NINA IMANI
Senior Member
- Jan 8, 2014
- 113
- 17
Mimi naomba kuuliza je wapi naweza pata soko la uhakika la majimbi na maboga mwezi wa sita 2018?
Mkuu NINA IMANI, Tuko pamoja katika kutafta soko la uhakika hasa la maboga, ukilipata nijuze.Mimi naomba kuuliza je wapi naweza pata soko la uhakika la majimbi na maboga mwezi wa sita 2018?
Hujapata bado, sokoni maboga bei ghali kaboga kadogo elf 3Mkuu NINA IMANI, Tuko pamoja katika kutafta soko la uhakika hasa la maboga, ukilipata nijuze.
Soko la uhakika lipo kwenye mbegu za maboga ingawaje changamoto ipo kwenye bei kuwa ndogo hasa kipindi cha mavuno.
Habari wanajukwaa,
Nahitaji kujuzwa wapi naweza pata soko la maboga, kwani nataraji kuvuna maboga takriban fuso moja au zaid mnamo mwezi wa nane. Nimelima mkoani Tanga wilaya ya Handeni.
Nilipanda maboga kwa lengo la kuhifadhi unyevu kwenye shamba langu la mahindi,lakini kwa jinsi yalivyomea na kuzaa ndio napata wazo la kutafuta soko. Karibuni.