Ninauza rice cooker

Ninauza rice cooker

Jenseny

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2011
Posts
1,743
Reaction score
1,743
Ninauza RICE COOKER ni mpya kabisa na unaweza kupikia wali kuanzia robo kilo hadi kilo 6 inapika yenyewe huku ukiwa unaendelea na kazi nyingine ikiivisha inajizima na wali unakua mtamu zaidi ya unaoupika! ndani ya nusu saa tu unakula pia ina sehemu ya kupikia mboga za majani ni mpya haitumii umeme mwingi inawafaa sana watu wa nyumbani mahotelini wanafunzi/chuo na watu wanaoishi getto bei ni rahisi na ntakuletea hadi ulipo 0658825141 0767279713
 
Ukiona tangazo linalembwa kwa maneno na mbwembwe nyingi jua bei ni SIRI ya muuzaji,hata Rice Cooker ambayo bei haizidi TZS 60 000 inafichwa bei ?kweli mbombo ngafu.
 
Ukiona tangazo linalembwa kwa maneno na mbwembwe nyingi jua bei ni SIRI ya muuzaji,hata Rice Cooker ambayo bei haizidi TZS 60 000 inafichwa bei ?kweli mbombo ngafu.

ngafu fijo nkamu
 
Ninauza RICE COOKER ni mpya kabisa na unaweza kupikia wali kuanzia robo kilo hadi kilo 6 inapika yenyewe huku ukiwa unaendelea na kazi nyingine ikiivisha inajizima na wali unakua mtamu zaidi ya unaoupika! ndani ya nusu saa tu unakula pia ina sehemu ya kupikia mboga za majani ni mpya haitumii umeme mwingi inawafaa sana watu wa nyumbani mahotelini wanafunzi/chuo na watu wanaoishi getto bei ni rahisi na ntakuletea hadi ulipo 0658825141 0767279713


Bei tafadhari!
 
Duh una fanya siri utadhani ni sembe...... Weka bei kwanza...
 
Back
Top Bottom