Ulimate4
Member
- Nov 5, 2010
- 37
- 1
Ninahitaji ushauri wenu wa haraka wadau wa jukwaa hili ,nina msichana ambaye nilianzanae mahusiano kama wapenzi
mwenzi mmoja ivi uliopita ,ananipenda nami pia nimempenda ,lakini katika muda huo tulokuwa pamoja hatujawahi kujihusisha na kufanya mapenzi , kumejitokeza tatizo ambalo ninashindwa kulipatia ufumbuzi wa haraka,kwani nilimtaka tukapime afya zetu kabla ya kuendelea mbele na mahusiano yetu,ndipo alipo amua kuniabia ukeli kuwa ameathika ,na haina haja ya yeye kwenda angaza kupima tena, pia ananiambia kuwa bila mimi hawezi kuendelea kuishi,ni bora ajiue tu ,ninaomba msaada wenu wa haraka je' niachane nae ama?
mwenzi mmoja ivi uliopita ,ananipenda nami pia nimempenda ,lakini katika muda huo tulokuwa pamoja hatujawahi kujihusisha na kufanya mapenzi , kumejitokeza tatizo ambalo ninashindwa kulipatia ufumbuzi wa haraka,kwani nilimtaka tukapime afya zetu kabla ya kuendelea mbele na mahusiano yetu,ndipo alipo amua kuniabia ukeli kuwa ameathika ,na haina haja ya yeye kwenda angaza kupima tena, pia ananiambia kuwa bila mimi hawezi kuendelea kuishi,ni bora ajiue tu ,ninaomba msaada wenu wa haraka je' niachane nae ama?