi, viRungu VIPYA, magari ya washawasha mapya yaliyojaa FULU TENKI, ma landikuruza ya kutosha. Askali hawa wa jeshi la polisi wajipange kuanzia pale uwanja wa ndege hadi mjini.

4. Kisha hao wote watakaokuwa wamevaaa hizo suti anazoulizia jamaa ziwe za aina gani waanze kushughulikwa palepale EAPOTI.

5. Pia serikali isisahau kupunguza mahabusu wasiokuwa na kesi kubwa kubwa ili ipatikane nafasi kubwa ya kuwahifadhi mahabusu wapya wa mapokezi ya
MUFALUME TINDU SILU.

MY TAKE:


Na kwa mapendekezo haya yote pamoja na wadau wengine watakaochangia huu uzi. NAdhani tutakuwa na mapokezi makubwa saaana yenye mafanikio ya MUFALUME WETU TINDU SULI
 
Unamdhalilishaga sana huyo mwanajeshi kwenye avatar yako, siku akirudi akakamatwa ndio utakuwa mwisho wa utawala wa Magufuli kwa sababu atauthibitishia umma wa Tanzania na Dunia kuwa yeye ni katili
.
Mark my word alafu pia weka avatar nyingine toa hiyo
Rais Magufuli Mungu akipenda atakaa miaka 10 kama watz walivyoamua awe Rais wao kwa makubwa anayowatendea kila kukicha
 
Rais Magufuli Mungu akipenda atakaa miaka 10 kama watz walivyoamua awe Rais wao kwa makubwa anayowatendea kila kukicha
Mbona mimi ni mTanzania na simtaki hao watz walioamua tayari ni wawapi?
 
angalia mikutano yake utajua watanzania wanaomkubali
Kwanini kazuia mikutano ya wanasiasa wa upinzani ili tupime upepo nani anakubalika na Watanzania wengi?
.
Kwa sababu sasa hivi huwezi kusema Magufuli anajaza kwenye mikutano ambayo kimsingi si ya siasa ni ya kiserikali kuwa eti anakubalika na hao watz mambute wameshampa urais wakati wengine kawazuia yani ni sawa na darasani mtihani anafanya peke yake unategemea wa kwanza atakuwa nani wakati hana washindani?
.
Hiyo avatar toa unaidhalilisha mno
 
Hi Guys

I hope mko poa,,, Right,,??

Okay, Good.

Ni ukweli ulio wazi kuwa Nchi hii hakuna mtu mwenye ushawishi kisiasa zaidi ya lissu,Naweza kumwita ndo mfalme wa sheria na siasa kwenye ukanda huu,Japo najua huu ni ukweli mchungu kwa CCM,Ukatae,ukubali ila huo ndo ukweli.

Lissu Toka apatwe na majanga Yale ya kupigwa risasi naweza kusema jina lake limezidi kuwa kubwa,Naweza kusema ukichukua viongoz wale wa juu wa CCM watano ukiwajumlisha kwa pamoja ndo unaweza kupata nusu ya Lissu,Namlinganisha Lissu na viongoz wa CCM siyo kwa ubaya Bali ni Kutokana na Chama cha Lissu (CDM) kuwa ndo chama kikuu cha upinzan cha CCM so kulinganisha siyo mbaya.

Nimesikia kuwa Lissu Muda si mlefu anarudi na tiketi kasha kata,Mimi kama Mtanzania niliye paza sauti na watanzania wengi kipindi amekutwa na majanga yale ,Nimeona Huyu mfalme anastahili kupokelewa kishujaa,Tena ikiwezekana CHADEMA wawatangazie na kuwaandaa watz vitu vya kutayarisha.

Haya ni mambo Makuu viongozi wa CHADEMA wanapaswa kufanya siku ya kumpokea Mfalme Lissu,

👉Wawatangazie Watazania Ni aina gani ya suti tutavaa,Hii ni kwa wanawake na wanaume wote.

👉Atafika siku,Tarehe na Muda gani,

👉Kama uongozi wa CDM hamna gari la kifahari la kumpokelea Lissu pale Airport mtuambie mapema
watz tuko tayari kuchangia Hata la kukodi.

👉Muombe kibali mapema serikalini cha kumpokea Lissu mana itakuwa zaidi ya mafuriko.

👉Gari la kumpokea mfalme Lissu pale Airport lisiwekewe Hata tone la mafuta mana vijana tuko tayari kulisukuma kuelekea popote Lissu atakapo kuwa ana elekea.


KARIBU MFALME LISSU.
jitaje mwenyewe
 
Kwanini kazuia mikutano ya wanasiasa wa upinzani ili tupime upepo nani anakubalika na Watanzania wengi?
.
Kwa sababu sasa hivi huwezi kusema Magufuli anajaza kwenye mikutano ambayo kimsingi si ya siasa ni ya kiserikali kuwa eti anakubalika na hao watz mambute wameshampa urais wakati wengine kawazuia yani ni sawa na darasani mtihani anafanya peke yake unategemea wa kwanza atakuwa nani wakati hana washindani?
.
Hiyo avatar toa unaidhalilisha mno
Umewahi kuliona Taifa gani kampeni za uchaguzi hazina ratiba.
Lazima utakuwa hata Kenya haujafika.
 
Mburura mama yako
yaani watanzania baadhi mnaakili za kule kwenye chakula cha inzi maana mnafikiria vitu vinavyotoa harufu mbaya akili zenu zingekuwa kichwani msingefikiria mambo ya kipuuzi kama kumpokea msaliti wa nchi tobo lissu wa nini siangebaki tu huko na ujinga wake acheni umburura huo fanyeni kazi
 
N
Hi Guys

I hope mko poa,,, Right,,??

Okay, Good.

Ni ukweli ulio wazi kuwa Nchi hii hakuna mtu mwenye ushawishi kisiasa zaidi ya lissu,Naweza kumwita ndo mfalme wa sheria na siasa kwenye ukanda huu,Japo najua huu ni ukweli mchungu kwa CCM,Ukatae,ukubali ila huo ndo ukweli.

Lissu Toka apatwe na majanga Yale ya kupigwa risasi naweza kusema jina lake limezidi kuwa kubwa,Naweza kusema ukichukua viongoz wale wa juu wa CCM watano ukiwajumlisha kwa pamoja ndo unaweza kupata nusu ya Lissu,Namlinganisha Lissu na viongoz wa CCM siyo kwa ubaya Bali ni Kutokana na Chama cha Lissu (CDM) kuwa ndo chama kikuu cha upinzan cha CCM so kulinganisha siyo mbaya.

Nimesikia kuwa Lissu Muda si mlefu anarudi na tiketi kasha kata,Mimi kama Mtanzania niliye paza sauti na watanzania wengi kipindi amekutwa na majanga yale ,Nimeona Huyu mfalme anastahili kupokelewa kishujaa,Tena ikiwezekana CHADEMA wawatangazie na kuwaandaa watz vitu vya kutayarisha.

Haya ni mambo Makuu viongozi wa CHADEMA wanapaswa kufanya siku ya kumpokea Mfalme Lissu,

👉Wawatangazie Watazania Ni aina gani ya suti tutavaa,Hii ni kwa wanawake na wanaume wote.

👉Atafika siku,Tarehe na Muda gani,

👉Kama uongozi wa CDM hamna gari la kifahari la kumpokelea Lissu pale Airport mtuambie mapema
watz tuko tayari kuchangia Hata la kukodi.

👉Muombe kibali mapema serikalini cha kumpokea Lissu mana itakuwa zaidi ya mafuriko.

👉Gari la kumpokea mfalme Lissu pale Airport lisiwekewe Hata tone la mafuta mana vijana tuko tayari kulisukuma kuelekea popote Lissu atakapo kuwa ana elekea.


KARIBU MFALME LISSU.
Nonsense
 
Hi Guys

I hope mko poa,,, Right,,??

Okay, Good.

Ni ukweli ulio wazi kuwa Nchi hii hakuna mtu mwenye ushawishi kisiasa zaidi ya lissu,Naweza kumwita ndo mfalme wa sheria na siasa kwenye ukanda huu,Japo najua huu ni ukweli mchungu kwa CCM,Ukatae,ukubali ila huo ndo ukweli.

Lissu Toka apatwe na majanga Yale ya kupigwa risasi naweza kusema jina lake limezidi kuwa kubwa,Naweza kusema ukichukua viongoz wale wa juu wa CCM watano ukiwajumlisha kwa pamoja ndo unaweza kupata nusu ya Lissu,Namlinganisha Lissu na viongoz wa CCM siyo kwa ubaya Bali ni Kutokana na Chama cha Lissu (CDM) kuwa ndo chama kikuu cha upinzan cha CCM so kulinganisha siyo mbaya.

Nimesikia kuwa Lissu Muda si mlefu anarudi na tiketi kasha kata,Mimi kama Mtanzania niliye paza sauti na watanzania wengi kipindi amekutwa na majanga yale ,Nimeona Huyu mfalme anastahili kupokelewa kishujaa,Tena ikiwezekana CHADEMA wawatangazie na kuwaandaa watz vitu vya kutayarisha.

Haya ni mambo Makuu viongozi wa CHADEMA wanapaswa kufanya siku ya kumpokea Mfalme Lissu,

👉Wawatangazie Watazania Ni aina gani ya suti tutavaa,Hii ni kwa wanawake na wanaume wote.

👉Atafika siku,Tarehe na Muda gani,

👉Kama uongozi wa CDM hamna gari la kifahari la kumpokelea Lissu pale Airport mtuambie mapema
watz tuko tayari kuchangia Hata la kukodi.

👉Muombe kibali mapema serikalini cha kumpokea Lissu mana itakuwa zaidi ya mafuriko.

👉Gari la kumpokea mfalme Lissu pale Airport lisiwekewe Hata tone la mafuta mana vijana tuko tayari kulisukuma kuelekea popote Lissu atakapo kuwa ana elekea.


KARIBU MFALME LISSU.
Iko vizuri hiyo karibu sana nyumbani kamanda lisu
 
Rais Magufuli...
  • Nchi yetu ni tajiri, Watanzania tunaweza,
  • Jengo hili limegharimu Mabilioni ya fedha zaidi ya bilioni 700,
  • Fedha hizi zimetolewa na Watanzania kwa asilimia 100%,
  • Ambapo asilimia 15% fedha taslimu na 85% tumekopa ,
  • Na mkopo huu utarejeshwa kupitia kodi zetu
Masikini Tanzania, bila shaka hata ndege tulizinunua kwa taratibu hizi hizi...! Kumbe ndio maana deni linazidi kupaa na nyongeza ya mishahara imekwama!
Madaraka wamepewa washamba
 
Umewahi kuliona Taifa gani kampeni za uchaguzi hazina ratiba.
Lazima utakuwa hata Kenya haujafika.
Sijakuelewa, suala la ratiba za uchaguzi mbona mimi sijalizungumzia kokote ulikuwa umevuta bange wakati unaninukuu?
 
Back
Top Bottom