Wewe hukuona mtu wa kumpigia isipokuwa yule mnafik kubenea? Unasikitisha sana.
Afadhali anaempigia Kubenea kuliko anaempigia yule muhuni Nape na Mwighulu.
Wewe hukuona mtu wa kumpigia isipokuwa yule mnafik kubenea? Unasikitisha sana.
Hapana Abel.....bado nitampigia Magufuli. Lakini nataka kumpigia kura Kubenea jimbo la Ubungo. Nataka ikiwezekana wabunge wa CCM hapa DSM wawe walau watatu (3) tu. Wabunge wchache kama Filikunjombe nitafurahi wakirudi.
Ndoto yako siyo halisi maana Katiba yetu haituhusu hayo. Kumbuka kwa Katiba na mfumo wa sasa kura unayompigia rais pia inamwongezea mbunge wa viti maalum! Mabadiliko pekee yatakuja kwa kuanzia kubadilisha Katiba - na siyo hii iliyopendekezwa maana bado haina hayo mabadiliko unayoyaotaMsema kweli mpenzi wa Mungu... Mimi kama mpiga kura wa nchi hii nitampigia kura Magufuli ili awe rais wa nchi hii. Lakini ninataka kupiga kura kwa wabunge na madiwani wa upinzani nikiwa na lengo la kuiangusha CCM. CCM nimeichukia lakini walinichanganya walipoleta mgombea ninayemuona ana nia ya kurejesha maendeleo ya Tanzania ambayo CCM imeyageuza kuwa mtaji wao wa kujitajirisha na kuacha masikini wakiwa hoi. Ninahamasisha, tuwanyime kura wabunge wa CCM ili mwisho wa siku wabaki wabunge ambao hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali isipokuwa wameshirikiana na vyama vya upinzani kuweka serikali ya umoja wa kitaifa kama Zanzibar. Ni vizuri sana kupata serikali ya pamoja ''Coalition'' ambayo napenda iundwe kwa ushirikiano kati ya CCM na UKAWA chini ya makubaliano ya win-win situation. Hii itatufanya 2020 tuuunde serikali nyingine tena itakayokuwa ya vyama zaidi ya vitatu. mfano CCM, Chadema, CUF na ACT wakaunda serikali ya pamoja. Sisi wananchi ndiyo tutafaidi na siyo chama kimoja na wanaojiita wenye chama; hao wapo kila chama katika nchi hii (CCM ina wenyewe,,Chadema ina wenyewe n.k.). Siyo rahisi kuingia akilini mwetu maana tulizoea CCM chama tawala (''twawala'') lakini hii nimeiona hapa (nchi tajiri hii) inawezekana https://en.wikipedia.org/wiki/Finnish_parliamentary_election,_2015
Government formation
As the leader of the largest party, Juha Sipilä of Centre was tasked with forming the new government coalition. In early May Sipilä announced that he will seek to form a right-leaning majority coalition consisting of the three largest parties – the Centre Party, the Finns Party and the National Coalition Party.[SUP][8][/SUP] The coalition negotiations were successful and led to the formation of the Sipilä cabinet on 29 May 2015.
Afadhali anaempigia Kubenea kuliko anaempigia yule muhuni Nape na Mwighulu.
Msema kweli mpenzi wa Mungu... Mimi kama mpiga kura wa nchi hii nitampigia kura Magufuli ili awe rais wa nchi hii. Lakini ninataka kupiga kura kwa wabunge na madiwani wa upinzani nikiwa na lengo la kuiangusha CCM. CCM nimeichukia lakini walinichanganya walipoleta mgombea ninayemuona ana nia ya kurejesha maendeleo ya Tanzania ambayo CCM imeyageuza kuwa mtaji wao wa kujitajirisha na kuacha masikini wakiwa hoi. Ninahamasisha, tuwanyime kura wabunge wa CCM ili mwisho wa siku wabaki wabunge ambao hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali isipokuwa wameshirikiana na vyama vya upinzani kuweka serikali ya umoja wa kitaifa kama Zanzibar. Ni vizuri sana kupata serikali ya pamoja ''Coalition'' ambayo napenda iundwe kwa ushirikiano kati ya CCM na UKAWA chini ya makubaliano ya win-win situation. Hii itatufanya 2020 tuuunde serikali nyingine tena itakayokuwa ya vyama zaidi ya vitatu. mfano CCM, Chadema, CUF na ACT wakaunda serikali ya pamoja. Sisi wananchi ndiyo tutafaidi na siyo chama kimoja na wanaojiita wenye chama; hao wapo kila chama katika nchi hii (CCM ina wenyewe,,Chadema ina wenyewe n.k.). Siyo rahisi kuingia akilini mwetu maana tulizoea CCM chama tawala (''twawala'') lakini hii nimeiona hapa (nchi tajiri hii) inawezekana https://en.wikipedia.org/wiki/Finnish_parliamentary_election,_2015
[h=2]Government formation[/h]As the leader of the largest party, Juha Sipilä of Centre was tasked with forming the new government coalition. In early May Sipilä announced that he will seek to form a right-leaning majority coalition consisting of the three largest parties the Centre Party, the Finns Party and the National Coalition Party.[SUP][8][/SUP] The coalition negotiations were successful and led to the formation of the Sipilä cabinet on 29 May 2015.
Kura yangu pamoja na familia yangu kwa Magufuli.
Lowasa hafai karibia hata kuta za ikulu.
Mtoa mada mugu(1)upo Kanisani)(1)upo kirabuni
Ndoto yako siyo halisi maana Katiba yetu haituhusu hayo. Kumbuka kwa Katiba na mfumo wa sasa kura unayompigia rais pia inamwongezea mbunge wa viti maalum! Mabadiliko pekee yatakuja kwa kuanzia kubadilisha Katiba - na siyo hii iliyopendekezwa maana bado haina hayo mabadiliko unayoyaota
Wewe hukuona mtu wa kumpigia isipokuwa yule mnafik kubenea? Unasikitisha sana.
Mkuu i salute you, we are sharing the same vision, on my thinking by 2020 Opposition ina possibility ya kuwa na credible and competetent candidate, na tukiwa na serikali ya mseto ni rahisi kuirudisha katiba ya Warioba pia mgombea wa CCM Magufuli atatawala kwa miaka mitano tu, angalau nchi itakuwa safe, under the same situation sioni hawa wapenda madaraka wa CHADEMA Wanapoweza kutufikisha.Msema kweli mpenzi wa Mungu... Mimi kama mpiga kura wa nchi hii nitampigia kura Magufuli ili awe rais wa nchi hii. Lakini ninataka kupiga kura kwa wabunge na madiwani wa upinzani nikiwa na lengo la kuiangusha CCM. CCM nimeichukia lakini walinichanganya walipoleta mgombea ninayemuona ana nia ya kurejesha maendeleo ya Tanzania ambayo CCM imeyageuza kuwa mtaji wao wa kujitajirisha na kuacha masikini wakiwa hoi. Ninahamasisha, tuwanyime kura wabunge wa CCM ili mwisho wa siku wabaki wabunge ambao hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali isipokuwa wameshirikiana na vyama vya upinzani kuweka serikali ya umoja wa kitaifa kama Zanzibar. Ni vizuri sana kupata serikali ya pamoja ''Coalition'' ambayo napenda iundwe kwa ushirikiano kati ya CCM na UKAWA chini ya makubaliano ya win-win situation. Hii itatufanya 2020 tuuunde serikali nyingine tena itakayokuwa ya vyama zaidi ya vitatu. mfano CCM, Chadema, CUF na ACT wakaunda serikali ya pamoja. Sisi wananchi ndiyo tutafaidi na siyo chama kimoja na wanaojiita wenye chama; hao wapo kila chama katika nchi hii (CCM ina wenyewe,,Chadema ina wenyewe n.k.). Siyo rahisi kuingia akilini mwetu maana tulizoea CCM chama tawala (''twawala'') lakini hii nimeiona hapa (nchi tajiri hii) inawezekana https://en.wikipedia.org/wiki/Finnish_parliamentary_election,_2015
Government formation
As the leader of the largest party, Juha Sipilä of Centre was tasked with forming the new government coalition. In early May Sipilä announced that he will seek to form a right-leaning majority coalition consisting of the three largest parties – the Centre Party, the Finns Party and the National Coalition Party.[SUP][8][/SUP] The coalition negotiations were successful and led to the formation of the Sipilä cabinet on 29 May 2015.