ninahitaji mchumba!!

mchumiajuani

Member
Feb 19, 2011
7
0
NINAHITAJI MCHUMBA WA KIKE SICHAGUI DINI WALA KABILA,AWEMREFU WA WASTANI AWE ANAJUA KUSOMA NA KUANDIKA,MCHAMOLA MWENYEMAPENZI YA DHATI,AWE ANAAJIRA AU AMEJIARIRI,AWE ANAJITUMA NA MUADILIFU,MSAFI ANAYEJIPENDA, UMRI WAKE KUANZIA 18-30

MIMI NI MFANYAKAZI KTK KAMPUNI FLANI NAJITEGEMEA, UMRI WANGU NI MIAKA 28 KIPATO CHANGU NI CHA KAWAIDA NI MSKRISTO SAFI NAJITEGEMEA,MCHAPAKAZI,MAMBO MENGINE YATAFUATA MARA BAADA YA MWASILIANO KWA MAWASILIANO NI

chibobo2011@yahoo.com
 
NINAHITAJI MCHUMBA WA KIKE SICHAGUI DINI WALA KABILA,AWEMREFU WA WASTANI AWE ANAJUA KUSOMA NA KUANDIKA,MCHAMOLA MWENYEMAPENZI YA DHATI,AWE ANAAJIRA AU AMEJIARIRI,AWE ANAJITUMA NA MUADILIFU,MSAFI ANAYEJIPENDA, UMRI WAKE KUANZIA 18-30

MIMI NI MFANYAKAZI KTK KAMPUNI FLANI NAJITEGEMEA, UMRI WANGU NI MIAKA 28 KIPATO CHANGU NI CHA KAWAIDA NI MSKRISTO SAFI NAJITEGEMEA,MCHAPAKAZI,MAMBO MENGINE YATAFUATA MARA BAADA YA MWASILIANO KWA MAWASILIANO NI

chibobo2011@yahoo.com

Kweli kuna haja ya forum ya uchumba
 
Mimi sio mdini lakini huwa nikiona mtu anatafuta mchumba/mke halafu anasema dini yoyote???? Mi sijui namchukulia je?? Manake Imani kwa Mungu, jinsi ya kuabudu, na utamaduni wa kidini kwangu mimi ni moja ya mambo yakuangalia kwa mtu ninayefikiria anaweza kuwa mke/mume.

Ni mawazo yangu tu!! Yawezekana nikielimika zaidi naweza kubadilika, lakini nahisi nina kamsimamo fulani juu ya hilo.
 
Mimi sio mdini lakini huwa nikiona mtu anatafuta mchumba/mke halafu anasema dini yoyote???? Mi sijui namchukulia je?? Manake Imani kwa Mungu, jinsi ya kuabudu, na utamaduni wa kidini kwangu mimi ni moja ya mambo yakuangalia kwa mtu ninayefikiria anaweza kuwa mke/mume.

Ni mawazo yangu tu!! Yawezekana nikielimika zaidi naweza kubadilika, lakini nahisi nina kamsimamo fulani juu ya hilo.



Na mwaka huu lazima mchumba apatikane....................
 
Ld mi nafikiri kwenye imani hapo watakubaliana nani amfate mwenzie au kama vipi kila mtu abaki na imani yake.
Mnaweza wote mkawa imani moja na msifanye yoyote ya kumpendeza mungu na inawezekana pia kila mtu na imani yake na mkaishi vizuri.
 
Ld mi nafikiri kwenye imani hapo watakubaliana nani amfate mwenzie au kama vipi kila mtu abaki na imani yake.
Mnaweza wote mkawa imani moja na msifanye yoyote ya kumpendeza mungu na inawezekana pia kila mtu na imani yake na mkaishi vizuri.

Ni kweli Husninyo inawezekana hivo, lakini mi najaribu kufikiria pia utamaduni na namna ya kuabudu!! Mfano binti anayesali kanisa la Petekoste au kanisa lolote lakini ameokoka anampenda Yesu, anafuata mafundisho ya biblia kweli kweli, anaomba na kufunga kwa muda mrefu, anaamka usiku wa manane anaombea mambo mbalimbali pamoja na kukemea mapepo akiwa nyumbani kwake, halafu anaolewa na Muislam tuseme. Halafu kila mtu anabaki na Imani yake. Hivi wataweza kwenda sawa na tamaduni zao hizo? Mkaka Muislamu amelala usiku anasikia mke wake anafanya maombi chumbani au sebuleni. Kila roho iliyokinyume na Mungu ishindwe katika jina la Yesu!! Na upako wa maombi unashuka kabisa ananena hadi kwa lugha!!!!

Hebu nipe elimu juu ya hili inawezekana??
 
Ni kweli Husninyo inawezekana hivo, lakini mi najaribu kufikiria pia utamaduni na namna ya kuabudu!! Mfano binti anayesali kanisa la Petekoste au kanisa lolote lakini ameokoka anampenda Yesu, anafuata mafundisho ya biblia kweli kweli, anaomba na kufunga kwa muda mrefu, anaamka usiku wa manane anaombea mambo mbalimbali pamoja na kukemea mapepo akiwa nyumbani kwake, halafu anaolewa na Muislam tuseme. Halafu kila mtu anabaki na Imani yake. Hivi wataweza kwenda sawa na tamaduni zao hizo? Mkaka Muislamu amelala usiku anasikia mke wake anafanya maombi chumbani au sebuleni. Kila roho iliyokinyume na Mungu ishindwe katika jina la Yesu!! Na upako wa maombi unashuka kabisa ananena hadi kwa lugha!!!!

Hebu nipe elimu juu ya hili inawezekana??

kiukweli ni ngumu kwa wale wadini sana ambao wanawaona watu ambao sio wa imani yao ni mashetani na waliopotea.
Pia huwa ni msingi mbovu kwa watoto mtakaozaa maana sijui watafata imani ya nani.
Ila kwa watu ambao wanajua tu kwamba mungu yupo na kusali kwao wakitaka kula, kulala na kuamka ni rahisi sana na sidhani kama kutakuwa na mgogoro wa imani kati yao.
 
Mimi sio mdini lakini huwa nikiona mtu anatafuta mchumba/mke halafu anasema dini yoyote???? Mi sijui namchukulia je?? Manake Imani kwa Mungu, jinsi ya kuabudu, na utamaduni wa kidini kwangu mimi ni moja ya mambo yakuangalia kwa mtu ninayefikiria anaweza kuwa mke/mume.

Ni mawazo yangu tu!! Yawezekana nikielimika zaidi naweza kubadilika, lakini nahisi nina kamsimamo fulani juu ya hilo.

LD nakuhakikishia dini sio kabisa kigezo kwenye hili swala unaweza ukapata mdini mwenzako akawa kama mpagani hajawahi hata kwenda kuabudu ijumaa au jpili yeye ni siku ya kawaida sana kwake wala hastuki kwenda kuabudu. kwa hiyo wala hili isikukatishe tamaa wangu. nimeshuhudia ndoa za aina hii nyingi na zina mafanikio sanasana
 
Ld mi nafikiri kwenye imani hapo watakubaliana nani amfate mwenzie au kama vipi kila mtu abaki na imani yake.
Mnaweza wote mkawa imani moja na msifanye yoyote ya kumpendeza mungu na inawezekana pia kila mtu na imani yake na mkaishi vizuri.
Ukweli ndio huo, lakini kuna na nguvu au vishawishi vya nje, toka kwa familia au marafiki. Mnaweza kuyafumbia macho yote hayo kwani nyinyi ndio wahusika wakuu, bila ya kujali kama mtatengwa au la. Tatizo kubwa linakuja wakati mkiwa na watoto. Mkiwa watu wa busara mtawalea watoto wenu kwa maadili mema bila ya ushawishi wa dini zenu. Mnawawacha watoto wenu mpaka wanakuwa wakubwa (kisheria miaka 18) ili wachaguwe wenyewe kufuata dini wanayotaka. Lakini mara nyingi mmoja hutaka watoto wafuate dini yake na ndio hapo matatizo ya kweli huanza.
 
Kama mimi nilikuwa na mdini mwenzangu alinitesa sana jaman nimempata wa tofauti na mm tupo kama kumbikumbi kwa kweli mapenzi sio dini jamani watoto wetu nitakuwa radhi waende kusali nae tu wala sio tatizo na jinsi navyompenda nahisi huko mbala hata mimi nitaweza kumfata dini yake, dini nini bwana mababu zetu hawakuwa na dini waliishi kwa amani ni hawa wazungu na waarabu wametuletea hii mambo. Ila kwa wale wanaoangalia dini siwakatishi tamaa kabisa kila mtu na priorities zake
 
ninahitaji mchumba wa kike sichagui dini wala kabila,awemrefu wa wastani awe anajua kusoma na kuandika,mchamola mwenyemapenzi ya dhati,awe anaajira au amejiariri,awe anajituma na muadilifu,msafi anayejipenda, umri wake kuanzia 18-30

mimi ni mfanyakazi ktk kampuni flani najitegemea, umri wangu ni miaka 28 kipato changu ni cha kawaida ni mskristo safi najitegemea,mchapakazi,mambo mengine yatafuata mara baada ya mwasiliano kwa mawasiliano ni

chibobo2011@yahoo.com

waliomo wanataka kutoka, walio nje wanataka kuingia. Karibu tafuta mwenyewe usije mlaumu mtu
 
Mimi ninakila sifa ulizotaja hapo ila unanyumba yako mwenyewe? maana sipendi kukaa nyumba za kupanga usafiri je?
 
Mimi sio mdini lakini huwa nikiona mtu anatafuta mchumba/mke halafu anasema dini yoyote???? Mi sijui namchukulia je?? Manake Imani kwa Mungu, jinsi ya kuabudu, na utamaduni wa kidini kwangu mimi ni moja ya mambo yakuangalia kwa mtu ninayefikiria anaweza kuwa mke/mume.

Ni mawazo yangu tu!! Yawezekana nikielimika zaidi naweza kubadilika, lakini nahisi nina kamsimamo fulani juu ya hilo.

Ni kweli LD hata mie hiyo kitu ya dini huwa inanitatiza sana unless wote wanaokutana hapo kwenye uchumba hawana time na dini zao, wao ilimradi siku zimepita.
 
Mimi sio mdini lakini huwa nikiona mtu anatafuta mchumba/mke halafu anasema dini yoyote???? Mi sijui namchukulia je?? Manake Imani kwa Mungu, jinsi ya kuabudu, na utamaduni wa kidini kwangu mimi ni moja ya mambo yakuangalia kwa mtu ninayefikiria anaweza kuwa mke/mume.

Ni mawazo yangu tu!! Yawezekana nikielimika zaidi naweza kubadilika, lakini nahisi nina kamsimamo fulani juu ya hilo.

Hata mimi nafikiri inapendeza zaidi watu wakiwa na imani moja...maana hata mkipata watoto mtawalea kwa imani moja! Maana inakuwa ngumu kweli mimi naamini YESU ndiye njia pekee ya kumwona Mungu, halfu mwenzangu haamini hilo, naye ana imani yake.......inakuwaje hapo??!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom