KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Wadau wa magari heshima iwe kwenu naulizia hizi taa pichani zinapatika maduka gani hapa bongo na kwa bei gani?
Picha?
Sijakuelewa unamaanisha nini?Au wewe ni mmoja ya "wasiojulikana" umekuja kivingine?
Mimi nahitaji taa hizi za LED za kufunga kwenye kigari changu aina ya suzuki samurai zina vibalbu vingi unaondoa hizi taa za kawaida zilizozoeleka na kufunga hizo
Ok asante kwa mchango wakoZinaitwa kiburudisho lights
Mkuu basi weka link ya web