Ninatabiri EAC kuvunjika soon!!!

Ninatabiri EAC kuvunjika soon!!!

nakumbusha yafuatayo: iwapo tutajiondoa EAC (sikubaliane na wanaosema kuwa tumeondolewa), tujuwe kuwe uchumi utaathirika kiasi fulani. Kenya ni muwekezaji namba mbili hapa tanzania. siyo kwamba wataondoka lkn uwekezaji wao utapungua. tujitahidi kuboresha bandari yetu ya dar ili tutawale zaidi soko la zambia na malawi. nchi hizi zinatumia bandari yetu kwa chini ya 30%. tukiiboresha tutawavutia zaidi. tuboreshe miundombinu ya usafiri kati ya tanzania na drc pamoja na burundi. tuna soko la drc na burundi lkn miundombinu pamoja na usalama bado ni mushkil.

siungi mkono kujitenga. tuwaache wajenge reli yao lkn tuendelee kuwemo katika jumuiya bila kutoa ardhi yetu. kuhusu soko la pamoja ni muhimu sana. uhuru wa raia kusafiri na kupita mipakani bila kulipia nalo ni jambo muhimu sana. TAFAKARI
 
nakumbusha yafuatayo: iwapo tutajiondoa EAC (sikubaliane na wanaosema kuwa tumeondolewa), tujuwe kuwe uchumi utaathirika kiasi fulani. Kenya ni muwekezaji namba mbili hapa tanzania. siyo kwamba wataondoka lkn uwekezaji wao utapungua. tujitahidi kuboresha bandari yetu ya dar ili tutawale zaidi soko la zambia na malawi. nchi hizi zinatumia bandari yetu kwa chini ya 30%. tukiiboresha tutawavutia zaidi. tuboreshe miundombinu ya usafiri kati ya tanzania na drc pamoja na burundi. tuna soko la drc na burundi lkn miundombinu pamoja na usalama bado ni mushkil.

siungi mkono kujitenga. tuwaache wajenge reli yao lkn tuendelee kuwemo katika jumuiya bila kutoa ardhi yetu. kuhusu soko la pamoja ni muhimu sana. uhuru wa raia kusafiri na kupita mipakani bila kulipia nalo ni jambo muhimu sana. TAFAKARI
mwekezaji au bidhaa za kenya ndo zinauza sana hapa?kwani kuna viwanda vipi vya wakenya vilivyopo hapa Tz?
 
nakumbusha yafuatayo: iwapo tutajiondoa EAC (sikubaliane na wanaosema kuwa tumeondolewa), tujuwe kuwe uchumi utaathirika kiasi fulani. Kenya ni muwekezaji namba mbili hapa tanzania. siyo kwamba wataondoka lkn uwekezaji wao utapungua. tujitahidi kuboresha bandari yetu ya dar ili tutawale zaidi soko la zambia na malawi. nchi hizi zinatumia bandari yetu kwa chini ya 30%. tukiiboresha tutawavutia zaidi. tuboreshe miundombinu ya usafiri kati ya tanzania na drc pamoja na burundi. tuna soko la drc na burundi lkn miundombinu pamoja na usalama bado ni mushkil.

siungi mkono kujitenga. tuwaache wajenge reli yao lkn tuendelee kuwemo katika jumuiya bila kutoa ardhi yetu. kuhusu soko la pamoja ni muhimu sana. uhuru wa raia kusafiri na kupita mipakani bila kulipia nalo ni jambo muhimu sana. TAFAKARI
Mkuu wangu hoja yako hujaitafakari kiuchumi! EAC ikivunjika ni hatari zaidi kwa Kenya kuliko kwa Tanzania. Kwanza, ingawaje Wakenya ndio investors wakubwa hapa Tanzania, lakini hakuna mwekezaji makini atakayeamua kuondoka kwa ajili ya kuvunjika EAC kwa sababu nitakazotaja. Lakini ile kuendelea kubaki itakuwa na hasara kwa sababu watakosa zile privilege zinazotokana na EAC.

Hawawezi kuondoka kwa sababu watu wanafungua ofisi nje si tu kwa sababu ya kulijongelea soko bali wanadhani itakuwa ni more economical ku-produce kwenye foreign country than in domestic. Yaani, kama anaona anaweza kutengeneza bidhaa kwa $5 akiwa Kenya, na hadi inafika Tanzania inakuwa imegharibu $ 7 lakini kwa upande mwingine; the same product anaweza kuizalisha Tanzania kwa $ 2 na hadi inafika Kenya itakuwa imegharimu $ 4; it's obvious huyo mwekezaji ataamua kuja kuzalaishia Tanzania na kusafirisha kwenda Kenya coz' kwake it's more economical through that channel kuliko kinyume chake! Sasa, I believe Kenyan Investors are smart; katika mambo kama hayo hawezi kuhamishia uzalishaji Kenya ili akatumie gharama kubwa zaidi; ambao itazidi maradufu kutokana na ushuru (coz' not EAC member) to the point biadhaa yake inakuwa less competitive in TZ market coz' itakuwa expensive than that of competitors! Kwa hiyo, suala la investors kuhama hapo halipo sana sana wajiandae kukosa zile privilege za kuwa our EAC fellow member!
 
Ivunjeke vipi wenzetu wanazidi kusonga mbele?Watanzania mmekuwa na visingizio vingi kuficha udhaifu wenu sana.Kwa mfano kulikuwa na makubaliano ya ujenzi wa reli siku nyingi toka Isaka Burundi hadi Rwanda kwa ushirikiano wa nchi hizi tatu.Inasemekana wenzetu walishatoa tayari pesa,sie bado tunaendelea na siasa zetu za upembuzi yakinifu bila time frame!Leo Rwanda wakighairi kuchangia mtaanza kusingizia ardhi?Kubalini kuna udhaifu mkubwa kwenye uongozi na huenda ikawa ni sababu nzuri ya kufanya sie tutengwe na wenzetu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Wataponda sana, watakashifu sana coz' nawafahamu Wakenya wanavyojifanya wapo smart wakati si lolote si chochote!! Na wengine tunadanganyika kwa vile tunavyoiona Nairobi imejengeka! Lakini kwa mwenye akili timamu anafahamu fika kwamba, kwa sasa Rate ya kukimbia kati ya Kenya na Tanzania; Tanzania is far better than Kenya! Wataendelea kujivunia ma-highway wakati hata uwezo wa kujilisha hawana! Miaka mitano iliyopita GDP na GDP Per Capita walikuwa wanatuacha kwa mbali ile mbaya including government, lakini kadri muda unavyoenda, tunazidi kuwakaba koo!
 
Ivunjeke vipi wenzetu wanazidi kusonga mbele?Watanzania mmekuwa na visingizio vingi kuficha udhaifu wenu sana.Kwa mfano kulikuwa na makubaliano ya ujenzi wa reli siku nyingi toka Isaka Burundihadi Rwanda kwa ushirikiano wa nchi hizi tatu.Inasemekana wenzetu walishatoa tayari pesa,sie bado tunaendelea na siasa zetu za upembuzi yakinifu bila time frame!Leo Rwanda wakighairi kuchangia mtaanza kusingizia ardhi?Kubalini kuna udhaifu mkubwa kwenye uongozi na huenda ikawa ni sababu nzuri ya kufanya sie tutengwe na wenzetu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

  • Hizo Pesa pesa walitoa wakampa nani?
  • Kama ndivyo, kwanini Burundi wameiacha?
 
Nyerere alisema kuwa Kenye ni "manyangau". Nyerere alikuwa Nabii alitabiri ushenzi wa wakenya!

Sasa wewe unadhani Kenya ndio mhusika pekee wa kuvunjika EAC?

In any case jumuiya inaweza kuwa ya nchi mbili, tatu, kumi etc. Tanzania kujiengua leo hakuvunji jumuia. You are in today and out tomorrow and life goes on.
 
EAC itabaki tu bali Tanzania ndiyo itakayojiondoa , swali ni kwanini Majirani wanaitenga Tanzania ? Je ina ' UKURUTU ? ' , Na kibaya zaidi haitaki kuutibu ?
 
mimi nadhani tumechelewa. Uamuzi wa kujitoa ulitakiwa mapema zaidi ya leo

hii ni bahima empire bana!!!!sio eac.viona mbali vya tanzania vilionya mapemaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!ETI WANAFAST TRUCK ISSUE NYETI KAMA SHIRIKISHO.LENGO TUINGIE KICHWA KICHWA!!!!!WANGECHUKUA KILA KITU.TULIVYOSHTUKA WAKAANZA SARAKASI.NILIANZA KUWA NA WASIWASI RWANDA ILIVYOOMBA KUJIUNGA NA JUMUIA YA MADOLA.WANANYEMELEA ARDHI YETU.
 
Hoja ya kwamba watanganyika ardhi yenu ni dili zaidi mbona kwenye muungano na zanzibr ardhi yenu mmruhusu itumike tena rahisi sana kuipata kwa mzanzibr,vireje leo mujitoe EAC kwa sababu tu ya ardhi yenu?kwa vile mmefanikiwa kuingiza siasa chafu kwa nchi ya zanzbr kupitia muungano sababu ya tanganyika kutengwa na EAC ni kwamba wenzetu hawataki kuingiziwa siasa chafu nchi zao kutoka kwa wadanganyika,ahsantum.
 
Pitia attachment hapo chini inaonyesha uchumi wa nchi tano za EAC na muungano wao kabla na baada ya kauli ya Sita


Waziri wa East africa wa Tanzania Bwana Samwel Sita amekiri kuwa EAC iliyopo tayari tumeingia hasara kwani tumeshasusa baada ya dalili za kutengwa. Kauli hiyo inakwenda mbali kwa kuanza mashauriano ya muungano mwingine kati ya Burundi, DRC na Tanzania.

Makovu haya bado hayajapona, kwanini tusiangalie kwanza faida na hasara ambazo tayari zimetupata kwa kuishi ndani ya EAC na kushindwa kuendelea. Tukumbuke tunatoa michango, tuna wabunge wa EAC wanakula kodi za wananchi, ofisi, nk ambapo hakuna faida yeyote mlipa kodi amepata zaidi ya hasara.

Miungano hii isiwe njia ya kutafutia watu ajira za ubunge, ukurugenzi, ukatibu na uwaziri tu.

Uchumi wa nchi zote hizi tano na idadi ya watu pamoja na rasilimali ambazo kila nchi inazo ungetumiwa na wananchi wa nchi zote hizi tano wangefaidika sana kuliko viongozi ambao wengi wao wanataka madaraka na ajira za kisiasa.

Imefika wakati kuanza kutumia akili, maono, na werevu wa hali ya juu kuiamulia nchi na jamii badala ya kukurupuka kila mara.

Maamuzi ya kutumia matumbo, wizi, ufisadi na faida binafsi ndio yanatutumbukiza gizani kila mara. Mwaka 1977 umoja huu ulikufa na kuacha majeraha mengi ambayo miaka 36 sasa hayajapona mojawapo mafao ya wafanyakazi. Sijui na huu msambaratiko utaumiza wangapi, najua kwa uhakika wanasiasa wao lazima watapata keki yao, sie walala hoi waamka hoi ndio tutasoma namba.

Tujenge uchumi wetu, tuzidishe uhusiano mzuri na majirani zetu kuwavutia wafanyabiashara wao kufanya biashara na sisi. Kodi zetu na urasimu tuupunguze, ulinzi wa mali uongezwe, raia wakipenda kitu hakuna kiongozi anaweza kukataa. Tuonyeshe tunakitu cha kuwafanya watutake kuliko sisi kila siku kuwa na bakuli mbele.

Malighafi tunazo, bandari tunazo, watu tunao viongozi ndio hatuna kabisa.

Change has to begin with you and me.

Fue Fue
 

Attachments

Inaonekana tanzania haiko serious na eac kwasabu kuna vikao kadhaa nchi hizi zimekaa kupanga mipango ya jumuiya,, lakini tz imeomekana kusua sua ktk kufanya maamzi ktk hatua za mwisho za utekelezaji wa maamzi ikidai kuwa haijajiandaa... Ukiangalia hata bandari ya dsm uchakachuaji mwingi sana. Halafu mh sitta anatoa majibu ya ajabu bungeni juu ya kutengwa kwa hii nchi.
 
nakumbusha yafuatayo: iwapo tutajiondoa EAC (sikubaliane na wanaosema kuwa tumeondolewa), tujuwe kuwe uchumi utaathirika kiasi fulani. Kenya ni muwekezaji namba mbili hapa tanzania. siyo kwamba wataondoka lkn uwekezaji wao utapungua. tujitahidi kuboresha bandari yetu ya dar ili tutawale zaidi soko la zambia na malawi. nchi hizi zinatumia bandari yetu kwa chini ya 30%. tukiiboresha tutawavutia zaidi. tuboreshe miundombinu ya usafiri kati ya tanzania na drc pamoja na burundi. tuna soko la drc na burundi lkn miundombinu pamoja na usalama bado ni mushkil.

siungi mkono kujitenga. tuwaache wajenge reli yao lkn tuendelee kuwemo katika jumuiya bila kutoa ardhi yetu. kuhusu soko la pamoja ni muhimu sana. uhuru wa raia kusafiri na kupita mipakani bila kulipia nalo ni jambo muhimu sana. TAFAKARI
Kama sisi ndo wanunuzi wakubwa wa bidhaa zao ina maana tunaweza kuhamishia biashara zetu nchi nyingine. (sisi ndo wenye pesa)
 
Inaonekana tanzania haiko serious na eac kwasabu kuna vikao kadhaa nchi hizi zimekaa kupanga mipango ya jumuiya,, lakini tz imeomekana kusua sua ktk kufanya maamzi ktk hatua za mwisho za utekelezaji wa maamzi ikidai kuwa haijajiandaa... Ukiangalia hata bandari ya dsm uchakachuaji mwingi sana. Halafu mh sitta anatoa majibu ya ajabu bungeni juu ya kutengwa kwa hii nchi.

wako bize na uuzwaji wa meno ya tembo na cdm,madawa
 
Hoja ya kwamba watanganyika ardhi yenu ni dili zaidi mbona kwenye muungano na zanzibr ardhi yenu mmeruhusu itumike huru tena rahisi sana kuipata kwa mzanzibr,vireje leo mujitoe EAC kwa sababu tu ya ardhi yenu?kwa vile mmefanikiwa kuingiza siasa chafu kwa nchi ya zanzbr kupitia muungano sababu ya tanganyika kutengwa na EAC ni kwamba wenzetu hawataki kuingiziwa siasa chafu nchi zao kutoka kwa wadanganyika,ahsantum.
Fuatilia utafahamu kinachoendelea, badala ya kufananisha EAC na Zanzibar. Ukiwaachia Mungiki utalia...
 
Back
Top Bottom