saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 602
- 1,407
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka anatajwa sana kwenye mbio za urais mwaka 2025 hasa ukizingatia ni kiongozi mnyenyekevu na mchapakazi sana tangu alipokuwa Simiyu, Dodoma na sasa Njombe.
Ni moja wa Wakuu wa Mikoa nadhani waliotajwa pia na RC Chalamila kuwa wako kwenye mbio za urais 2025 mimi binafsi yangu naona anafaa sana kuongoza ni kiongozi mzuri sana
Japo atakutana na mnyukano mkali kutoka kwa akina Madelu na Makamba lakini bado nyota yake inang'ara maana kila mahali anazungumzwa vizuri sana
Ni moja wa Wakuu wa Mikoa nadhani waliotajwa pia na RC Chalamila kuwa wako kwenye mbio za urais 2025 mimi binafsi yangu naona anafaa sana kuongoza ni kiongozi mzuri sana
Japo atakutana na mnyukano mkali kutoka kwa akina Madelu na Makamba lakini bado nyota yake inang'ara maana kila mahali anazungumzwa vizuri sana