Hawawez kufa hakuna jipya wasilolijuaNyie Wazee Mnataka wawafie
Yule simtakii hata kwa bunduki....Babu Asprin wapii jaman anapoteza bahat
Aliniambia anataka kunifanyia ukaguzi aiseee ngojaYule simtakii hata kwa bunduki....
Bazazi mkongwe humu
Madem wa dar bhna unaweza ata kuwatongozea missed call
hahahaBange / Bangi uliyoiagiza leo una uhakika ilikuwa ndiyo yenyewe na imekomaa kwa matumizi sahihi ya Binadamu kama Wewe?
Kumbe missed call tuu bhana