Ninatafuta mpenzi/mume nipo serious

Ninatafuta mpenzi/mume nipo serious

Nakubaliana umri na hata mazingira yana mchango katika misimamo ya mtu katika mahusiano. Ila principle kuu ya mahusiano (compromising personal interests to a certain degree to create harmony and collective interest) haibadiliki. Hata hivyo, huwezi kuvipata au kudilute misimamo yako yote. Kikubwa unahitaji kuonyesha upo wiling kusikiliza na kushauriana.
Hujatoa nafasi hii katika mwito wako. Kumbuka first appearance conveys the first impression.
Asante kuna jambo la msingi kwako. Nitaenda edit post. Ubarikiwe mno.
 
Mungu atakusaidia utampata ila pia hakikisha nawe umepitia sababu zilizosababisha uachane na hao waliopita na uone kama na wewe una mapungufu yako ili uyarekebishe
Asante. Wenye maisha tunajifunza. Na tunabadilika. Nilipokosea ninaamini nimesharejebisha.
 
Jamani shikmoo, Anti. samahn miaka 47, bado unabridi kweli? maana mi najua nyinyi huwa mnakoma miaka 45? na huwa hamsikii hamu ya kufanya tena? sasa wewe imeakuaje umefikas miaka 47? au mtu atakuja kuchezea dude bira hisia? naomba ufafanuzi wako anti ili nikuunganishe na baby yangu, ilaq ni mkulima wa jembe la mkono yupohi hapa mjini kwa umri huo utapata serengeti boys wanaume wa dar a kupenda kulelewa watakuchakaza, na kukubinua kama mkaa kimbadani mwishowe unauza mali zako na kuanza kuwaonga.mjoo kwa babu yangu mlime pamoja jembe la mkono.
Asante. Nimecheka sana. Maisha ni zaidi ya sarakasi kitandani. Babu yako hanifai. Mimi sihongi. Kama kuna anayefikiria nimhonge atapotea immediately. Niko busy kutafuta nawe uwe busy kutafuta. Lazy men unwanted.
 
Asanteni sana kwa comments asilimia kubwa za kujenga. Nimefanya maboresho kwenye andiko kuweka mambo ya utata sawa. Nimeshauriwa niongeze kigezo cha aliyetalikiwa, pia eneo au mkoa preferred na suala la kujadiliana vigezo ili kuwa na common understanding. Karibuni.
 
Jamani Antiiiiiiiiiiiiiiiiii, mkubarie Babu yangu jamni anti, nsaidie mwenzako, mzeeke pamoja, jaman Anti nkubarie njomba yangu, ipo pweke ssnaaa, mda mrefu sanaaa, npweke pale ntawara, karbu na Dangote pale.
 
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 47. Nina watoto watatu. Ninahitaji kumpata mwanamume ambaye ana mapenzi ya dhati hasa uaminifu. Sihitaji kuolewa au niseme kuishi na mwanamume kwa haraka ila ninataka company tu. Na kupitia kampany nitaweza kujifunza kwa undani kama kweli mwanaume yuko siriazi au la. Ninachohitaji kwa sasa ni upendo wa dhati, nimerudia hapo.

Sitaki wabahishaji wa mahusiano na hapa atakayejitokeza awe mtu wa uhakika ambaye:

- Ni mgani i.e aliyefiwa na mkewe kwa misingi hii kama una baba yako hapa alifiwa na mama niunganishe tu. Au kaka yako ambaye amefiwa na mke niunganishe tu. Au awe Mtalaka na si kutengana.

- Akubali kupima HIV

- Asiwe mume wa mtu au mwanaume ambaye hajao ila ana wanawake ambao ana connect nao. Hii imenigusa sana baada ya kukutana na mwanaume ambaye alizaa na several women kumbe ni mtu ambaye hana future kabisa kimaisha ya familia. Nilimpenda sana ila changamoto za wanaume kama hawa ni kubwa sana. Ni kujitakia presha.

- Anipe uhuru wa kufanya mambo yangu ya kiuchumi kwa kuwa nina watoto na ninahitaji wasiishi maisha ya tabu . Sitaki kuwa tegemezi hapa. Nimejifunza sana.

- Awe ananithamini mimi kama mpenzi wake na asinilazimishe ndoa mpaka pale nitapona kuwa kweli ni mtu wa kuzeeka naye.

- Awe ni mtu anayejituma katika kuzalisha mali, either ameajiriwa/kujiajiri au anafanya biashara zake.

- Awe ni mtu anayependa familia kwa kuanzia na watoto wake mwenyewe iwe ni priority kwake kabla hajawapenda wanangu mimi.

- Awe tayari kuandikiana pre-nuptial agreement kama itafikia mahali tuamue kuishi pamoja. Ninasema hivi kwa kuwa atakuwa na mali zake na wanawe ambao atataka kuwapa urithi na mimi nina wanangu na chochote kidogo nilichoweza kuhangaikia kwa miaka yangu hivyo sitaki ugomvi wa mali hata kidogo.

-Asiwe Mlevi au Mvuta sigara.

- Awe mkristu. Sibagui ila mimi ni mkristu na wangu pia hivyo itakuwa shida kidogo hapa. Nimekuwa mkweli msinielewe vibaya.

- Awe na miaka kati aya 47-52.

- Akiwa DSM ni vizuri. Nje ya DSM tutakubaliana workable situations.

- Vigezo visikutishe kama una vingi kati ya hivyo hasa umri na kutokuwa na mke tuwasiliane PM na ninaamini tutafikia muafaka wa pamoja.

Ninasema sasa kwa mwanaume ambaye anaona anaweza kujaribu kuanzisha mahusiano na mimi karibu PM. Ukiona utatoa lugha mbovu isiyo na staha ninaomba upite taratibu.

Angalizo.
Nipo serious, ninaomba sitaki lugha za matusi ua mitaani mimi ni mtu mzima. Wanaume serious tu na wenye umri niliotaja wani Meseji (PM].
Japo sijaowa na umri wangu unakwenda, Naomba nikutie Moyo usijione umechelewa, kikubwa ni ile aman na furaha ya ndoa ndo inayotakiwa, kuna wengne wapo kwenye ndoa mda mrefu kutokana na kuolewa wakiwa ktk umr unaruhusu lakin hawana aman na furaha ktk ndoa zao, Nakuombea kwa Mungu Akubark kwa baraka zote za rohon, Akiln na Mwilin, na Mungu Akupe mtu wa kufanana nawe kiroho na kimwili,.
 
Japo sijaowa na umri wangu unakwenda, Naomba nikutie Moyo usijione umechelewa, kikubwa ni ile aman na furaha ya ndoa ndo inayotakiwa, kuna wengne wapo kwenye ndoa mda mrefu kutokana na kuolewa wakiwa ktk umr unaruhusu lakin hawana aman na furaha ktk ndoa zao, Nakuombea kwa Mungu Akubark kwa baraka zote za rohon, Akiln na Mwilin, na Mungu Akupe mtu wa kufanana nawe kiroho na kimwili,.
Mungu akubariki mno. Maisha ni furaha si karaha.
 
Mungu akubariki mno. Maisha ni furaha si karaha.
Ndo maana ya Ndoa, kuna dada alinga ndoa akiwa na miaka 50, baada ya ndoa yake ya kwanza shetan kuitawanya, anasema upendo furaha na Aman vimewatala kila eneo ktk Ndoa yake
 
Nina imani utampata Huyo unaemtaka, ila fahamu kuwa mapenzi hayachagui rangi, kabila, dini, n.k. Mungu akutangulie ktk safari yako ya kumpata Huyo......!
 
Nina imani utampata Huyo unaemtaka, ila fahamu kuwa mapenzi hayachagui rangi, kabila, dini, n.k. Mungu akutangulie ktk safari yako ya kumpata Huyo......!

Nina imani utampata Huyo unaemtaka, ila fahamu kuwa mapenzi hayachagui rangi, kabila, dini, n.k. Mungu akutangulie ktk safari yako ya kumpata Huyo......!
Asante. Vigezo vinazungumzika isipokuwa vya umri, kutokuwa na mke na pre-nuptial agreement. I.e makubaliano ya umiliki wa Mali kabla ya ndoa.
 
unajua dadaangu sometimes vigezo vingi vinaweza kusababisha kumkosa mwenye mapenzi ya dhati,,,,,,,,,,! kwani Mungu anaweza kukupatia WA dini tofauti ila akawa na mapenzi ya kweli, ila kwa kuwa wewe unamtaka mkristo ikawa shida tena!
 
Kwa mujibu wa andiko lako kuna mipango ya muda mfupi na muda mrefu ndio maana umetoa angalizo la kutokukulazimisha kuhusu ndoa.Vizuri haya mambo hutokea bila taarifa ni kama ajali hapo ulipo pana mwanamume upande mwingine anatafuta mtu kama wewe na vigezo vyake kama vyako tatizo sumaku ya kuwaunganisha bado haijapatikana.
Unaweza kuokotea humu chumbani(jf)au nje ya hapa ni jambo la kusubiri ila nakupongeza kwa kuweka mambo hadharani ili watu wajipime kama wataweza kuzingatia vigezo na masharti kila la kheri dada yangu.
 
Kwa mujibu wa andiko lako kuna mipango ya muda mfupi na muda mrefu ndio maana umetoa angalizo la kutokukulazimisha kuhusu ndoa.Vizuri haya mambo hutokea bila taarifa ni kama ajali hapo ulipo pana mwanamume upande mwingine anatafuta mtu kama wewe na vigezo vyake kama vyako tatizo sumaku ya kuwaunganisha bado haijapatikana.
Unaweza kuokotea humu chumbani(jf)au nje ya hapa ni jambo la kusubiri ila nakupongeza kwa kuweka mambo hadharani ili watu wajipime kama wataweza kuzingatia vigezo na masharti kila la kheri dada yangu.
Amina sana kaka yangu. Ukweli kinachotakiwa in furaha baada ya kila upande kuridhia hivyo. Mimi sikimbilii kuolewa kwa kuwa sina Mpango wa kuzaa. Mpango in mmoja tu kumpata mwenzangu wa kufurahia maisha niliyobakiza diniani.
 
Bibi anatafuta babu, wababu mukuje huku right now!
Ama kweli at 47 unaniita bibi? Nawe unakuja huku huku ukifika 45 tutakuita babu. Barikiwa. If you do not have substance do not talk nonsense.
 
All the Best Mamy,naamini utampata anaye meet hizo standards na mkafurahia maisha,mimi umri bado hapo
 
Ama kweli at 47 unaniita bibi? Nawe unakuja huku huku ukifika 45 tutakuita babu. Barikiwa. If you do not have substance do not talk nonsense.
Naomba tuwasiliane kwa O718531823 mm nipo serious na sifa ninazo,ahsante karibu
 
Back
Top Bottom