utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,830
- 2,417
Tukiondoa nguvu ya wazee wakina Pinda, Kinana, Makamba senior, Kikwete, Wassira, Mangula na wengineo kwenye Chama changu cha Ccm basi, generation ya vijana ambao baadae wanakuja kushika nguvu ya chama ni Mwigulu na Makamba junior.
Hivyo mchuano wa 2030 utakuwa mkali sana kati ya hao wawili maana kufikia wakati huo watakuwa na mizizi mikubwa kwenye chama na watakuwa backup za kutosha huko nyuma ya mbio zao.
Ingawa tukija kwenye suala la nani ataibuka kidedea,karata yangu naiweka kwa Mwigulu sababu ya Dini na naona anavyopanga mashambulizi yake mapema kabla ya mtanange kuanza.
Pia kwa watumiaji wazuri wa twitter mtajua vita ya wawili hawa ikoje kuitafuta 2030, kwasababu kila mmoja ana watu wake kula wanajaribu kumpigania. Mfano sakata la dollar kupotea na umeme kupanda bei kila wizara kulikuwa na upande unaowatupia wengine lawama basi twitter ilipamba moto, wengine sisi tulikaa pembeni tukiangalia mtanange.
Mtaniuliza vipi kuhusu Sukuma gang kurudi ulingoni, hilo nahitaji niwaambie tu ukweli kuna CCM asilia na CCM wajaji sasa asaivi chama kiko kwa Asilia na hawatarudia tena lile kosa la 2015 labda itokee dhoruba itakayoondoa kizazi chote hiki, Gang hawaji kuinuka tena habadani.
Mshauri wa masuala ya ndani sana.
Kuna siku mtanielewa tu.
Hivyo mchuano wa 2030 utakuwa mkali sana kati ya hao wawili maana kufikia wakati huo watakuwa na mizizi mikubwa kwenye chama na watakuwa backup za kutosha huko nyuma ya mbio zao.
Ingawa tukija kwenye suala la nani ataibuka kidedea,karata yangu naiweka kwa Mwigulu sababu ya Dini na naona anavyopanga mashambulizi yake mapema kabla ya mtanange kuanza.
Pia kwa watumiaji wazuri wa twitter mtajua vita ya wawili hawa ikoje kuitafuta 2030, kwasababu kila mmoja ana watu wake kula wanajaribu kumpigania. Mfano sakata la dollar kupotea na umeme kupanda bei kila wizara kulikuwa na upande unaowatupia wengine lawama basi twitter ilipamba moto, wengine sisi tulikaa pembeni tukiangalia mtanange.
Mtaniuliza vipi kuhusu Sukuma gang kurudi ulingoni, hilo nahitaji niwaambie tu ukweli kuna CCM asilia na CCM wajaji sasa asaivi chama kiko kwa Asilia na hawatarudia tena lile kosa la 2015 labda itokee dhoruba itakayoondoa kizazi chote hiki, Gang hawaji kuinuka tena habadani.
Mshauri wa masuala ya ndani sana.
Kuna siku mtanielewa tu.