Ninatabiri EAC kuvunjika soon!!!

Ninatabiri EAC kuvunjika soon!!!

Hali inayoendelea katika jumuia ya Afrika mashariki ni fukuto la siku nyingi,Wanyarwanda na Museveni si watu wa kuwaamini!
Sasa baadaya play boy Uhuru kushinda Urais kwa kushabikiwa sana na serikali ya CCM
Sasa wanatekeleza ndoto yao!
ANGEKUWA ODINGA NI RAIS UTOTO HUU USINGEPITISHIWA MGOGONI MWAKE!
Kama kawaida ya CCM, kushabikia vitu ambavyo mbele vina madhara makubwa! Kumbuka -takrima, milioni tano kufungua kesi ya uchaguzi etc! Kenyeta ni toy, hakupashwa kukabidhiwa nchi. Sasa muoneni! yeye na Museveni, Kagame wanafanya utoto!
 
Jamaa yangu (ni Mtanzania) juzi alikwenda kwenye Warsha ya kimataifa jijini Nairobi...baadaye walipata fursa ya Kutembelea Naivasha...kilichotokea... ni kuwa waandaji ,kwa maandishi, waliwaeleza kuwa masharti ya kuzuru Naivasha ni kwa wenyeji (wakenya) fee yao ilikuwa dola 100 na wageni(foreigners-watanzania na wengine) fee yao ni dola 500. Yaani ile ya kuwepo Jumuiya ya Afrika Mashariki imeishapotea kwa wakenya.
 
EAC haita vunjika mimi ni nacho ona ni TANZANIA kuondolewa au kujiondoa katika community sio kuvunjika,tatizo watanzania wengi wanafikiri TANZANIA ndio EAC,sio hivyo,naimani kwamba kutoka kwa tanzania itarahisisha mipango ya EAC kwenda kasi kwani mambo ya kusubiri wanao suasua kwa kigezo cha kua na hofu ya washirika wenzake eti wanataka udongo wa tanzania haiwezi jenga EAC,nafikiri hawa viongozi wamaliona hilo,EAC haita vunjika instead sasa ndio inaenda kuonekana kwa vitendo.
Hizo kwamba Tanzania inasuasua ni old school za kututaka tusi-focus in our interests! Kabla sijaenda mbali, umesoma Chemistry kidogo angalau hadi form four level? Kule kwenye chemistry, kama sikosei kwenye topic ya Electrolysis kuna kitu kinaitwa Electroplating. By definition, Electroplating is the application of electrolytic cells in which a thin layer of metal is deposited onto an electrically conductive surface.

Mfano rahisi kabisa kufahamika kwenye suala la electroplating ni silver or gold plating. Si umeshawahi kuona mtu ananunua mkufu leo unang'aa ile mbaya (like gold) lakini baada ya wiki moja; unakuta mweeeepu! Ile gold coating ishaondoka within days. Lakini wakati mwingine mtu unachukua mkufu (gold like) ambao unabaki na u-gold look wake for several months or even years ingawaje sio real gold. Unafahamu ni kwanini hii inatokea? Hii inatokana na how electroplating was done. Kwamba, unapofanya Electroplating (gold/silver coating), unapitisha electric current kwenye mkufu wa kawaida(say wa shaba). Ukipitisha high electric current, hii electroplating inakamilika haraka sana! However, the layer coating of gold or silver in that copper chain, inakuwa haishiki vizuri! So, unaweza kupitisha more than one silver/gold coated layer lakini zote hazitashika vizri ingawaje ukiangalia utaona iko poa tu! Hii ndo ile cheni unayonunua wakati imeng'aa ile mbaya(like gold or silver) lakini after one week, unakuta full shaba!

However, kadri unavyopunguza hii current, kwanza electroplating (gold/silver coating) inakuwa slowed! If before ilichukua six hours, sasa itachukua more than six hours. Hata hivyo, ile coated material ndo inakuwa stick zaidi kwenye copper chain. So, kadri utakavyopunguza electric current ndipo itakapochelewa zaidi kumalizika hiyo process lakini na ndivyo ile coated material inavyo-stick zaidi. At the end, unakuja kupata chain ambayo ipo well coated but over a long period of time. Kama gold plated, itabaki na u-gold look wake kwa muda mrefu(depending to how you did it) zaidi ingawaje si gold!!

Sasa basi, kama mnatutaka tupitishe the highest electric current ili process ikamilike mapema; kwa roho safi safari njema waheshimiwa! Kama sisi kuamua kupitisha lowest electric current ili tupate a well coated material kunatfsrika kwamba ni kusuasua; then acheni tusue sue! Tunataka kutengeneza a chain coated with silver or gold kwa matumizi yetu wenyewe; kwahiyo lazima tuhakikishe a well coated chain. Hatuendi kuiuza hii chain; wale wanaotaka kwenda kuiuza; better do it lakini within few days; mteja atashituka kwamba umempiga changa la macho.

Au unataka mfano mwingine rahisi zaidi?! Hivi umeshapata kusikia jamaa amekutana na mrembo, within one month jamaa akafunga ndoa! WHY? Mtoto mkali ile mbaya; chambilecho waswahili walishasema "chelewa chelewa utakuta mtoto si wako!" Jamaa kuona mtoto asije akachukuliwa na wengine; anaamua kutangaza ndoa faster faster ii ammiliki!

Baada ya mwezi kupita tangu kufunga ndoa; SALAAAAALE!

Wasalaam!
 
nilipolisoma jina lako tu imenifanya nipite page hii bila ya kuichangia lolote, maan jina limeakisi ulivyo.
 
Jamaa yangu (ni Mtanzania) juzi alikwenda kwenye Warsha ya kimataifa jijini Nairobi...baadaye walipata fursa ya Kutembelea Naivasha...kilichotokea... ni kuwa waandaji ,kwa maandishi, waliwaeleza kuwa masharti ya kuzuru Naivasha ni kwa wenyeji (wakenya) fee yao ilikuwa dola 100 na wageni(foreigners-watanzania na wengine) fee yao ni dola 500. Yaani ile ya kuwepo Jumuiya ya Afrika Mashariki imeishapotea kwa wakenya.

Kuzuru NAIVASHA dollar 500? What for?

5000$ * 1645 = 822,500/= Tsh.
 
Jamaa yangu (ni Mtanzania) juzi alikwenda kwenye Warsha ya kimataifa jijini Nairobi...baadaye walipata fursa ya Kutembelea Naivasha...kilichotokea... ni kuwa waandaji ,kwa maandishi, waliwaeleza kuwa masharti ya kuzuru Naivasha ni kwa wenyeji (wakenya) fee yao ilikuwa dola 100 na wageni(foreigners-watanzania na wengine) fee yao ni dola 500. Yaani ile ya kuwepo Jumuiya ya Afrika Mashariki imeishapotea kwa wakenya.

Kuzuru NAIVASHA dollar 500? What for?

5000$ * 1645 = 822,500/= Tsh.
 
MotherPaka, Have you gone to Kenya and See how those people live?. Their are living CLASSY Life. THE HAVE AND THE HAVE NOT, and there is a big Difference between them. Majority of Kenyans are living DOG Life.

The song of higher economy because of the Monetary value is Unrealistic to The Real life at homes.

Take an example,

Exchange rates of Japan Yen against US dollar is 1 Japanese Yen equals 0.010 US Dollar, almost about the same with Kenya Shilling V/S US Dollar i.e 1 Ksh equals 0.012 Dollar.

That means, from economic point of view, it is not the exchange rate that determines the Economic Growth of a country or Standard of Life. You can not even imagine to try to relate Japan Economy with Kenya Economy Based on that exchange rate.

In the matter of Economy Growth and Standard of Life improvement, never consider exchange rate.

We purposely devalued our Currency (Tsh) so as we can grow our economy realistically.

images


070610pod09.jpg




gtr_track_by_tsh_photography-d6ldcm0.jpg

Hata mwenyewe ulichoandika nina uhakika huelewi unaongea nini,rudi shule to educate yourself.
 
Hapa ninachokiona ni kuwa Uganda na Rwanda watakuwa watumwa wa Kenya na siku zote watakuwa wakiwanyenyekea.Hizi nchi mbili hazijazungukwa na bahari alafu wanakuwa na kiburi!!Ipo siku watatupigia magoti.
 
Utajengaje umoja na watu ambao wameamua kufanya rushwa ni sehemu ya maisha ya mtanzania kila siku. Wameamua kutotupatia vitambulisho vya taifa kwa vile vitawazuia wao kuendelea kumiliki mali nyingi walizopata kwa rushwa huku wakitumia majina ya bandia. Watu hao hao CCM wanashindwa hata kusimamia maswala ya ajira kwa vijana wetu na kusababisha vijana wetu kwa maelfu kukosa ajira na huku wachina na wakenya wakiwa waporaji namba moja wa ajira zetu.

Lazima tofauti za kisiasa ziwe kubwa zaidi wakati huu hili haya maCCM yajitambue, na kuipeleka nchi kwenye mstari sahihi ili nchi iweze kutumia rasilimali ipasavyo na kuwashinda hapo majirani zetu kiuchumi. Katika hali kama hii chuki zangu dhidi ya maCCM zinaongezeka maradufu

Ndugu yangu,hatuwezi kunyamaza kimya hali kama hii inapoizingira nchi yetu.Kujenga umoja wa ndani ni pamoja na kuondoa rushwa na ufisadi ili kupunguza pengo la walionacho na wasionacho ili kujaribu kuleta usawa kwa wananchi.
Swali ni namna ya kuondoa rushwa na ufisadi,naamini njia ya kuondoa ufisadi ni kuwaondoa madarakani walinzi wa mfumo wa rushwa na ufisadi ambao ni ccm
 
Utajengaje umoja na watu ambao wameamua kufanya rushwa ni sehemu ya maisha ya mtanzania kila siku. Wameamua kutotupatia vitambulisho vya taifa kwa vile vitawazuia wao kuendelea kumiliki mali nyingi walizopata kwa rushwa huku wakitumia majina ya bandia. Watu hao hao CCM wanashindwa hata kusimamia maswala ya ajira kwa vijana wetu na kusababisha vijana wetu kwa maelfu kukosa ajira na huku wachina na wakenya wakiwa waporaji namba moja wa ajira zetu.

Lazima tofauti za kisiasa ziwe kubwa zaidi wakati huu hili haya maCCM yajitambue, na kuipeleka nchi kwenye mstari sahihi ili nchi iweze kutumia rasilimali ipasavyo na kuwashinda hapo majirani zetu kiuchumi. Katika hali kama hii chuki zangu dhidi ya maCCM zinaongezeka maradufu

Ndugu yangu,hatuwezi kunyamaza kimya hali kama hii inapoizingira nchi yetu.Kujenga umoja wa ndani ni pamoja na kuondoa rushwa na ufisadi ili kupunguza pengo la walionacho na wasionacho ili kujaribu kuleta usawa kwa wananchi.
Swali ni namna ya kuondoa rushwa na ufisadi,naamini njia ya kuondoa ufisadi ni kuwaondoa madarakani walinzi wa mfumo wa rushwa na ufisadi ambao ni ccm
 
Bubu Msemaovyo,
Nakubaliana na wewe kwa yote uliyosema kasoro moja tu; nalo hiyo kutimia kwa heading yako! Sina shaka kabisa kwamba ingekuwa ni Rais mwingine, EAC isingechukua hata miezi sita ijayo!! Lakini kwa JK, I doubt unless movie ianzie bungeni!

Hata tusivyompenda, JK ana busara sana yule mzee! Kwa bahati mbaya, busara zikizidi zinageuka na kuonekana kama udhaifu na ndio maana sikushangaa Mnyika alipomuita JK ni dhaifu! Pamoja na busara, JK ana sifa nyingine isiyo na shaka kabisa! Hii ni ile ya ustahimilivu! Ustahimilivu wake ni too much to the extent ni rahisi ku-conclude kwamba ni udhaifu! JK ana sifa nyingine; sifa hii ndiyo inayowagharimu wana-CHADEMA! Mnamwa-undermine sana yule mzee kumbe yule mzee ni very smart katika ku-beat up external pressures! Hebu rejea mlivyopigwa(au umehakama CHADEMA??!!) changa la macho kwenye suala la katiba hivi karibuni pale akina Lissu walipoenda Ikulu! Kwa hiyo, kwa ujanja wake ule ule wote watatulizwa! Ukichanganya hayo yote; sifa za mtu kama huyo zinakuwa kutofanya maamuzi ya haraka; si kwamba ni slow learner, watu wa aina hii huwa hawayumbishwi na external pressures! Kashikashi anazokutana nazo JK ingekuwa ndo Mkapa; ingekuwa watu wengi hivi sasa wamefungwa na wengine kuuawa kuliko wale ambao inaonekana leo hii wameuawa kipindi cha JK! Mkapa alikuwa anatingishika sana na external pressure; wenyewe tunaita ni ukali; alikuwa hataki masihara kumbe ule nao ni udhaifu; defensive mechanism! likuwa hawawezi how to overcome pressure psychologically!

Kutokana na hayo, sina shaka kwamba JK atajaribu kuvuta vuta kidogo, na ikibidi EAC isife kwenye mikono yako! Na ukiona na yeye anahidhinisha kujitoa EAC leo; basi angekuwa mwingine angefanya hivyo miezi sita kabla! Lakini yote kwa yote; na sisi tusidakwe kati kati ya hii psychological torturing iliyoasisiwa na Kenyatta na kupata uungwaji mkono na akina Kagame ambao tayari waliyakuwa na yao nyoyoni! Hii ni psychological attack anayoifanya Kenyatta ili Tanzania tu-loose focus na kukurupuka kwa kuamini kwamba wenzetu wanatuacha! Wenyewe wanasema tunasuasua, kumbe wanafahamu kusuasua kwetu ni kwa ajili ya kulinda maslahi yetu! wanataka tufanye faster, kwahiyo lazima watushitue!

Bubu Msemaovyo, je jinsi yako ni sawa na hiyo avatar yako? Let me assume so! Je, unajisikiaje pale unapomtisha Boyfriend wako kwa kumwambia kwa ukali "kuanzia leo usinifuate fuate na wala simu usinipigie!" Halafu jamaa ndo kwanza anakuambia "safari njema mama!" Ulifanya yote ukidhani atatishika, na kwamba pale utakapoanza kuondoka ulitarajia atakushika mkono! Kutahamaki ndo kwanza jamaa anaingia kuoga! Hawa jamaa wanatarajia sisi tu-panic ili tuwashike mkono tuwaambie wasituache!
Da! umeandika kweli,lakini umeharibu hapo mwisho,hawa jamaa hawana muda wakubembeleza mtu,kama tanzania ilifikiri wataibembeleza siyo hizi nchi tatu wao wanajitoshereza.
 
Historia huwa inajirudia tafakari kwa nini Mwalimu aliamua kuelekea South kuungana na nchi za kusini na kuunda SADC?
 
Dua la kuku halimpati mwewe kamwe!Au vijana wa siku hizi hamfundishwi methali mashuleni?kama wewe ni Mulugo graduate nakupa pole sana!!!



Mkuu shikamoo na nakupa hongera kwa kuanzisha msamiati mpya "Mulugo Graduate." Msamiati huu umeshamiri sana kwa vijana wa kisasa (dot com, a.k.a. instagram a.k.a. Facebook) kwani wengi wao hata hawajuwi mji mkuu wa Tanzania na Dar Es Salaam iko mkoa gani, ukiwauliza utasikia kusini ama Bagamoyo.
 
Tatizo hawa watu - watutsi wakikaaga sehemu muda mrefu basi wanafikiri hapo ni kwao wakati kwao ni ka nchi kadogo hata mkononi hakajai...si mnawaona akina koba,mukamasimba et al..wanajifanya wabongo kumbe ni wa kule kule...basi hata drc ni hivyo hivyo eti wamekaa kule 50 to 60 years so whatt????sio kwao thats it...namshukuru sana mh. rais JK kwa kuona mbali akaanzisha op. kimbunga maana cku za baadae wangekuja kudai pale ni kwao-kagera. ..mtaisoma number chezea JWTZ ww.
 
In English Please![/QUOTE
unachekesha sana wewe,wenzako wanajitahidi kukumbuka na kuandika Kiswahili kizuri maana hapa labda ndio sehemu pekee wanayoandika kiswahili
 
Da! umeandika kweli,lakini umeharibu hapo mwisho,hawa jamaa hawana muda wakubembeleza mtu,kama tanzania ilifikiri wataibembeleza siyo hizi nchi tatu wao wanajitoshereza.
Asikudanganye mtu ndugu yangu labda kwa watu kama akina Kagame but I believe Kenyatta is smart enough. Hata hao akina Kagame wangekuwa smart wangegundua ni very risk kuitegemea route moja! Kuna mtu hapa nilimweleza kuhusu unapofanya SWOT Analysis; ni lazima uangalie threats associated with any planned project! Ikiwa Rwanda wataamua ku-opt bandari ya Mombasa badala ya Dar es salaam; si tu kwamba efficiency ya hilo litategemea na stability ya Kenya Peke yake bali pia Uganda coz' the route inapitia two different countries! Museven nae katika kufanya SWOT analysis anatakiwa kuangalia political and civil stability kati ya Tanzania na Kenya!

Trust me; moja ya lengo lao hawa jamaa ni kumtishia mtu mzima nyau ili aone anaachwa kisha tukurupuke kwenda ku-join nao kwa hofu kwamba tunaachwa!

Lakini tukija kwa Kenya nao, si tu kwamba bado analihitaji soko la Tanzania lakini Kenya wanategemea bandari moja! Kwenye kufanya SWOT Analysis, hilo nalo mtu lazima alizingatie kwamba what will happen linapotokea suala litakalofanya meli zishindwe kufunga gati pale Mombasa! Rejea tukio la hivi karibuni pale Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta! So, Tanzania wala hawana shida ya kubembelezwa na yeyote lakini kama ni rational decision makers na si kwamba wanakuwa dragged na mambo mengine basi Tanzania ni muhimu kwa wote hao.
 
Back
Top Bottom