Precious adam
Member
- Jan 6, 2018
- 40
- 11
Natumaini mnaendelea vizuri na ni wazima wa afya kwa mwaka huu mpya mm ni mwanafunzi ninayeingia kidato cha tatu mwakani na ninaamini nitafaulu kwa ufaulu mzuri lakini sins ada wazaz hawana uwezo hivyo naomba ufadhili wa miaka miwili tafadhali kutoa ni moyo si utajiri Mungu awaongoze naamin mtaniwezesha