kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
Wadau sijasubiri niseme wazee wameniomba,ila ni nafsi yangu sasa imejiridhisha kuwa wakati umefika nami sasa nirudishe nguvu walizotumia watu wa nshara,uduru,lyamungo,masama,narumu,mronga,lambo,kisereni,mkweseko,uswoa,mkwarungo nk. kwa kunielimisha vya kutosha.ni zamu yangu sasa kuwaongoza kuijenga nchi yetu na kudai haki zetu kwa pamoja.
si kwamba Mhe Freeman ameshindwa kazi la hasha.ni kumpa nafasi aweze kufanya kazi zake ndani ya chama katika ngazi ya taifa.
wakati ukifika nitawakumbusha hapa jamvini,kwa kuja na utambulisho rasmi na sababu za mimi kuamua hilo.
najua mtapenda kujua ni chama gani? ni nani? ila muda ukifika yote mtajua.
si kwamba Mhe Freeman ameshindwa kazi la hasha.ni kumpa nafasi aweze kufanya kazi zake ndani ya chama katika ngazi ya taifa.
wakati ukifika nitawakumbusha hapa jamvini,kwa kuja na utambulisho rasmi na sababu za mimi kuamua hilo.
najua mtapenda kujua ni chama gani? ni nani? ila muda ukifika yote mtajua.