RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,124
Mimi ni kijana wa miaka 23, kwa miezi kama 7 hivi nimekuwa nikishambuliwa na chunusi na upele usoni.
Upele wenyewe ni mkubwa na nikiuminya yanatoa usaha. Nimejaribu kutumia sabuni na mafuta aina mbalimbali lakini yamekuwa yakipona alafu yajirudia tena.
Wadau ninaomba msaada ninawezaje kuondokana na tatizo hili?
Upele wenyewe ni mkubwa na nikiuminya yanatoa usaha. Nimejaribu kutumia sabuni na mafuta aina mbalimbali lakini yamekuwa yakipona alafu yajirudia tena.
Wadau ninaomba msaada ninawezaje kuondokana na tatizo hili?