MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 19,295
- 39,977
Wakuu naona mbio za kuutaka urais zinashika kasi... makada wa chama pendwa ambao pia ni viongozi maarufu serikalini wako kasi sana kuji-brand.
Binafsi ninaona siojambo baya ila mara nyingi watu kama hawa hupatwa na AJALI ZA KISIASA au chama pendwa kubadili gia angani kwenye kuteua mgombea. Naona huyu boss kubwa kutoka kanda ya kati anatumia nguvu kubwa ila matokeo bado ni hafifu inabidi akaze sana.
Huyu wa ziwani ambaye kwa sasa anawakilisha kaskazini naturally ni mtu anayeweza kuteka hisia za wapiga kura. Ana hicho kipaji. Akicheza karata zake vizuri atasumbua. Ninadhani tusubiri wengine wajitokeze zaidi kama ilivyokuwa 2015.
Binafsi ninaona siojambo baya ila mara nyingi watu kama hawa hupatwa na AJALI ZA KISIASA au chama pendwa kubadili gia angani kwenye kuteua mgombea. Naona huyu boss kubwa kutoka kanda ya kati anatumia nguvu kubwa ila matokeo bado ni hafifu inabidi akaze sana.
Huyu wa ziwani ambaye kwa sasa anawakilisha kaskazini naturally ni mtu anayeweza kuteka hisia za wapiga kura. Ana hicho kipaji. Akicheza karata zake vizuri atasumbua. Ninadhani tusubiri wengine wajitokeze zaidi kama ilivyokuwa 2015.