Ninatabiri EAC kuvunjika soon!!!

Ninatabiri EAC kuvunjika soon!!!

[table="width: 1134"]
[tr]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td][/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td]total gdp (ppp); african/world[/td]
[td]nation[/td]
[td]african rank[/td]
[td]world rank[/td]
[td]area km2[/td]
[td]population [/td]
[td]gdp per capital [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td]rank 2010[/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$58,440,000,000.00[/td]
[td]tanzania[/td]
[td="align: Right"]50[/td]
[td="align: Right"]188[/td]
[td="align: Right"]945,203[/td]
[td="align: Right"]44,928,923[/td]
[td="align: Right"]$720.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$3,397,000,000.00[/td]
[td]burundi[/td]
[td="align: Right"]49[/td]
[td="align: Right"]186[/td]
[td="align: Right"]27,834[/td]
[td="align: Right"]8,749,000[/td]
[td="align: Right"]$753.00[/td]
[td="align: Right"]$2,148.00[/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$23,120,000,000.00[/td]
[td]democratic republic of the congo[/td]
[td="align: Right"]51[/td]
[td="align: Right"]189[/td]
[td="align: Right"]2,345,409[/td]
[td="align: Right"]75,507,308[/td]
[td="align: Right"]$675.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td]total[/td]
[td="align: Right"]$84,957,000,000.00[/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td="align: Right"]3,318,446[/td]
[td="align: Right"]129,185,231[/td]
[td="align: Right"]$716.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$66,030,000,000.00[/td]
[td]kenya[/td]
[td="align: Right"]39[/td]
[td="align: Right"]174[/td]
[td="align: Right"]581,309[/td]
[td="align: Right"]44,354,000[/td]
[td="align: Right"]$1,125.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$12,160,000,000.00[/td]
[td]rwanda[/td]
[td="align: Right"]32[/td]
[td="align: Right"]164[/td]
[td="align: Right"]26,338[/td]
[td="align: Right"]12,012,589[/td]
[td="align: Right"]$1,431.00[/td]
[td="align: Right"]$4,373.00[/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$42,150,000,000.00[/td]
[td]uganda[/td]
[td="align: Right"]26[/td]
[td="align: Right"]155[/td]
[td="align: Right"]236,040[/td]
[td="align: Right"]35,873,253[/td]
[td="align: Right"]$1,817.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td]total[/td]
[td="align: Right"]$120,340,000,000.00[/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td="align: Right"]843,687[/td]
[td="align: Right"]92,239,842[/td]
[td="align: Right"]$1,457.67[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td="colspan: 2"]current east african community [/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$66,030,000,000.00[/td]
[td]kenya[/td]
[td="align: Right"]39[/td]
[td="align: Right"]174[/td]
[td="align: Right"]581,309[/td]
[td="align: Right"]44,354,000[/td]
[td="align: Right"]$1,125.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$12,160,000,000.00[/td]
[td]rwanda[/td]
[td="align: Right"]32[/td]
[td="align: Right"]164[/td]
[td="align: Right"]26,338[/td]
[td="align: Right"]12,012,589[/td]
[td="align: Right"]$1,431.00[/td]
[td="align: Right"]$5,846.00[/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$42,150,000,000.00[/td]
[td]uganda[/td]
[td="align: Right"]26[/td]
[td="align: Right"]155[/td]
[td="align: Right"]236,040[/td]
[td="align: Right"]35,873,253[/td]
[td="align: Right"]$1,817.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$58,440,000,000.00[/td]
[td]tanzania[/td]
[td="align: Right"]50[/td]
[td="align: Right"]188[/td]
[td="align: Right"]945,203[/td]
[td="align: Right"]44,928,923[/td]
[td="align: Right"]$720.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$3,397,000,000.00[/td]
[td]burundi[/td]
[td="align: Right"]49[/td]
[td="align: Right"]186[/td]
[td="align: Right"]27,834[/td]
[td="align: Right"]8,749,000[/td]
[td="align: Right"]$753.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[/tr]
[tr]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[/tr]
[tr]
[td]total[/td]
[td="align: Right"]$182,177,000,000.00[/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td="align: Right"]1,816,724[/td]
[td="align: Right"]145,917,765[/td]
[td="align: Right"]$1,169.20[/td]
[td][/td]
[/tr]
[/table]
 
[table="width: 940"]
[tr]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td][/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td]total gdp (ppp); african/world[/td]
[td]nation[/td]
[td]african rank[/td]
[td]world rank[/td]
[td]area km2[/td]
[td]population [/td]
[td]gdp per capital [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td]rank 2010[/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$58,440,000,000.00[/td]
[td]tanzania[/td]
[td="align: Right"]50[/td]
[td="align: Right"]188[/td]
[td="align: Right"]945,203[/td]
[td="align: Right"]44,928,923[/td]
[td="align: Right"]$720.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$3,397,000,000.00[/td]
[td]burundi[/td]
[td="align: Right"]49[/td]
[td="align: Right"]186[/td]
[td="align: Right"]27,834[/td]
[td="align: Right"]8,749,000[/td]
[td="align: Right"]$753.00[/td]
[td="align: Right"]$2,148.00[/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$23,120,000,000.00[/td]
[td]democratic republic of the congo[/td]
[td="align: Right"]51[/td]
[td="align: Right"]189[/td]
[td="align: Right"]2,345,409[/td]
[td="align: Right"]75,507,308[/td]
[td="align: Right"]$675.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td]total[/td]
[td="align: Right"]$84,957,000,000.00[/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td="align: Right"]3,318,446[/td]
[td="align: Right"]129,185,231[/td]
[td="align: Right"]$716.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$66,030,000,000.00[/td]
[td]kenya[/td]
[td="align: Right"]39[/td]
[td="align: Right"]174[/td]
[td="align: Right"]581,309[/td]
[td="align: Right"]44,354,000[/td]
[td="align: Right"]$1,125.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$12,160,000,000.00[/td]
[td]rwanda[/td]
[td="align: Right"]32[/td]
[td="align: Right"]164[/td]
[td="align: Right"]26,338[/td]
[td="align: Right"]12,012,589[/td]
[td="align: Right"]$1,431.00[/td]
[td="align: Right"]$4,373.00[/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$42,150,000,000.00[/td]
[td]uganda[/td]
[td="align: Right"]26[/td]
[td="align: Right"]155[/td]
[td="align: Right"]236,040[/td]
[td="align: Right"]35,873,253[/td]
[td="align: Right"]$1,817.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td]total[/td]
[td="align: Right"]$120,340,000,000.00[/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td="align: Right"]843,687[/td]
[td="align: Right"]92,239,842[/td]
[td="align: Right"]$1,457.67[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td="colspan: 2"]current east african community [/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$66,030,000,000.00[/td]
[td]kenya[/td]
[td="align: Right"]39[/td]
[td="align: Right"]174[/td]
[td="align: Right"]581,309[/td]
[td="align: Right"]44,354,000[/td]
[td="align: Right"]$1,125.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$12,160,000,000.00[/td]
[td]rwanda[/td]
[td="align: Right"]32[/td]
[td="align: Right"]164[/td]
[td="align: Right"]26,338[/td]
[td="align: Right"]12,012,589[/td]
[td="align: Right"]$1,431.00[/td]
[td="align: Right"]$5,846.00[/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$42,150,000,000.00[/td]
[td]uganda[/td]
[td="align: Right"]26[/td]
[td="align: Right"]155[/td]
[td="align: Right"]236,040[/td]
[td="align: Right"]35,873,253[/td]
[td="align: Right"]$1,817.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$58,440,000,000.00[/td]
[td]tanzania[/td]
[td="align: Right"]50[/td]
[td="align: Right"]188[/td]
[td="align: Right"]945,203[/td]
[td="align: Right"]44,928,923[/td]
[td="align: Right"]$720.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td] [/td]
[td="align: Right"]$3,397,000,000.00[/td]
[td]burundi[/td]
[td="align: Right"]49[/td]
[td="align: Right"]186[/td]
[td="align: Right"]27,834[/td]
[td="align: Right"]8,749,000[/td]
[td="align: Right"]$753.00[/td]
[td] [/td]
[/tr]
[tr]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[/tr]
[tr]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[/tr]
[tr]
[td]total[/td]
[td="align: Right"]$182,177,000,000.00[/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td] [/td]
[td="align: Right"]1,816,724[/td]
[td="align: Right"]145,917,765[/td]
[td="align: Right"]$1,169.20[/td]
[td][/td]
[/tr]
[tr]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[td][/td]
[/tr]
[/table]
 
Probably imeshavunjika so kila mtu anaangalia nani mwenye interest nae ndio rafiki anaebaki nae..na key part kwenye hiyo interest ni bandari..so major players ni Tanzania and Kenya
 
Ndugu zangu Watanzania,ni rai yangu kwamba tunapotengwa na majirani zetu,tutumie tukio hilo kujenga mshikamano mkubwa ndani ya nchi na kuondoa tofauti zetu.
  • Tofauti zetu katika masuala ya siasa zisitutenganishe bali zituunganishe na tukosoane kwa nia ya kujenga nchi.
  • Tofauti zetu za kikabila zituweke pamoja kama ndugu wa Taifa moja.
  • Tofauti zetu za kidini zitujengee mshikamano wa kupendana na kushikamana pamoja kila mtu akiheshimu dini ya jirani yake.
Tukifanikiwa kujenga umoja huu wa familia ya Taifa letu,tutakuwa tumejenga ulinzi mkubwa wa Taifa dhidi ya majirani zetu wanaotutenga kwa sababu tumekataa kuwapa ardhi yetu ambayo walikuwa wakiitafuta kwa nguvu zao zote.
Hebu tujadili kwa uwazi;mimi nimeanza na wengine waendelee.
 
Kama ilivyokuwa mwaka 1977 ambapo wajuaji walikuja na majigambo yao na kuubeza umoja wa Afrika Mashariki leo hii nauona huu wa sasa siyo ushirikiano wa Afrika Mashariki bali ndani yake viongozi hawa wamejaa mate ya hasira kwa Tanzania. Ushauri wa Kikwete kwa Kagame ilikuwa sababu tu lakini fukuto lilishakuwepo pale Tanzania ilipokataa ardhi isiwepo kama kitu halali kwa wanajumuuiya kurithi.

Naunga mkono sana ardhi yetu isiwe shamba la bibi kila mwana Afrika Mashariki akarithi nasema heko Jakaya Kikwete kwa kupinga hilo na hilo ndilo linalowauma sana. Sasa hivi wameanza kubuni mbinu za kupanga uzazi ili kuwe na limit za kuzaa kisa ni uhaba wa ardhi. Niafadhali Tanzania ijitoe katika muungano huu wa mashaka. Wakati Rwanda ikiomba kujiunga Jumuiya ya Afrika Mashariki wengi walitabiri kuwa huu utakuwa ni mwisho wa uwepo wa Jumuiya Halisi ya Afrika Mashariki, sasa nakubali.

Jana katika majarida inasemekana Kikwete alialikwa kuhudhuria mkutano wa wakuu kule Rwanda, hakika Mh. Kikwete alifanya jema kukataa kwenda. Mh. Rais bado tunakupenda sana. Jumuiya hii ya Afrika Mashariki iko ICU hatuna haja nayo, turudi zetu SADC. Yule kiongozi wa waasi M23 amerudi kwao Uganda kujipanga upya nasema karudi kwao kwasababu Uganda na Rwanda wanakifadhili kikundi hiki kuivuruga DRC ya Kabila.

Kama Museveni aliishi hapa Tanzania kule Bukoba na kupatia urais wake kwa msaada wa Tanzania laana itamkuta tu. Kama Kagame aliishi hapa Mtoni Kwa Aziz Ally na kutulia akupanga namna atakavyoitawala Rwanda hapo baadaye basi naye huyu hii laana ya kujitenga haitamuepuka.

Sisi Watanzania hatushangai kamwe kuona tabia hii ya ubaguzi inavyoshamiri kwani HAO WAMEZOEA KUBAGUANA. Hadi sasa wanajaribu kuwa wamoja lakini muziki huu hawatauweza roho zao zimeumbwa zikiwa na vyumba vya uhasama. Tanzania ni nchi ya mfano kwa umoja wake. We are BIG NATION MEEEEEN!!!

Kiburi cha Kagame + Usugu wa Museveni X Uwepo wa Uhuru = Hila, Hasira, Kutiliana Shaka, Viburi na Mwisho wake KUSAMBARATIKA. Muda si mrefu Uhuru Kenyatta ataota kiburi cha kujifanya ndiye mwezeshaji wa utengemao wa Jumuiya yao mpya. Baba yake Mzee Jomo Kenyatta aliiheshimu sana Tanzania.

Mh. Samwel Sitta ametoa tamko zuri sana kwamaba sisi siyo wakupewa talaka bali ni wa kutoa talaka kwa hao wanawali, Tanzania ilikuwa na wazo la kuunda umoja huu Kenyatta akalikubali akafuatia Milton Obote. Hivyo ni sisi tunatakiwa tutoe talaka kwamba hatuwataki.

TANZANIA IS A GREAT NATION FOREVER.

Hebu naomba nipe more details hapo kwenye red
 
Trully TZ is a great country! Pamoja na kuwa tunawahitaji kiuchumi, lakini tangu awali sisi ni maskini jeuri. Muungano wao wa kisiasa naona utakuwa na muda mfupi sana wa kuishi na kwa vyovyote watatuhitaji tu katika mambo fulani! Bado sisi ni wakubwa kuliko wao hata baada ya kuungana. Tutafanya biashara nao!
 
Ivunjike tu. Wivu, choyo na kijicho dhidi yetu kina wasumbua. Wanatamani ardhi yetu, na kupendwa kwetu ulimwenguni. Tusha wapita hoa, sisi sasa ni second world.
Hizi akili za kibwege ndio matatizo yote,ndio maana wameamua kuendelea na mipango yao kivyao na anayelalmika na maneno ya kidwanzi ni watu kama wewe,...second world my azz!!!
 
Hizi akili za kibwege ndio matatizo yote,ndio maana wameamua kuendelea na mipango yao kivyao na anayelalmika na maneno ya kidwanzi ni watu kama wewe,...second world my azz!!!
Kinachowasumbua hao EAC ni lack of identity and credibility.
 
EAC haita vunjika mimi ni nacho ona ni TANZANIA kuondolewa au kujiondoa katika community sio kuvunjika,tatizo watanzania wengi wanafikiri TANZANIA ndio EAC,sio hivyo,naimani kwamba kutoka kwa tanzania itarahisisha mipango ya EAC kwenda kasi kwani mambo ya kusubiri wanao suasua kwa kigezo cha kua na hofu ya washirika wenzake eti wanataka udongo wa tanzania haiwezi jenga EAC,nafikiri hawa viongozi wamaliona hilo,EAC haita vunjika instead sasa ndio inaenda kuonekana kwa vitendo.
shida ni kwamba wenzenu wanahangaika na mikataba ya maendeleo ninyi mnahangaikia amani kwenye nchi zawengine.hii ndiyo tofauti iliyopo.
 
Kwa kuzingatia historia pana ya jumuiya ya Africa Mashariki utagundua kuwa Jumuiya ya kwanza iliyoundwa mwaka 1967 ilianguka mwaka 1977 pamoja na sababu zingine sababu kubwa ni utofauti wa kiuchumi katika ya nchi wanachama wakati huo kenya ilikuwa mbele kiuchumi iliongozwa na Jomo Kenyatta aliye fariki mwaka 1978 hivyo aliona hakuna umuhimu wa kuendela na jumuiya hii wakati nchi kama Tanzania na Uganda ni Tegemzi kwa kenya.
Baada ya Uhuru Kenya kuingia madarakani mwaka huu kumekuwa na mfululizo wa mikutano na maazimio kati ya uganda na Rwanda huku Tanzania tukiwa tumetengwa. Juhudi hizi zimeambatana na maazimio ya kuhakikisha kuwa nchi hizo tatu zinakuwa kiuchumi na Engeener mkubwa ambaye atauwa jumuiya hii ni Uhuru Kenyata kwani kabla ya kuingia madarakani uhusiano wa Viongozi wa Africa mashariki wote watatu akiwepo Mwai Kibaki ulikuwa mzuri.
Tanzania tujiandaye kisaikolojia kwa lolote hasa wale wabunge walioenda kufuata posho huko ambao walitoa rushwa tena kwa kuvunja kanuni za Bunge ili wachagulie huko.
 
EAC haita vunjika mimi ni nacho ona ni TANZANIA kuondolewa au kujiondoa katika community sio kuvunjika,tatizo watanzania wengi wanafikiri TANZANIA ndio EAC,sio hivyo,naimani kwamba kutoka kwa tanzania itarahisisha mipango ya EAC kwenda kasi kwani mambo ya kusubiri wanao suasua kwa kigezo cha kua na hofu ya washirika wenzake eti wanataka udongo wa tanzania haiwezi jenga EAC,nafikiri hawa viongozi wamaliona hilo,EAC haita vunjika instead sasa ndio inaenda kuonekana kwa vitendo.

Subirini tuwaachie Jumuiya yenu mnayotaka kuiunda watuhumiwa wa kesi za ICC ili muendelee kupeana moyo lakini mjue ya kuwa kule DRC tutaendelea kuwanyuka hadi mshike adamu zenu na mkianza kupigana tena vita zenu za ukabila msitujazie wakimbizi wenu huku tumewachoka mijitu msiyokuwa na shukrani.

Tatizo lenu kubwa mna tamaa ya Rasilimali na mmejaa roho mbaya ndo maana kila siku mnauana kama kuku. Rwanda wamepewa favour kujiunga na EAC lakini sasa hivi wanajifanya much know na pia wanataka kuiongeza Sudan kwenye EAC nina uhakika wataiongeza hadi Somalia, nashauri umoja wao waubadilishe jina na kuuita Umoja wa nchi za Ukabila na Vita za Afrika.
 
Hivi TZ tukitana kujitoa EAC tunapaswa kufanya nini? ni Bunge kupiga kura au wananchi kupiga kura ya Maoni tujitoe kabisa EAC na tujikite SADC haswaaa!!
 
EAC bila Tanzania ni sawa na hakuna ,hiyo nyingine siyo EAC.Tanzania kwanza EAC baadaye
 
EAC bila Tanzania ni sawa na hakuna ,hiyo nyingine siyo EAC.Tanzania kwanza EAC baadaye

Mie nashangaa sana kila kwenye thread ya EAC naona watu wanaongelea mizigo ya rwanda na uganda kupita dar port...hivi vinchi vya rwanda na uganda vina mizigo mingi eeh?maana ndo naona faida pekee kutoka kwenye hivi vinchi au kuna ingine?
 
Ivunjike tu. Wivu, choyo na kijicho dhidi yetu kina wasumbua. Wanatamani ardhi yetu, na kupendwa kwetu ulimwenguni. Tusha wapita hoa, sisi sasa ni second world.

Unaandikanini tazama uchumi wa KENYA na RWANDA ndipo ujue
 
[h=5]So silly of Kagame and Museven,and I guessed they used the vulnerable Kenyatta in the name of protection from the West(as if they can!),destroying the most valuable organization for all the East African peoples in misplaced hopes.
Its time for Tanzania to admit that, it is difficult co-operate with our immediate neighbors, as they are suffering from a chronic disease which will always bring political tensions in our spheres!!!Its called "tribalism". The effects of which makes every leader wanting to cling into power at all costs.(for his tribe's sake if u know what I mean). Sometimes even if it means destroying the whole of East Africa Economy.
Tanzania is ready to fly,if this fails lets spread our wings much further now,forget the neighbors,they are nothing but opportunists!(Tanzanian land is for the Tanzanians,Nyerere taught us that, and will try and keep that way).It does not mean we can not co-operate on other issues with our neighbors,they have already got a big percentage of our executive posts in our employment system for God sake. What more do they want?
The thing is,we cannot run a partnership which resembles a guerrilla warfare! So if the EAC fails this time, I say FoRGET EAC!!!
lets go FURTHER CENTRAL,SOUTH,WEST AND NORTH! and for this I will back my Government Tanzania.[/h]
 
Thank you so much for your posting. These 3 thugs (Kagame, Museveni and Uhuru) lack credibility and identity. It's just a matter of time before the entire world realize what these thugs are made of as well as their true colors.
 
Back
Top Bottom