che chaunichile
JF-Expert Member
- Jul 4, 2026
- 439
- 737
Tupunguze bangi. Bangi zinatufanya tusione clearly, tunaona mimoshi tu na maruweruweNikisubiri 2040 ndio aishike nchi,sina uhakika na uhai wangu kutokana na umri wangu.
Japo Mimi ni Dola,lakini siwaani hawa wenzangu kama watampitisha hiyo 2040.
Hivyo muda pekee ni hii 2030 kwani Bado Nina nguvu na ushawishi mkubwa.
Nitawapoteza wote watakao zuia mwanangu asiwe raisi 2030.
Kwaherini
Prince wangu hauziki bila Mimi,hivyo lazima nimsimamieTupubguze bangi
Asante mkuu japo hauziki mwanangu,ila kwa kuwa Mimi ni Dola atakuwa tuHongera
Nimeandika haya nikiwa na akili timamuUMEKULA?
ok.Nikisubiri 2040 ndio aishike nchi,sina uhakika na uhai wangu kutokana na umri wangu.
Japo Mimi ni Dola,lakini siwaani hawa wenzangu kama watampitisha hiyo 2040.
Hivyo muda pekee ni hii 2030 kwani Bado Nina nguvu na ushawishi mkubwa.
Nitawapoteza wote watakao zuia mwanangu asiwe raisi 2030.
Kwaherini
Sasa bila hivyo nani atailinda miradi yetu tuliyoianzisha kifisadi.Kila mmoja akitaka mwanae awe namba 1 si itakuwa vurugu Nchi nzima
Waelewe na sisi pia tuna vijana wetu tungependa waje kuwa namba moja kabla hatujaaga Dunia
Naomba ushirikiano woko,nakuhakikishia utauona ufalme wangu
Kila saa kwa kuwa mimi ni dola, kwa kuwa mimi ni dolaAsante mkuu japo hauziki mwanangu,ila kwa kuwa Mimi ni Dola atakuwa tu
binafsi natamani zaidi kuona ufalme wa Mungu gentleman,Naomba ushirikiano woko,nakuhakikishia utauona ufalme wangu
Hahaha.........hapo lazima upambane umweke kijana wako tu, hata kama italazimu kuua Watanganyika woteSasa bila hivyo nani atailinda miradi yetu tuliyoianzisha kifisadi.
Naongea kutoka moyoniAcha mafumbo we mzee
Huo kuupata ni ngumu,huu wa kwangu ni rahisibinafsi natamani zaidi kuona ufalme wa Mungu gentleman,
na si vinginevyo
Haya kunywa maji sasaNaongea kutoka moyoni