God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,062
uko sahihi mkuu wanawaake nao lazim wadanganywe
Mleta mada kama muwazi kuweka kinachoendelea mitaani kakiri udhaifu wake .tuijadili mada kwa pande zote,kwa upande wangu namshangaa huyu anayeng'ang'ania mume wa mtu na mtu wa kumuo kaja baada ya ya miaka mitatu atatafuta sababu ya kuwa single mother,ni rahisi kumtukana huyu jamaa lakin baadhi ya wadada wakaenda kufanya hujinga huu huu anao fanya mwenzao.
Povu limeanza kukutoka enh?chukua beseni uliweke litakusaidia kuloweka nguo badae
Yaan hilo bao lililopelekea wewe ukazaliwa bora lingemwagwa njeHua haheshimu wanawake huyu mtu,na anapenda generalization sana ndio maana nimemjibu hivyo, he is so bitter with women kama vile alitupwa chooni alivyozaliwa
Yaan hilo bao lililopelekea wewe ukazaliwa bora lingemwagwa nje
Upo heat wewe sio bureUkweli unauma, pole sio kosa langu ni kosa la aliyekutupa chooni, hizi stress peleka kwake
Ndo maana wanawake wake zenu wakiamua kuchepuka nao mnabaki kutokwa na mapovu mdomoni ninyi ndo mnawafanya nao wafanye vitu ambavyo sivyo unajisifia kabisa unamichepuko mitatu so what? Tukupigie makofi? I wish wewe ndo ungekua Mme mmoja wapo wa wale wadada walio pewa mimba na x - bwana zao.ili game iwe ngoma draw.
A man in his late thirties, boasting himself of screwing multiple women, instead of working hard to raise his two beautiful kids in the right way...
Watoto wakiharibika unaanza lawama. Hilo sio la kujisifu, unadhalilisha walio kwenye age group ya thirties.
Huyu ana masters degree