Ningekuwa Jacqueline Mengi ningefanya haya kuepuka migogoro

Haya Mambo ni magumu Sana manake tunachangia kitu ambacho hatukijui.Huyo mzee hakua mjinga kuandika wosia was namba hiyo .Mengine ni sili na hakika hayatajulikana .Manake tuweza hukum kwamba mzee n mkatili kwa hatua hyo pengine hao wakubwa Alisha wapa haki yao .Ukweli usiosemwa n kwamba familia wanajua Kila kitu na kwa uwaz kwamba nani atamilik kipi lakn hapa kikichofichika n tamaa familia moja unataka kuchukua haki ya familia nyingine wakati maandishi yapo sasa ndo Mana watu wanatafuta haki mahakamani.Naludia Mzee hakua mjinga eti aondoke duniani na huku nyuma aache migogolo ya Mali hapana .Kila familia iliachiwa haki tatzo n tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Masikini tuna tabu sana, Mengi mali zake katafuta kwa jasho lake, kaamua kuwaachia watoto wake aliowapenda sana mapacha mali zake. kuna mipumbavu roho zinawauma kama mali ni zao, kama mnawapenda hao watoto wakubwa wa mengi wapeni mali zenu. mali za Mengi kaamua kuwapa mapacha
[/QUOT
 
Sheria na majungu havikai pamoja. "WOSIA WA AINA YA MENGI HAUNA NGUVU MBELE YA WAAMUZI MAKINI,LABDA AINA YA MTEITE .Licha ya mali hiyo kuwa ya Mengi na kuwa na uamuzi juu yake,BUSARA ilimtoka ktk kuamua nani apate nini.Akili yake ilikuwa matakoni alipoandika wosia huo.Si ajabu aliyemshauri pia akili ilikuwa makalioni!
 
Babaake Michael Douglas. Amefariki dola milioni 61 zote kazipeleka charity. Mwanae hajarithi chochote
Kiafrica hiyo isingekubalika. Ila Michael Douglas na yeye ana utajiri wake
 
Mods nawaombeni uzi wangu muuache una ujumbe wake peke yake

Mabinti wengi huwa tunajisahau kuweka mambo sawa mapema pale tunapojukuta tupo mikononi mwa hawa wazee Matajiri maana wengi mda wowote kukuacha mjane ni kitu cha kawaida.

Ningekuwa Jaqy mapema sana ningemshauri mzee aniwekezee biashara zangu peke yangu au aniwekezee kiasi cha fedha kwa siri katika account yoyote ya benki bila ndugu yoyote kujua.

Pia ningeachana kabisa na kufikiria biashara za mzee za zamani ambazo alianza kutafuta yeye na familia yake ningekaa nazo mbali kabisa maana mbele zingeleta mgogoro mkubwa, nisingemshauri mzee aandike wosia wowote ambao ungeleta ugomvi bali ningemshauri aniwekezee biashara zangu mapema na kiasi cha fedha benki hata asipokuwepo niendelee kusurvive na watoto.

Mzee angeondoka hapo ningekuwa na biashara zangu mwenyewe na fedha za kutosha benki, alafu sasa mali na biashara za mzee kama vituo vya habari na uwekezaji mwingine alioanza na familia yake kuutafuta ningekaa nazo mbali labda wenyewe wakubali kunipa kwa ajili ya watoto maana aibu ingewajia.

Lakini kinachomcost jaqy ni tamaa ya mali ambazo nyingine hakuzitafuta yeye Amezikuta tu na alichokosea zaidi ni kumshinikiza mzee aandae ule wosia ambao umekaa kikatili kitu ambacho kimezidi kuwakera ndugu wa marehemu hadi kufikia kwenda mahakamani, jaqy amedumu na mzee kwa miaka mitano tu lakini anataka arithi hadi vile mzee alivyoanza kutafuta na mkewe pamoja na wanawe miaka 50 iliyopita kitu ambacho hata wewe unayesoma hapa usingekubali.

Jaqy alitakiwa asome alama za nyakati mapema kwa kumshauri mzee amuwekezee biashara zake mapema, Angemshauri mzee amuwekee Fedha za watoto Benki za kutosha kimya kimya, hizi mali nyingine angewaachia ndugu tu waamue wenyewe, fikiria mzee angemuwekezea Billioni kadhaa Benki na biashara ambazo tayari alishamfungulia asingeteseka kamwe kama sasa anavyopambana na Ndugu.

Na usikute biashara alimuwekezea na fedha alimuwekezea lakini jaqy bado akawa na tamaa tu ya kutaka vyote, Tamaa ni mbaya sana jamani,Mabinti msikimbilie Utajiri wa haraka wa mali ambazo mmekuta zishatafutwa, mkipata wenza Wazee waambieni wawawekezee nyie kama nyie muaze na moja hizo mali nyingine ziacheni kwa familia waamue wenyewe wawape au wasiwape tayari mlishawekeza vya kwenu.

Hapo mtaishi kwa amani...

Sent using Jamii Forums mobile app
Endeleeni kutoa ushauri wa kuwazamisha mabinti zenu katika madimbwi wasioweza kuongelea. Raha za kula pensheni za Baba zenu mtazilipa kwa mwendo wowote ule.
 
mkuu ushauri wako ni mzuri lakn hio haiondoi ukweli kwamba familia nyingi za kiafrika ni wapumbavu au wajinga wajinga!......


ukiangalia pale watoto wale wengine wakubwa kabisa kuliko hata Jack, then watoto waliobaki ni hawa mapacha!..... kuna ulazima gani wao kugombea mali?


ule wosia mimi nilivousoma sioni kama kuna baya lolote zaidi ya mwenyewe mengi kutaka watoto wake makinda wapate pakubwa (rightly so), hata ningekua mimi ningeweza kufanya vile vile!......


kinachoonekana hapa ni wivu na aina nyingine ya mambo ya kiswahili......... nilichojifunza mimi hapa kwa sisi wanaume ni kuwa na account nyingi za siri ambao hawa ndugu na watoto wakubwa hawazijui........
Siku utakayo kufa na account nduguzako hawazijui au wanao hapo nani atakae onekana mjinga???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya Mambo ni magumu Sana manake tunachangia kitu ambacho hatukijui.Huyo mzee hakua mjinga kuandika wosia was namba hiyo .Mengine ni sili na hakika hayatajulikana .Manake tuweza hukum kwamba mzee n mkatili kwa hatua hyo pengine hao wakubwa Alisha wapa haki yao .Ukweli usiosemwa n kwamba familia wanajua Kila kitu na kwa uwaz kwamba nani atamilik kipi lakn hapa kikichofichika n tamaa familia moja unataka kuchukua haki ya familia nyingine wakati maandishi yapo sasa ndo Mana watu wanatafuta haki mahakamani.Naludia Mzee hakua mjinga eti aondoke duniani na huku nyuma aache migogolo ya Mali hapana .Kila familia iliachiwa haki tatzo n tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuondolee hisia zako hapa. Wasiwasi wako nini, siwapo mahakamani, haki itatendeka kwa kila mmoja.
 
Sheria na majungu havikai pamoja. "WOSIA WA AINA YA MENGI HAUNA NGUVU MBELE YA WAAMUZI MAKINI,LABDA AINA YA MTEITE .Licha ya mali hiyo kuwa ya Mengi na kuwa na uamuzi juu yake,BUSARA ilimtoka ktk kuamua nani apate nini.Akili yake ilikuwa matakoni alipoandika wosia huo.Si ajabu aliyemshauri pia akili ilikuwa makalioni!

We mwafrika acha ujinga, msiseme vitu kama haujui, marehemu anakushangaa

Hao watoto wakubwa aliishagawiwa urithi wao siku nyingi, tena kwa kumfungulia baba yao kesi mahakamani

Mali zikagawanywa kwa mke mkubwa, watoto wawili wakubwa na zingine akabaki nazo mengi

Alizobaki nazo Mengi ndio hizo katoa urithi kwa bi mdogo na mapacha

Msipende kusema/kulaumu usiyoyajua tena kwa kutukana kabisa
 
Sawa
yaani ukikuta mali sehem we anza na moja , machame nimetokea nawafaham



Sent using Jamii Forums mobile app
Wamachame wakoje ?
hawana masihara kwenye kudai haki zao ni wapambanaji

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Wote wapo hivyo wake kwa kiume ?
2. Wana tabia ya kuua kisa tamaa ya mali?
3. Ukioa mmachame kuna probability ya kufanikiwa kiuchumi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mods nawaombeni uzi wangu muuache una ujumbe wake peke yake

Mabinti wengi huwa tunajisahau kuweka mambo sawa mapema pale tunapojukuta tupo mikononi mwa hawa wazee Matajiri maana wengi mda wowote kukuacha mjane ni kitu cha kawaida.

Ningekuwa Jaqy mapema sana ningemshauri mzee aniwekezee biashara zangu peke yangu au aniwekezee kiasi cha fedha kwa siri katika account yoyote ya benki bila ndugu yoyote kujua.

Pia ningeachana kabisa na kufikiria biashara za mzee za zamani ambazo alianza kutafuta yeye na familia yake ningekaa nazo mbali kabisa maana mbele zingeleta mgogoro mkubwa, nisingemshauri mzee aandike wosia wowote ambao ungeleta ugomvi bali ningemshauri aniwekezee biashara zangu mapema na kiasi cha fedha benki hata asipokuwepo niendelee kusurvive na watoto.

Mzee angeondoka hapo ningekuwa na biashara zangu mwenyewe na fedha za kutosha benki, alafu sasa mali na biashara za mzee kama vituo vya habari na uwekezaji mwingine alioanza na familia yake kuutafuta ningekaa nazo mbali labda wenyewe wakubali kunipa kwa ajili ya watoto maana aibu ingewajia.

Lakini kinachomcost jaqy ni tamaa ya mali ambazo nyingine hakuzitafuta yeye Amezikuta tu na alichokosea zaidi ni kumshinikiza mzee aandae ule wosia ambao umekaa kikatili kitu ambacho kimezidi kuwakera ndugu wa marehemu hadi kufikia kwenda mahakamani, jaqy amedumu na mzee kwa miaka mitano tu lakini anataka arithi hadi vile mzee alivyoanza kutafuta na mkewe pamoja na wanawe miaka 50 iliyopita kitu ambacho hata wewe unayesoma hapa usingekubali.

Jaqy alitakiwa asome alama za nyakati mapema kwa kumshauri mzee amuwekezee biashara zake mapema, Angemshauri mzee amuwekee Fedha za watoto Benki za kutosha kimya kimya, hizi mali nyingine angewaachia ndugu tu waamue wenyewe, fikiria mzee angemuwekezea Billioni kadhaa Benki na biashara ambazo tayari alishamfungulia asingeteseka kamwe kama sasa anavyopambana na Ndugu.

Na usikute biashara alimuwekezea na fedha alimuwekezea lakini jaqy bado akawa na tamaa tu ya kutaka vyote, Tamaa ni mbaya sana jamani,Mabinti msikimbilie Utajiri wa haraka wa mali ambazo mmekuta zishatafutwa, mkipata wenza Wazee waambieni wawawekezee nyie kama nyie muaze na moja hizo mali nyingine ziacheni kwa familia waamue wenyewe wawape au wasiwape tayari mlishawekeza vya kwenu.

Hapo mtaishi kwa amani...

Sent using Jamii Forums mobile app
Jack ni tapeli tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudeal na wachaga sio simple ni watu ambao wana roho ngumu sana hususan kwenye mali au watoto huwa wapo makini sana. Shida Jacky hakutengeneza mahusiano mazuri nao kipindi hicho angekuwa na ahueni sasa. Ila ndio hivyo ana safari ndefu wachaga wasikikie hivihivi tu looooh!
 
Back
Top Bottom