Ninakwenda mafunzo ya JKT...

Ninakwenda mafunzo ya JKT...

Status
Not open for further replies.
Barua imeonesha muda wa kuanza tu ila najua sio mwaka mmoja ni kipindi kisichopungua wiki tatu wala si zaidi ya miezi mitatu

...waste of time.......na wala hamkuwa na nia ya kwenda JKT.......hii ndio inaitwa......... "funika kombe.........apite"......
 
Hongera Shemeji

Ila safari hii ukifunzwa uzalendo uelewe na ku-practice

Usifanye kama ulivyofanya kwenye hizo taaluma nyingine.....
Taaluma gani shemeji. Nakujua mara zote unasema na unafanya vitu ulivyo nauhakika mara hii unataka nawe kusemea vya kusikia?
 
Mwigulu,
Mimi sikushauri uende sababu nilipata taarifa kuwa huwa unatembea na wake za watu,
Sasa hebu ona wakati unaenda Igunga na kutembea na wake za watu si ungeweza kwenda
na wife wako au girlfriend wako?sasa huoni wewe utatumia hela za ufisadi kutembea na wake za watu?
Angalia wanajeshi wanaweza kukumaliza,jaribu kuwa binadamu yasijekukuta mabaya
Uongo mtupu hizo zilikuwa siasa za majitaka tu. Sijawahi hata kukutwa nimekaa popote na mke wa mtu. Mambo ya kutungwa tu nakufanya kete ya kisiasa. Kungekuwa na ukweli hali haingekuwa hivi. GT usipoteze muda kwa siasa za maji taka kwani hili halikuwasadia na waliotunga kwa ajili ya kampeni hizo. Sijawahi na wala sitegemei kutembea na mke wa mtu. Only that you dont know my wife, she is extra ordinary beatful, above all you dont know me una habari hizi tu za kuvumishwa kwa kutunga, am a servant of God
 
Ina maana ulikuwa bado hujaenda? Ndo maana ulikuwa mropokaji, sijui nadhani utujuze umepangwa kambi gani?
 
Ungonela wa ukweli,
Sijawahi kuwa mropokaji. Nitajie kitu nilichoropoka, nilisema bajeti kivuli sub standand haikuwa na mapato ya kodi wala yasio ya kodi na matumizi ukijumlisha yanapita bajeti, nao wakakubali makosa wakabadili na kuomba radhi. Ila walichikia wote na wafuasi wao. Mbona unaingia kwenye siasa za maji taka bila kujua lengo la aliyeweka maji taka.. Weka mkanda wa kitu cha hovyo ninachoongelea . Tuache chuki kisa tuko vyama tofauti bali tushindane kwa hoja. Sikwenda cos by 2000 namaliza frm 6 jkt ilikwisha futwa
 
hahaha, you are another! Hata mwenza wako umemjibu hivyo? Kuwa unajua tarehe ya kuanza na haujui ya kumaliza?
Jeshi litakuongezea maarifa kidogo. Kila la kheri. Ukifika tu uulize tarehe ya kumaliza ili utufahamishe tuje graduation yako!
Kuwa mwangalifu, vinginevyo utasababisha penati kuelekea golini kwako.
 
kaka huko jkt hakuna wanajeshi anayeweza kukulipua make nataman usirudi maana tutakuwa tumepunguza mali za umma zinazoliwa

kusema kweli ni laana ya hali ya juu kukubali kujinga Na ccm wakati unajua viogozi wake wanavyotafuna hii nchi vipande
Hivi unajivunia Mkapa aliyejipa kiwira
unajivunia sumaye mwenye hela zetu uswiz na shamba la kujigawia huko moro
unajivunia mramba, lowasa, membe na the worst kikwete na family...

Na kwa nguvu zote unasema eti tupo vyama tofauti.
Hapa ni wizi against wema

una gut kabisa ya kuvaa bendera shingon

usipo change ulaaniwe wewe na watoto wako na kizazi chao pia. watembelee magoti walie siku zote.
 
Uongo mtupu hizo zilikuwa siasa za majitaka tu. Sijawahi hata kukutwa nimekaa popote na mke wa mtu. Mambo ya kutungwa tu nakufanya kete ya kisiasa. Kungekuwa na ukweli hali haingekuwa hivi. GT usipoteze muda kwa siasa za maji taka kwani hili halikuwasadia na waliotunga kwa ajili ya kampeni hizo. Sijawahi na wala sitegemei kutembea na mke wa mtu. Only that you dont know my wife, she is extra ordinary beatful, above all you dont know me una habari hizi tu za kuvumishwa kwa kutunga, am a servant of God

U can't be!either ts another blaspheming frm your tongue?Muwaaji,mwenye chuki na kiburi...unaehisi umesoma peke yako dunia nzima!watumishi wa Mungu si wauwaji...umemwagia mtu tindikali ukageuza kibao,umeua Ndago na umeendelea kuratibu mauwaji na ufitini....unayafanya tukiwa tunajua!tunaokufahamu tunaona dhamira ovu ndani yako....Ushindwe!wala Mungu hataniwi
 
Ukirudi utujulishe ulichojifunza maana whale waliomafisadi wakuu Ndio walipita huko mwanzoni...
 
Wana JF, salam!

Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.

Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.
nitakumbuka sana hiki kipande cha post yako!kila lakheri
 
Uongo mtupu hizo zilikuwa siasa za majitaka tu. Sijawahi hata kukutwa nimekaa popote na mke wa mtu. Mambo ya kutungwa tu nakufanya kete ya kisiasa. Kungekuwa na ukweli hali haingekuwa hivi. GT usipoteze muda kwa siasa za maji taka kwani hili halikuwasadia na waliotunga kwa ajili ya kampeni hizo. Sijawahi na wala sitegemei kutembea na mke wa mtu. Only that you dont know my wife, she is extra ordinary beatful, above all you dont know me una habari hizi tu za kuvumishwa kwa kutunga, am a servant of God

wewe usiongee hayo wakti tunajua yote hayo,yule mtoto umemwacha?tulia kabisa tusije anika mambo yako.kiongoz ni kioo .sasa wewe kioo chako kinamulika wake za watu.mie mke wangu nilimwambia asiende kabisa mikutanoni.
 
wewe usiongee hayo wakti tunajua yote hayo,yule mtoto umemwacha?tulia kabisa tusije anika mambo yako.kiongoz ni kioo .sasa wewe kioo chako kinamulika wake za watu.mie mke wangu nilimwambia asiende kabisa mikutanoni.
Mecy acha utoto na ubishi wa kijinga. Una ng'ang'aniza nini wakati ufafanuzi umetolewa. Kama wewe ndiye ulievuliwa nguo jitokeze acha kushupalia vitu vya kizushi.
 
wana jf, salam!

Nategemea kushiriki mafunzo ya jkt yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya nchi yangu, vijana wenzangu na chama changu.

Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie jf.
nenda kaka labda utajifunza kutumia vizuri ulimi wako....maana kule ni utiifu tu..ndo unakuokoa
 
Uongo mtupu hizo zilikuwa siasa za majitaka tu. Sijawahi hata kukutwa nimekaa popote na mke wa mtu. Mambo ya kutungwa tu nakufanya kete ya kisiasa. Kungekuwa na ukweli hali haingekuwa hivi. GT usipoteze muda kwa siasa za maji taka kwani hili halikuwasadia na waliotunga kwa ajili ya kampeni hizo. Sijawahi na wala sitegemei kutembea na mke wa mtu. Only that you dont know my wife, she is extra ordinary beatful, above all you dont know me una habari hizi tu za kuvumishwa kwa kutunga, am a servant of God
mkuu nashukuru umelijibu hili kwanini ulikaa kinya mda woote huo!
NAKUTAKIA MAFUNZO MEMA!
 
Mwigulu Nchemba, tunakutakia kila la heri, nadhani ukirudi kutoka huko Hautapoteza muda wako kuitukana CHADEMA na viongozi wake. Mafunzo ya Jeshi yanachangamsha akili hautabaki kama ulivyokuwa mwanzo...Mungu akusaidie kabisa

Asante kwa taarifa....
pia nafikiri atapata hekima na kuachana kufukuzia wake za watu,.ila hofu yangu huko si anaweza kujifunza mbinu za kisasa zaidi za assassination?
 
Uongo mtupu hizo zilikuwa siasa za majitaka tu. Sijawahi hata kukutwa nimekaa popote na mke wa mtu. Mambo ya kutungwa tu nakufanya kete ya kisiasa. Kungekuwa na ukweli hali haingekuwa hivi. GT usipoteze muda kwa siasa za maji taka kwani hili halikuwasadia na waliotunga kwa ajili ya kampeni hizo. Sijawahi na wala sitegemei kutembea na mke wa mtu. Only that you dont know my wife, she is extra ordinary beatful, above all you dont know me una habari hizi tu za kuvumishwa kwa kutunga, am a servant of God
habari nzuri hizi basi wakati ukiwa JKT nitakusaidia tu kumpa kampani usijali kabisa hatajisikia mpweke!
 
kajifunze uzalendo nafikiri ukirudi utaacha ushabiki wa kipuuzi
 
Uongo mtupu hizo zilikuwa siasa za majitaka tu. Sijawahi hata kukutwa nimekaa popote na mke wa mtu. Mambo ya kutungwa tu nakufanya kete ya kisiasa. Kungekuwa na ukweli hali haingekuwa hivi. GT usipoteze muda kwa siasa za maji taka kwani hili halikuwasadia na waliotunga kwa ajili ya kampeni hizo. Sijawahi na wala sitegemei kutembea na mke wa mtu. Only that you dont know my wife, she is extra ordinary beatful, above all you dont know me una habari hizi tu za kuvumishwa kwa kutunga, am a servant of God

servant of god anapanga mauaji......damu za watu zinakuandama.....
 
kaka huko jkt hakuna wanajeshi anayeweza kukulipua make nataman usirudi maana tutakuwa tumepunguza mali za umma zinazoliwa

kusema kweli ni laana ya hali ya juu kukubali kujinga Na ccm wakati unajua viogozi wake wanavyotafuna hii nchi vipande
Hivi unajivunia Mkapa aliyejipa kiwira
unajivunia sumaye mwenye hela zetu uswiz na shamba la kujigawia huko moro
unajivunia mramba, lowasa, membe na the worst kikwete na family...

Na kwa nguvu zote unasema eti tupo vyama tofauti.
Hapa ni wizi against wema

una gut kabisa ya kuvaa bendera shingon

usipo change ulaaniwe wewe na watoto wako na kizazi chao pia. watembelee magoti walie siku zote.

na sote tuseme amen..............
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom