Dah! kweli mtu hayuko nchini..
Nashauri wale watafiti wa 4:1 warudi kabisa field badala ya kuverify data walizotumia kupatia majibu!Bro uko poa lakini? Dish liko fresh kabisa?
Jf raha sanaUmevaa ndala na maguo ya ccm huku umekaa kwenye chemba ya inya
nina wasiwasi na mishale ya saa kama iko sawa,
toka sep 7, 2016 bado unadhani hapa ni fb, karibu sana
Oya bwamdogo umepotea njia.hii sio fesibuku.
[emoji23] [emoji23] ........sijui aliwaza nini hadi kupost hiii picha.
Karibu sana kijana!
hii ndio JF though umevaa manguo ya CCM
Bro uko poa lakini? Dish liko fresh kabisa?
dishi gani?
hahahahahaha upepo mkali labda limetikisika kiaina!
Hili limecheza.... Naona chenga tu.
Dishi halijakaa sawa angalia sana lisije anguka kabisa.
Ha ha ha ila kweli, na kesho tu utaskia kaja na id nyingineBado mgeni kumbuka hilo lakini
hahahahah liko chini ya mparachichi, hapo ni mwendo wa chenga tu.Bro uko poa lakini? Dish liko fresh kabisa?
Watu wengine wa ugomvi, sijapata ona.hahahahahaha upepo mkali labda limetikisika kiaina!
Mekupenda bureIla jmn tusimcheke huyu anahitaj mtu wa kumuelimisha maana ya jf, lengo la jf na kazi zake.. After all we are here for learning.. So tujaribu kumuelewesha taratibu tu ataelewa.