Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 994
Msema kweli mpenzi wa Mungu... Mimi kama mpiga kura wa nchi hii nitampigia kura Magufuli ili awe rais wa nchi hii. Lakini ninataka kupiga kura kwa wabunge na madiwani wa upinzani nikiwa na lengo la kuiangusha CCM. CCM nimeichukia lakini walinichanganya walipoleta mgombea ninayemuona ana nia ya kurejesha maendeleo ya Tanzania ambayo CCM imeyageuza kuwa mtaji wao wa kujitajirisha na kuacha masikini wakiwa hoi. Ninahamasisha, tuwanyime kura wabunge wa CCM ili mwisho wa siku wabaki wabunge ambao hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali isipokuwa wameshirikiana na vyama vya upinzani kuweka serikali ya umoja wa kitaifa kama Zanzibar. Ni vizuri sana kupata serikali ya pamoja ''Coalition'' ambayo napenda iundwe kwa ushirikiano kati ya CCM na UKAWA chini ya makubaliano ya win-win situation. Hii itatufanya 2020 tuuunde serikali nyingine tena itakayokuwa ya vyama zaidi ya vitatu. mfano CCM, Chadema, CUF na ACT wakaunda serikali ya pamoja. Sisi wananchi ndiyo tutafaidi na siyo chama kimoja na wanaojiita wenye chama; hao wapo kila chama katika nchi hii (CCM ina wenyewe,,Chadema ina wenyewe n.k.). Siyo rahisi kuingia akilini mwetu maana tulizoea CCM chama tawala (''twawala'') lakini hii nimeiona hapa (nchi tajiri hii) inawezekana https://en.wikipedia.org/wiki/Finnish_parliamentary_election,_2015
[h=2]Government formation[/h]As the leader of the largest party, Juha Sipilä of Centre was tasked with forming the new government coalition. In early May Sipilä announced that he will seek to form a right-leaning majority coalition consisting of the three largest parties the Centre Party, the Finns Party and the National Coalition Party.[SUP][8][/SUP] The coalition negotiations were successful and led to the formation of the Sipilä cabinet on 29 May 2015.
[h=2]Government formation[/h]As the leader of the largest party, Juha Sipilä of Centre was tasked with forming the new government coalition. In early May Sipilä announced that he will seek to form a right-leaning majority coalition consisting of the three largest parties the Centre Party, the Finns Party and the National Coalition Party.[SUP][8][/SUP] The coalition negotiations were successful and led to the formation of the Sipilä cabinet on 29 May 2015.