Deogratius n
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 1,193
- 254
chepuka tu. Mabega yakipanda juu mwili chini tutakupa mbinu za kuishi kwa matumaini.
A man in his late thirties, boasting himself of screwing multiple women, instead of working hard to raise his two beautiful kids in the right way...
Watoto wakiharibika unaanza lawama. Hilo sio la kujisifu, unadhalilisha walio kwenye age group ya thirties.
We ni mjinga sana, we unavyotafuta wanaume wa kukuhongwa hela ya sikukuu unajiona mjanja.
Kachukue malimao ule. Tena kimbia
Mwanaume mzima atakaaje na mwanamke mmoja?? Nyie si mnapenda hela? habari ndo hiyo, mtabaki kuwa michepuko tu
Mabibi na mabwana,
Ni matumaini yangu hamjambo. Kuna hii drama inaendeleakatika maisha yangu na leo hii nimefikiria sana na kuamua kuanika ukweli hapajamvini ili nisikie maoni yenu nap engine wengine mkajifunza.
Mimi ni kijana in my late thirties nimeoa kwa ndoa yakanisani na nimebahatika kupata watoto wawili na mke wangu. Tunaishi Sinza nafuraha.
Ninafanya kazi kwenye shirika moja la mafuta naalhamdulillahi maisha yangu sio mabaya. Mwaka jana nilikutana na kimwana mmojaambae ni mzuri sana na baada ya purukushani za miezi kadhaa akanasa kwenyemtego wangu.
Nilimweleza ukweli kuwa nimeoa na nina familia ila sinafuraha katika ndoa yangu. Pili nimeoa huyu mke kwaajili ya wazazi wangu sababuwalitaka nimwoe hivyo kwa kuwaridhisha ndio maana niko nae.
Bibie akaniamini na akaingia kingi. Nakula mzigo kamamchepuko kwa raha zangu. Kinachoniuma maskini kuna njemba amejitokeza na anataka kumwoa huu mchepuko na bibie hataki!!!
Najisikia vibaya sana kwa sababu jamaa anampenda huyu mchepuko kwa dhati na mimi nampotezea muda wake tu na huku nina michepuke mingine mitatu zaidi yake.
Wapendwa nishaurini nifanyaje sababu napenda kuendelea kula tunda la huu mchepuko na wakati huo huo siwezi kumwacha mke wangu wa ndoa.
Najisikia guilty pia jamaa wa watu anavyohangaika kumtongoza huu mchepuko wangu na najisikia huruma sana.
Wanawake: ASIKUONGOPEE MTU. LOVE OVERCOMES? LOVE RISKS ANYTHING??? TUKIWAAMBIA TUMEOA KWA AJILI YA KUWAFURAHISHA WAZAZI TUNAWAONGOPEA MCHANA KWEUPEE. KAMA KWELI NINAMPENDA KWA DHATI HUU MCHEPUKO BASI NINGEMWACHA MKE WANGU NA KUWA NA HUU MCHEPUKO. Wakati mwingine nimeanza kuamini kuwa wanawake ni viumbe wa kudanganywa na kuchezewa.
Wenu,
Mzee wa michepuko
Heko Endelea siku ukipata ukimwi wewe, michepuko yako na mkeo uje hapa tukupe ushauri watoto wenu wataishije baada ya nyie kufariki dunia...stupid man. Unaona sifa kumbe mjinga flani tu amaizing.. Yan mimi na muona mwanaume mjanja ni yule ana mke na watoto wake halafu anafight kuwapa maisha mazuri mke na watoto...without lies an za kuanza kurukaruka na michepuko hizo ni akili za kitoto ulitakiwa ufanye hayo wakati wa ujana..ukishaitwa wewe ni baba its blessing..Lakini wewe ni Baba usiyena akili..hivi hamuoni raha familia kama za kina Baraka shelukindo au Mabeste wanavyoishi . Kuna vitu hata sio vya kujisifia kwenye public hasa unapokuwa baba wa familia fulani halafu unaendekeza uzinzi ...naona huruma kwa mke na watoto wamekosa baba mwenye upendo na familia muda ambao anatumia na vimada angetoka hata na familia au hata kuwaambia familia how proud he is to be a great dady n how he loves them...wanaume wengine wajinga sana..😕
Wanawake wengine nao pia ni wajinga sana yaani kuna mtu kajitokeza anampenda na kumthamini yeye bado anaiba mume wa watu. Kha!
Ukiona mwanamke wa hivyo ni mjinga asiyejielewa, hajiamini na hana msimamo katika maisha yake. Ukishaona mwanaume ameoa wewe wa nini..kwanini ukae usubiri for less wakati u can have plentyy ...au mwanaume kazaa na wanawake mbalimbali na wewe unajiingiza humo ili iweje.. Unapenda baby mama dramas kama kwa wengine ilishindikana wewe unalipi jipya.. I wonder nowdays rate ya single moms inakuwa kwa hali ya juu sana... Most of them unakuta hawana elimu au biashara au chanzo kizuri cha kumuingizia pesa na ukiona mwanaume wa hivyo kagandwaa ujue ana pesa...akili kwa kichwaa..
Mabibi na mabwana,
Ni matumaini yangu hamjambo. Kuna hii drama inaendeleakatika maisha yangu na leo hii nimefikiria sana na kuamua kuanika ukweli hapajamvini ili nisikie maoni yenu nap engine wengine mkajifunza.
Mimi ni kijana in my late thirties nimeoa kwa ndoa yakanisani na nimebahatika kupata watoto wawili na mke wangu. Tunaishi Sinza nafuraha.
Ninafanya kazi kwenye shirika moja la mafuta naalhamdulillahi maisha yangu sio mabaya. Mwaka jana nilikutana na kimwana mmojaambae ni mzuri sana na baada ya purukushani za miezi kadhaa akanasa kwenyemtego wangu.
Nilimweleza ukweli kuwa nimeoa na nina familia ila sinafuraha katika ndoa yangu. Pili nimeoa huyu mke kwaajili ya wazazi wangu sababuwalitaka nimwoe hivyo kwa kuwaridhisha ndio maana niko nae.
Bibie akaniamini na akaingia kingi. Nakula mzigo kamamchepuko kwa raha zangu. Kinachoniuma maskini kuna njemba amejitokeza na anataka kumwoa huu mchepuko na bibie hataki!!!
Najisikia vibaya sana kwa sababu jamaa anampenda huyu mchepuko kwa dhati na mimi nampotezea muda wake tu na huku nina michepuke mingine mitatu zaidi yake.
Wapendwa nishaurini nifanyaje sababu napenda kuendelea kula tunda la huu mchepuko na wakati huo huo siwezi kumwacha mke wangu wa ndoa.
Najisikia guilty pia jamaa wa watu anavyohangaika kumtongoza huu mchepuko wangu na najisikia huruma sana.
Wanawake: ASIKUONGOPEE MTU. LOVE OVERCOMES? LOVE RISKS ANYTHING??? TUKIWAAMBIA TUMEOA KWA AJILI YA KUWAFURAHISHA WAZAZI TUNAWAONGOPEA MCHANA KWEUPEE. KAMA KWELI NINAMPENDA KWA DHATI HUU MCHEPUKO BASI NINGEMWACHA MKE WANGU NA KUWA NA HUU MCHEPUKO. Wakati mwingine nimeanza kuamini kuwa wanawake ni viumbe wa kudanganywa na kuchezewa.
Wenu,
Mzee wa michepuko
chukwa 1000 Likes!! VUVUZELA malipo ya maovu ni hapahapa duniani, na akhera kasheshe nzito!!Mdau leo umechachamaa,ha ha ha haaa.
Mtume alishasema kuwa mkiwakaza mtakaziwa
JF where we dare talk .......
Nipe ushauri hapa live mkuu
Okay hiyo mbaya mkuu...
Ni kitu si safi kufanya inachafua roho...
Natumaini una amini katika Mungu na uumbaji.
Lakini tumepewa free will....
Bado unayo nafasi mkuu tizama upya na ufanye tafakari juu ya hiko mkuu!