Ninataka nimuache msichana kwa faida ya maisha yake

Mkuu mimi mwenyewe kujitunza bado ni mtihani. Kumhudumia ni kama bahati nasibu.
Kiufupi uwezo wa kumuoa sina mkuu na sioni hata dalili za kuwa na huo uwezo.
Kiongozi tuanze nawewe unaeminyaminya nyanya halafu unanunua biringanya?

umri wako, upo mkoa gani, elimu yako, ni wangapi kuzaliwa, mpo wangapi kwenye familia, wazazi wote wapo, wanajishughulisha na nini,

majibu yako ndio ndoa yako!!!!
 
Nimeshangaa namna unavyojidisqualify, "ooh mara sistahili kuwa na huyu mwanamke ni mzuri sana" unaonekana hujiamini na mwanamke atakuacha kwa sababu hiyo. Mwanamke anabidi akusaidie wewe kufikia malengo yako sio akukimbie kipindi unatafuta. Wanaume wengi mna tabia ya kuogopa wanawake kama miungu, You treat women like Goddesses wakati uhalisia wa maisha mnauelewa, that's weakness.
 
Una wazo zuri sawa, lakini kwa upande wa mwanamke yeye hudhani humpendi, kwasababu hulka ya wanawake huangalia leo zaidi kuliko kesho au keshokutwa ndio maana mapenzi inawagharimu wanawake zaidi kuliko mwanaume. Hawapendi kufikiria mustakabali wa maisha ya kesho. Wanaamini mwanaume maisha anayaweza tu hata km hana kazi wala fedha kwa wakati huu.
 
Niliwahi kupitia hili mara mbili,mmoja aliposwa akaja kuniuliza sikufikiria mara mbili nikamwambia olewa tu.alinimind sana ila hajui maumivu niliyokuwa nayo tangu wakati huo,akanialika na harusi eti,sikwenda.wa pili ilikuwa kama wewe hivi nikamwambia nenda tu,huwa wanagoma lakini ni uamuzi ambao hauniachi na hatia.

Inauma lakini unapata hisia ya kukua na binafsi huwa naona ni uamuzi sahihi sana.mapenzi sio kila kitu kwenye maisha,ni wakati ambao ubongo wako unashinda dhidi ya moyo.na huo kwangu ni uanaume unaumia,unalia ikiwezekana kisha unafuta machozi unarudi kupambana na kitu cha muhimu zaidi unapenda tena.
 
Usimuache pambana utapita hiyo hali.
Ilishanitokea nikafanya maamuzi kama yako na nikaja kujuta sana.
Baada ya kumuacha haikupita miezi miwili nilipata kazi ya maana ambapo ningeweza mudu majukumu ya familia, lakini nilishachelewa alishaekwa ndani.

Pengine yeye alikuwa mkosi, kauzibe…. hukuwahi kuwaza hilo?
 
MUNGU akubaliki Sana,
Niombee na Mimi basi niwe na moyo Kama wako mkuu, maana nmenasa kwelikweli
Wewe na yule pasua kichwa wako muendelee tu hivyohivyo maana ukimuacha ataepata shida ni mwanaume atakaeishi na huo mchepuko wako.
Endelea nae kwa lengo la kuwahurumia wanaume wenzio wasijeteseka na huyo pasua kichwa wako.
 
Nimeshangaa namna unavyojidisqualify, "ooh mara sistahili kuwa na huyu mwanamke ni mzuri sana" unaonekana hujiamini na mwanamke atakuacha kwa sababu hiyo. Mwanamke anabidi akusaidie wewe kufikia malengo yako sio akukimbie kipindi unatafuta. Wanaume wengi mna tabia ya kuogopa wanawake kama miungu, You treat women like Goddesses wakati uhalisia wa maisha mnauelewa, that's weakness.
Mtoa mada anauchukulia ugumu wa maisha kama defense mechanism ya kumuacha binti wa watu, ila kiuhalisia jamaa anaonekana sio muoaji na ana mademu wengi, hua inafikia kipindi anafeel guilty kumuharibia binti maisha yake ili hali hana mpango nae, hapo unakuta binti ana sifa zote za kua mke na waoaji wanakuja kibao kumchumbia lakini binti anawakataa kwa kutarajia ipo siku jamaa yake atakuja muoa.

Hii hali sio wewe tu, wanaume kibao hua tunapitia changamoto ya namna hii halafu binti wa watu akishaolewa ndio unaanza kujuta na kujilaumu kwa nini uliamua kumuacha.
 
Mtoa mada anauchukulia ugumu wa maisha kama defense mechanism ya kumuacha binti wa watu, ila kiuhalisia jamaa anaonekana sio muoaji na ana mademu wengi, hua inafikia kipindi anafeel guilty kumuharibia binti maisha yake ili hali hana mpango nae, hapo unakuta binti ana sifa zote za kua mke na waoaji wanakuja kibao kumchumbia lakini binti anawakataa kwa kutarajia ipo siku jamaa yake atakuja muoa.
Hii hali sio wewe tu, wanaume kibao hua tunapitia changamoto ya namna hii halafu binti wa watu akishaolewa ndio unaanza kujuta na kujilaumu kwa nini uliamua kumuacha.
😁 afazali umejisema na ubadirike sasa
 
Wakuu heshima kwenu,

Bila kupoteza muda niwe straight.
Nipo kwenye mahusiano na msichana ambaye kimsingi ana maadili, mzuri wa sura na maumbile yake, tabia zake, anajua mapishi, ana akili kwa ufupi ana sifa zote za wife material.
Una moyo wa kipekee sana, tumia nguvu muache mkuu Mungu atakulipa
 
Una wazo zuri sawa, lakini kwa upande wa mwanamke yeye hudhani humpendi, kwasababu hulka ya wanawake huangalia leo zaidi kuliko kesho au keshokutwa ndio maana mapenzi inawagharimu wanawake zaidi kuliko mwanaume. Hawapendi kufikiria mustakabali wa maisha ya kesho. Wanaamini mwanaume maisha anayaweza tu hata km hana kazi wala fedha kwa wakati huu.
We jamaa umeongea kitu cha akili sana.

Wachangiaji wengi kwenye huu uzi nadhani hawajamuelewa mleta mada ni hali gani anaipitia. We mtu anakuambia hata yeye mwenyewe kujihudumia mahitaji muhimu ni shida, we unamuambia aoe! Sasa akioa ndio wataishije humo ndani? Au mnadhani ndoa ni lelemama?

We mleta mada kama vipi huyo demu muache aolewe, we pambana na maisha by the time mambo yakikaa sawa utapata tu mwanamke mwingine aftaroo wanawake wazuri wapo wengi sana dunia hii.
 
Mtoa mada anauchukulia ugumu wa maisha kama defense mechanism ya kumuacha binti wa watu, ila kiuhalisia jamaa anaonekana sio muoaji na ana mademu wengi, hua inafikia kipindi anafeel guilty kumuharibia binti maisha yake ili hali hana mpango nae, hapo unakuta binti ana sifa zote za kua mke na waoaji wanakuja kibao kumchumbia lakini binti anawakataa kwa kutarajia ipo siku jamaa yake atakuja muoa.
Hii hali sio wewe tu, wanaume kibao hua tunapitia changamoto ya namna hii halafu binti wa watu akishaolewa ndio unaanza kujuta na kujilaumu kwa nini uliamua kumuacha.
Hapana mkuu si kweli kabisa. Sina mademu wengi. Ila naheshimu mchango wako pia.
 
Una wazo zuri sawa, lakini kwa upande wa mwanamke yeye hudhani humpendi, kwasababu hulka ya wanawake huangalia leo zaidi kuliko kesho au keshokutwa ndio maana mapenzi inawagharimu wanawake zaidi kuliko mwanaume. Hawapendi kufikiria mustakabali wa maisha ya kesho. Wanaamini mwanaume maisha anayaweza tu hata km hana kazi wala fedha kwa wakati huu.
Aisee umeliongelea kwa udadavuzi mkubwa mkuu.
 
Back
Top Bottom