Gwantwa (aunt Ezekiel) na mwanae mussa wakamilishe tu Hiyo ndoano
Madam Sky Elcat siku hiz baadhi munatutongozaga live kabisaaa yani tukiwasalimia munajibu nan mama yako unataka kuninyima nin? Yuko mmoja nimempotezea alikuwa anataka wakata jamaa yake namjua na ni Supplier wangu wa Rangi za nyumbamnapenda sana kungulia wakubwa zenu siku hizi vijana.
Heshima mjini imepotelea dirishani, usishangae binti wa form four anagombania bwana na li auntyMadam Sky Elcat siku hiz baadhi munatutongozaga live kabisaaa yani tukiwasalimia munajibu nan mama yako unataka kuninyima nin? Yuko mmoja nimempotezea alikuwa anataka wakata jamaa yake namjua na ni Supplier wangu wa Rangi za nyumba
Bint wa form four anagombania bwana ambae age yake ni umeri sawa na baba yake yani Maadili HakunaHeshima mjini imepotelea dirishani, usishangae binti wa form four anagombania bwana na li aunty
Adam na Hawa hawakufunga ndoa basi kama hivyo wao ndo walikua wazinzi wa kwanza na sisi wote ni wana haramu.. tujaribu kufikiria sio tunahukumu tu.Uzinzi ukikukolea lazima ujione uko sahihi.
Adam na Hawa hawakufunga ndoa basi kama hivyo wao ndo walikua wazinzi wa kwanza na sisi wote ni wana haramu.. tujaribu kufikiria sio tunahukumu tu.
manabii wote waliishi na wake zao bila ndoa, huo ni mfumo watu tu walijiwekea.Kwa maana hii ndoa ni nadharia na hakuna sababu ya kuwepo?hakuna upuuzi kama kuogopa kusema ukweli hasa kwenye dhambi narudia uyo Aunt anafanya zinaa na hakuna justification kwenye hili.