Ninapendwa mie

Ninapendwa mie

Dejane

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
51,002
Reaction score
72,284
Jamani napendwa mimi nnaringa kama mme wangu ananipenda hivi nahisi jf tunaimiliki sisi, Nakupenda we mwanaume unanipenda Sana, Acha niseme Hakuna mwanaume anaenipa faraja na furaha Kama wewe ,Najua Nishakuambia Kila kitu kuhusu mimi na mti wenye matunda ndio hupigwa mawe
Oneni hizi missed call
Napendwa mie Kwa mara ya pili napendwa naupokea upendo baba Kwa mikono miwili
Nakupenda sana
c81434f4b5b22f31c3e639a39b74ccb6.jpg
 
Jamani napendwa mimi nnaringa kama mme wangu ananipenda hivi nahisi jf tunaimiliki sisi, Nakupenda we mwanaume unanipenda Sana, Acha niseme Hakuna mwanaume anaenipa faraja na furaha Kama wewe ,Najua Nishakuambia Kila kitu kuhusu mimi na mti wenye matunda ndio hupigwa mawe
Oneni hizi missed call
Napendwa mie Kwa mara ya pili napendwa naupokea upendo baba Kwa mikono miwili
Nakupenda sana
c81434f4b5b22f31c3e639a39b74ccb6.jpg
Tulia akupige mimba uzae upauke ubaki singo maza ndo utajua kama anakupenda ama laa
Acha tu nimpendee Hakuna kama yeye
 
Jamani napendwa mimi nnaringa kama mme wangu ananipenda hivi nahisi jf tunaimiliki sisi, Nakupenda we mwanaume unanipenda Sana, Acha niseme Hakuna mwanaume anaenipa faraja na furaha Kama wewe ,Najua Nishakuambia Kila kitu kuhusu mimi na mti wenye matunda ndio hupigwa mawe
Oneni hizi missed call
Napendwa mie Kwa mara ya pili napendwa naupokea upendo baba Kwa mikono miwili
Nakupenda sana
c81434f4b5b22f31c3e639a39b74ccb6.jpg

Bange / Bangi uliyoiagiza leo una uhakika ilikuwa ndiyo yenyewe na imekomaa kwa matumizi sahihi ya Binadamu kama Wewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom