xbs
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 247
- 218
Unaweza kukaa kimya wengine wakanisaidia kama unasoma huelewi ninalo sema .Tafadhali akili za kukurupuka si akili ndugu zanguni .Kama huna msaada kaa kimya .Nimeomba for a reason na nimesema niko mpanda slow connection ku search .Ama wewe kila kitu unapinga tu imesha kuwa mazoea ?
Jamani naombeni msaada hata wa link pekee hata toka hapa hapa JK