Kwa kweli hilo tatizo kubwa mkuu,maana hivi vichaka vingine wanavyoingia mashaka matupu.Hivi hawa vijana wanaoitwa wasanii wanapimaga ngoma kweli?
Ndoa ni ibada mkuu labda kama wewe ni wale wasioamini uwepo wa Mungu. Ndoa haikuwekwa na society mpaka useme unafunga ndoa kuiridhisha society.Kuoana sio lazima. Watu wengi wanaoana kwa vile wanakariri jinsi ya kuishi tu. Sio lazima ufanye kila kitu kwa vile unataka kuiridhisha society, ishi maisha yako vile unavyojisikia alimradi usivunje sheria za mahali unapoishi.
We una ndoa ngapi mpaka Leo?Ukimega chakula cha mwili tu!
Ndoa tayari!
Niko kiafrika zaidi. Guess!We una ndoa ngapi mpaka Leo?
Umeolewa na wanaume watatu hawajuaniNiko kiafrika zaidi. Guess!
You are living out of your mind...or else there is something you justifying...Kuoana sio lazima. Watu wengi wanaoana kwa vile wanakariri jinsi ya kuishi tu. Sio lazima ufanye kila kitu kwa vile unataka kuiridhisha society, ishi maisha yako vile unavyojisikia alimradi usivunje sheria za mahali unapoishi.
You are living out of your mind...or else there is something you justifying...
Hata kabla ya wazungu na waarabu kutuleta huo tunaita uislam au Ukristo...kulikua na taratibu za kurasimisha haya
Zinaa ni laana...ndo maana kabla ya mambo au mapambano watu hukatazwa zinaa hata kimila...endelea kula laana...halafu unalalamika maisha magumu...magonjwa....ajira nk
Hatar yake ni ipi?Wanawake aina ya Aunt n hatari kwa ustawi wa vijana wetu wa kiume.
Basi mi nina wake kama 40 kama ndio hivyoUkimega chakula cha mwili tu!
Ndoa tayari!
Hiko kijamaa kimekula mvuwa za kutosha huko Dubai, wacha raia wema wale mzigo yeye akitoka amuowe Masogange muuza unga mwenzake au yule mdada aliyepigwa miaka uko Uchina.Ninavyojua Aunt Ezekiel aliolewa na Sunday Demonte, hivi waliachana kweli hadi akaisho na mwanaume mwingine? Duh