The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,403
- 13,361
Kwa mbali na wamachame utajanishukuru uzeeni1. Wote wapo hivyo wake kwa kiume ?
2. Wana tabia ya kuua kisa tamaa ya mali?
3. Ukioa mmachame kuna probability ya kufanikiwa kiuchumi?
Kwa mbali na wamachame utajanishukuru uzeeni1. Wote wapo hivyo wake kwa kiume ?
2. Wana tabia ya kuua kisa tamaa ya mali?
3. Ukioa mmachame kuna probability ya kufanikiwa kiuchumi?
OkKwa mbali na wamachame utajanishukuru uzeeni
Kizaz sana
Mabinti wengi huwa tunajisahau kuweka mambo sawa mapema pale tunapojukuta tupo mikononi mwa hawa wazee Matajiri maana wengi mda wowote kukuacha mjane ni kitu cha kawaida.
yaani hakutumia akili kabisa, huwezi ukaishi na mtu kwa miaka mitano, unataka urithi vyote alivyotafuta maiaka 50 iliyopita alafu ana watoto wakubwa sasa lazima pangechimbika
jaqy ilibidi ambane mzee mapema amuwekezee mabilioni yake kimya kimya vingine atulie ndugu aibu ingewashika tu, lakini ule wosie umetibua nyuki kwenye mzinga na umeonyesha sura ya jaqy kuwa ana tamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ushauri wako ni mzuri lakn hio haiondoi ukweli kwamba familia nyingi za kiafrika ni wapumbavu au wajinga wajinga!......
ukiangalia pale watoto wale wengine wakubwa kabisa kuliko hata Jack, then watoto waliobaki ni hawa mapacha!..... kuna ulazima gani wao kugombea mali?
ule wosia mimi nilivousoma sioni kama kuna baya lolote zaidi ya mwenyewe mengi kutaka watoto wake makinda wapate pakubwa (rightly so), hata ningekua mimi ningeweza kufanya vile vile!......
kinachoonekana hapa ni wivu na aina nyingine ya mambo ya kiswahili......... nilichojifunza mimi hapa kwa sisi wanaume ni kuwa na account nyingi za siri ambao hawa ndugu na watoto wakubwa hawazijui........
Hata angeshirikisha ndugu bado liko tatizo. Si mali zote ni za mengi. Kuna za mke mkubwa. Kuna za familia sijui ukoo etc. Bado isingempa uhalali wa kurithi zote. Still.angepata anachostahili tu na basiWosia ule ugeshirikisha ndugu either kaka ama mdogo wa marehemu af jak wala asingekuwepo kikaoni apo mzee mawazo yake yangejeshimika na jak angekula kwa ubua “kifo cha maskini mambo uwa shwari ile wenye pesa ..... rip tx moshi willium
Nimecheka sana 😅😅😅😅😅😅😅😅😊😅😅😅😂😂😂😂😂 nakala moja kwa dada tafadhaliHuu ushauri ni mzuri sana.
Hakikisha ndugu zako wa kike wote wanapata nakala moja moja ya huu ushauri
Hahaha jamaa uliwazaga nini humu😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😃😃😃😃😃😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😅😅😅😅😅Unamfundisha jinsi gani angedanga kwa weredi😂😂
Ushauri wako na yanayoendelea sasaMasikini tuna tabu sana, Mengi mali zake katafuta kwa jasho lake, kaamua kuwaachia watoto wake aliowapenda sana mapacha mali zake. kuna mipumbavu roho zinawauma kama mali ni zao, kama mnawapenda hao watoto wakubwa wa mengi wapeni mali zenu. mali za Mengi kaamua kuwapa mapacha