Ninaomba msaada wa picha za Mateso ya Watanzania wakati wa Uchaguzi

Unaweza kukaa kimya wengine wakanisaidia kama unasoma huelewi ninalo sema .Tafadhali akili za kukurupuka si akili ndugu zanguni .Kama huna msaada kaa kimya .Nimeomba for a reason na nimesema niko mpanda slow connection ku search .Ama wewe kila kitu unapinga tu imesha kuwa mazoea ?

Jamani naombeni msaada hata wa link pekee hata toka hapa hapa JK
 
Back
Top Bottom