Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
Wakuu Hbr za asubuhi...!!!, Km heading inavyojieleza, Mimi pia ni Kijana, nimekaa chini nikatafakari namna Hatua hii ya Ukuaji wa Mwanadamu inavyozua Majanga mengi.
Kutokana na Mihemko ya Mwili na Damu kuchemka Vijana Wengi tunajikuta tunaangukia pabaya hasa ktk Majanga mazito km vile Uzinzi, Ulevi wa kupindukia, Matumizi ya madawa ya kulevya, Matumizi mabaya ya pesa, n.k.Hali hii inatufanya Vijana Wengi tujitenge mbali sana na Uso wa MUNGU wetu aliyetuumba.
Binafsi Bora ningebaki tu kuwa mtoto asiyejua lolote au Bora niuingie Uzee nikatulia, Nampenda sana MUNGU Wangu Ila Tatizo ni Ujana, Hakika ninakuchukia sana Ujana kwasababu umenifanya niwe mbali na MUNGU wangu kwasababu ya Mihemko yako.
Ee MUNGU nisaidie nikupende na nikutii daima, lkn niendelee kuuchukia Ujana ambao unawatenga watu na Uso wako Mtakatifu.
Kutokana na Mihemko ya Mwili na Damu kuchemka Vijana Wengi tunajikuta tunaangukia pabaya hasa ktk Majanga mazito km vile Uzinzi, Ulevi wa kupindukia, Matumizi ya madawa ya kulevya, Matumizi mabaya ya pesa, n.k.Hali hii inatufanya Vijana Wengi tujitenge mbali sana na Uso wa MUNGU wetu aliyetuumba.
Binafsi Bora ningebaki tu kuwa mtoto asiyejua lolote au Bora niuingie Uzee nikatulia, Nampenda sana MUNGU Wangu Ila Tatizo ni Ujana, Hakika ninakuchukia sana Ujana kwasababu umenifanya niwe mbali na MUNGU wangu kwasababu ya Mihemko yako.
Ee MUNGU nisaidie nikupende na nikutii daima, lkn niendelee kuuchukia Ujana ambao unawatenga watu na Uso wako Mtakatifu.
