Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,700
- 11,298
Wana JF, salam!
Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.
Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.
Wana JF, salam!
Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.
Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.
Mwigulu Nchemba natumaini ukimaliza hayo mafunzo utakuwa mtu wa kujibu hoja kwa hoja badala ya kujibu hoja kwa kutupa hoja za wapinzani sakafuni na kuwatukana;Wana JF, salam!
Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.
Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.
Barua imeonesha
muda wa kuanza tu ila najua sio mwaka mmoja ni kipindi kisichopungua
wiki tatu wala si zaidi ya miezi mitatu
Kafunzwe kuishi na watu na kuwa mzalendo wa kwel wa hii nchi na si mshabiki wa chama
Wana JF, salam!
Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.
Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.
Mwigulu,
Mimi sikushauri uende sababu nilipata taarifa kuwa huwa unatembea na wake za watu,
Sasa hebu ona wakati unaenda Igunga na kutembea na wake za watu si ungeweza kwenda
na wife wako au girlfriend wako?sasa huoni wewe utatumia hela za ufisadi kutembea na wake za watu?
Angalia wanajeshi wanaweza kukumaliza,jaribu kuwa binadamu yasijekukuta mabaya
Wana JF, salam!
Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.
Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.
Hujui unachokisema wewe,kula ugali ukalale!Mafunzo gani mtu unaenda kwa wiki tatu?Kama ni hivyo sioni wanachoenda kujifunza zaidi ya kupata sifa tu kuwa walienda JKT