Hah hah hah unajua kama unaropoka tu na gazeti zima ulioandika ni utumbo mtupu. Yan niwe na wivu na gold digger? naanzaje labda, halafu ulivyo na akili fupi, laki mbili unaona nyingi na unatangaza mtaa mzima. Kilichokufanya utukane ni nini? kama sio kwamba imekuuma kwa sababu we naye ni mchepuko wa mwenye michepuko anaejisifia.
Sikufuatilii ila nimekumbuka tu kwamba ulianzisha uzi wa kutafuta mwanaume wa kukuhonga na sio bf wako kama unavyosisitiza hapo. Nway zile ni stori za JF, so, siwezi kukufuatilia, please, labda nimfuatilie
Lizzlyn mwenye mvuto maana wewe unaweza kuwa ni mbibi, bonge, sura ngumu, kimbaumbau, kichwa kikubwa, miguu fito, maziwa ndala, sura mbaya, dada mawigi, meno zigzag n.k vitu nilivyo na alergy navyo.