Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,623
Pole sana mpendwa, ndiyo maana kuna usemi kuwa dunia haiko fair.
Asante mpendwa....
Pole sana mpendwa, ndiyo maana kuna usemi kuwa dunia haiko fair.
Hivi hiyo avatar yako ndo umembinulia nani huo mkia wako?
Habari ya hapa ni kuwafanya michepuko wa kudumu, no upgrade
atauawa kwa masakiKweli kabisa. Auaye kwa upanga....
We punguani, na akili yako fupiHivi wewe unaesema akili zao za kuvukia balabala za kwako make kuunganisha watu wote hao akiwemo mke wako una huruma na watoto wako huogopi ukimwi unapotukana wanawake hivo unamtukana na mama ako akili yako ni ya kuvukia mtaro tu huna jipya
Wote wawili wanamakosa hasa hasa mwanaume kwasababu ndo alie mfata na kumdanganya.....na uku anajua live kuwa anamwongopea nq mdada nae anamakosa kwasababu kakubali kudinyika na mme wa mtu....
Mapovu yalikuwa yanakutoka kwa nini sasa? kama sio kwamba na wewe naye ni mchepuko wa mtu, na umemganda na jamaa anajisifia huko jinsi ambavyo anakuchezeaKm wauhitaji huo mkia sema, na km wahitaji kuwa mchepuko wangu be free
Mapovu yalikuwa yanakutoka kwa nini sasa? kama sio kwamba na wewe naye ni mchepuko wa mtu, na umemganda na jamaa anajisifia huko jinsi ambavyo anakuchezea
Btw, huo mkia wako ni tepe mno kama la kichina, nina alergy nayo
Hakyanani..... Mungu anawapenda sana wanaume
Kwahy yawezekana umeumia kwa sababu haupo tofauti na mchepuko wa jamaaOooh hata km, niliamua mwenyewe, kwa akili zangu timamu, kuwa mchepuko wa MTU,
huyo mwenzio uno mtetea ni mshenzi alotukuka, mwenye akili zake hawezi leta upuuzi km huo hapa, VIP mkewe nae km ni mchepuko, dada zake???? Ana uhakika gani km yy ni mtoto halali wa baba yake, km mama yake alikuwa mchepuko akapatika yy??? Binadamu wa sasa wamekuwa wa hovyo
Kwahy yawezekana umeumia kwa sababu haupo tofauti na mchepuko wa jamaa
Mleta mada ana michepuko minne tu na mmoja kati yao anafukuziwa na mshkaji alie serious. Kaomba ushauri, upuuzi upo wapi hapo? Hayo maswali yako mengine ni irrelevant
Wanawake wa sasa mna akili za kuvukia barabara
Hapana sio kweli. Sijui kwanini Mungu aliumba akili za wanawake hivyo. Ila nadhani lengo ni sisi kuwa-control nyie and not vice versakm za kwako
Ngoja atumbuliwe majipu atawakimbia wote haoUlivyoandika kwa masifa utafikiri mtu mwenye visima vya mafuta tanzania libya na russia..... pumba...... aaaafu kweli eti.
We ni mjinga sana, we unavyotafuta wanaume wa kukuhongwa hela ya sikukuu unajiona mjanja.
Kachukue malimao ule. Tena kimbia
Mwanaume mzima atakaaje na mwanamke mmoja?? Nyie si mnapenda hela? habari ndo hiyo, mtabaki kuwa michepuko tu
Kwahy yawezekana umeumia kwa sababu haupo tofauti na mchepuko wa jamaa
Mleta mada ana michepuko minne tu na mmoja kati yao anafukuziwa na mshkaji alie serious. Kaomba ushauri, upuuzi upo wapi hapo? Hayo maswali yako mengine ni irrelevant
Wanawake wa sasa mna akili za kuvukia barabara
We punguani, na akili yako fupi
Mtu kama anachepuka na anajali afya yake tatizo liko wapi? Wewe ndo upo kwenye hatari zaidi kuambukizwa maana ukishatanua miguu akili zako zinaganda
Bora mtaro, naweza kuuvuka kinyumenyume
Wewe huwezi kujilinganisha na wanaume hata siku moja, maana sisi hatujaumbwa kwa ajili yenu ilhali nyie mliumbwa kwa ajili yetu. Upoo?