Ningekuwa Mimi

Ningekuwa Mimi

Mawazo finyu na duni sana. Katiba ya mwaka 1977 inatungenezea majizi na majambazi yaliyo madarakani
Ukweli ndiyo huo yoyote yule lazima ajilimbikizie mali, una mfuko ambao matumizi yake hayakaguliwi na CAG kwa nini nisijilmbizie mali...

Hakuna wa kukuhoji wala kukushtaki hata ukistaafu... Aisee tumbo langu kwanza..
 
1. Kufanya mwezi kama Natural satellite
2. Kuactivate Nyota ya Jupiter na Saturn ziwake kama jua ili kuyeyusha barafu sayar ya Neptune, pluto na Uranus.
3. Tanzania tutatengeneza Artificial ozone layer na kwenda kupandwa sayar nyingne.
4. Msisitizo kwenye Elimu ya Anga, wazungu wamepotosha sana. Sayar ziko 4 tu.
5. Kuactivate nyota ambazo haziko active (black holes).

Ni Sera za Rais wetu, sisi ni wajumbe tu.
min -me Shimba ya Buyenze MamaSamia2025 Tajiri Sina BAYA dosho12 imhotep
Akili zako yani watu wako hawana choo wala uhakikia wa chakula,hospitali watu wanakufa kama nzi upoteze hela kwenye sayansi ya anga au sio??
 
Akili zako yani watu wako hawana choo wala uhakikia wa chakula,hospitali watu wanakufa kama nzi upoteze hela kwenye sayansi ya anga au sio??
Mkuu unamuhukumu bure huyo ni mjumbe tu, mgombea wake ni huyu hapa.
Screenshot_20250508_153450_Video Player.jpg
 
🤣🤣🤣🤣
Inawezekana maana kuna uzi mmoja alijitokeza member ambae anamfahamu, wakaongea kidogo vile ambavyo waliishi shule, huyo member alimshanga Mr president kwanini yupo kwenye hali ile.
Pengine ni kweli hayo ya Imhopet.
Kama wamemuwahi itasaidia sana maana mambo ni magumu. Deogratias Kisandu wetu alianza hivi hivi tunamuona anabadilisha majina tukadhani utani. Tungemuwahi asingefika huko alikofika!

20250508_155927.png
 
Kama wamemuwahi itasaidia sana maana mambo ni magumu. Deogratias Kisandu wetu alianza hivi hivi tunamuona anabadilisha majina tukadhani utani. Tungemuwahi asingefika huko alikofika!

View attachment 3327991
Duh, huyu Kisandu sikuwahi kumjua kabla nimemjua juzi baada ya kuibuka bwana Dennis, ngoja nione kama bwana Dennis mwenyewe kaandika chochote leo.
 
Wanajamvi poleni na mihangaiko ya kila siku, mambo ni mengi kwenye nchi hii, hekaheka kibao, wengine wanafatilia kesi ya Lissu, wengine Bunge la Dodoma, wengine Bunge la Ulaya (EU), wengine Simba na Yanga, mambo ni Mengi.

Ungepata nafasi ya kuwa Rais wa Tanzania, ni mambo gani mazuri matano ungeyafanya ili ukumbukwe hata ukiwa kaburini?
1746711678595.png
 
Wanajamvi poleni na mihangaiko ya kila siku, mambo ni mengi kwenye nchi hii, hekaheka kibao, wengine wanafatilia kesi ya Lissu, wengine Bunge la Dodoma, wengine Bunge la Ulaya (EU), wengine Simba na Yanga, mambo ni Mengi.

Ungepata nafasi ya kuwa Rais wa Tanzania, ni mambo gani mazuri matano ungeyafanya ili ukumbukwe hata ukiwa kaburini?
1.Gas supply majumbani wananchi walipie kama LUKU na kutumia na sio mitungi kila siku!!mabomba yatapitishwa Kila nyumba ili iwe rahisi!

2.Uzalishaji wa mazao na usindikaji was mazao ya kutosha kupitia viwanda,jeshi la magereza na jkt kuwa production zone kupitia mashamba ya seriakli,hii itasaidia mfumuko wa bei na kuongeza fedha za kigeni Kwa kuuza mazao nje ya nchi!

3.Ajira za mikataba ya miaka mitano Hadi kumi performance based contracts,ajira za maisha zinatuletea irresponsibilities kwenue sector za umma pia mishahara itaboreshwa!!

4.Hakuna failures wata dahiliwa kuingia jeshini hata jeshi la polisi walau wenye diploma,degree na kuendelea,itasaidia sana usalama na utulivu wa raia was nchi yetu!!

5. Nateua Binge la katiba mpya hasa Ile rasimu ya warioba ni muhim sana ikamilike kuwa katiba mpya,mambo ya usalama yatakua ya usalama hakuna siasa!!

Hayo ni machache mengine nitasaidiwa na wenye Nia njema ya kulijenga taifa!!
 
Back
Top Bottom