jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,128
- 8,648
njoo nmb kidogo wana nafuu naweza kutoa mfno 500k nkakatwa mpka buku 2 tu kwenye ATM
kingine nachopendea ni ukiwa na app yao kucheki balance ni bure bas nikiwa na vijisent vyangu kila nikitoa hela lazma nihakiki mzigo wangu to be honest kwa hilo naenjoi nao
kingine nachopendea ni ukiwa na app yao kucheki balance ni bure bas nikiwa na vijisent vyangu kila nikitoa hela lazma nihakiki mzigo wangu to be honest kwa hilo naenjoi nao