Ninadhurumika nafsi, nami nina moyo jamani.

Hadithi kama ya maisha yangu ,najua kwa kiasi gani inauma kuwa katika hali hiyo. Maumivu , maumivu mpaka basi ,ukiwa jobless,hakuna mpenzi wa kukufariji au kufarijiana unaweza kutamani ungekuwa titled R.I.P ,lakini haya ni mapito tu kuna siku yataisha ingawa kwangu sioni dalili. Baada ya safari ya muda mrefu ya kusaka mapenzi yenye mafanikio kidogo ,nilimtongoza msichana ambaye kwa majibu yake mwanzo ni kama kakubali ila hajasema na nikajenga matumaini ya kuwa naye coz niliiona tafsiri halisi ya mapenzi ktk story zake,matendo na vitu vingi. Nilitumia kila tech. ya kutongoza after two yrs niliambulia kutoswa kwa kishindo,,kwa kishindo, J still like to talk with her kama rafki but she donk pick my phone call,nilichokipata hapo ni kupoteza kabisa ujasiri wa kutongoza,nahisi kachukua kila kitu kinachohusu mapenzi kutoka kwangu, baada ya hapo nikitongoza tu nazinguliwa saaana ,yaani hata sielewi nakosea wapi ? ,I m a loser in love affairs, i know how it feels to be in such state, It pains ,it pains a lot...

Pole sana kaka, pole sana, umeongea kwa uchungu sana mpaka naumia kaka..........pole sana, jaribu kurudisha kujiamini kwako, wasichana wako wengi wazuri, ni kumpata akufaae tu
 
I wish unipe tips za kujievaluate, nipo down.

NDG .YANGU WEWE UMESEMA MPENDWA ,SIJUI UKO MINISTRY GANI? NA SIJUI UMEFUNDISHWAJE, ILA ,SASA INAKUWAJE UNAWATONGOZA KINA DADA MITAANI??? KAMA KWELI WEWE UMEOKOKA SWALA LA KUMPATA MWENZI MBONA HIYO SIO NJIA SAHIHI, MPENDWA OMBA,OMBA,MWOMBE MUNGU WEWE UKIWA MWANAE YEYE HAJAWAHI SHINDWA ISAYA 40:28 - 29."je wewe hukujua,hukusikia yeye Mungu wa milele,Bwana,Muumba wa miisho ya dunia HAZIMII wala HACHOKI ,AKILI ZAKE HAZICHUNGUZIKI, Huwapa nguvu wazimiao,humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo.Mungu atakuongoza acha kutumia akili zako mwenyewe.
 
Siwezi kujua ushauri wangu Mwombe Mungu utampata ndugu yangu.
 
@excelllent mdogo wangu wa moyoni, swali gani hili?........................................BTW mzima wewe? miss you so much ma lito bro mpe hi Mbimbinho.

Jamani my dada miss you. Sorry was kinda busy hizi siku mbili hata humu ndani nilikuwa nakuja kuitika jina then nasema.
Hope weekend did you well.. Miss uuuuu!!
 
Sijui niseme ni nyota, au sijui ni nini.
Mim ni kijana niliyebarikiwa yafuatayo,
1.Handsome na mtanashati
2.Mpendwa
3.Talented in music instruments (giter na kinanda)
4.Talented in books (nimesoma special school olev na advance na kumalizia udsm engineering)
5. Nimebahatika kazi nzuri (yenye kipato kizuri na usafiri)

Chakushangaza kila mtu ninayemtokea ananitolea nje tangu nipo sekondary, chuo mpaka hivi sasa nimemaliza, nimekua nikiishi na maumivu kwasababu ya kutoswa na wadada miaka yote,

Ninavyoandika ujumbe huu, leo mchana nimetoswa na dada mmoja niliyemtokea leo.

Hebu nisaidieni wadau, nini nakosea, na mim nina moyo pia jamani.

Je, unaweza kuhendsamisha???
Hili ndio tatizo. Vijana wa siku hizi mkiona mna vibebi fesi basi mnafikiri you can have whoever you like, hii dunia imebadilika ati.
I bet kwa maelezo yako, umepiga gepu kubwa kinoma 50Cent kwa uhendsam boi, lakini jamaa kakupiga gap kwa kuhendsamisha. So, jifunze how to handsomize then you'll never face hii kadhia ya kupigwa vya mbavu.
Nawasilisha hoja.
 
I wish unipe tips za kujievaluate, nipo down.

NDG .YANGU WEWE UMESEMA MPENDWA ,SIJUI UKO MINISTRY GANI? NA SIJUI UMEFUNDISHWAJE, ILA ,SASA INAKUWAJE UNAWATONGOZA KINA DADA MITAANI??? KAMA KWELI WEWE UMEOKOKA SWALA LA KUMPATA MWENZI MBONA HIYO SIO NJIA SAHIHI, MPENDWA OMBA,OMBA,MWOMBE MUNGU WEWE UKIWA MWANAE YEYE HAJAWAHI SHINDWA ISAYA 40:28 - 29."je wewe hukujua,hukusikia yeye Mungu wa milele,Bwana,Muumba wa miisho ya dunia HAZIMII wala HACHOKI ,AKILI ZAKE HAZICHUNGUZIKI, Huwapa nguvu wazimiao,humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo.
 
NDG .YANGU WEWE UMESEMA MPENDWA ,SIJUI UKO MINISTRY GANI? NA SIJUI UMEFUNDISHWAJE, ILA ,SASA INAKUWAJE UNAWATONGOZA KINA DADA MITAANI??? KAMA KWELI WEWE UMEOKOKA SWALA LA KUMPATA MWENZI MBONA HIYO SIO NJIA SAHIHI, MPENDWA OMBA,OMBA,MWOMBE MUNGU WEWE UKIWA MWANAE YEYE HAJAWAHI SHINDWA ISAYA 40:28 - 29."je wewe hukujua,hukusikia yeye Mungu wa milele,Bwana,Muumba wa miisho ya dunia HAZIMII wala HACHOKI ,AKILI ZAKE HAZICHUNGUZIKI, Huwapa nguvu wazimiao,humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo.

I UNDERSTAND EVERY THING your saying, hata hivyo sija watongoza wa dada wa mtaani, au cjajua unamaanisha nini ukisema wa mitaani, but najua kwamba nilitakiwa niombe, na kiuhalisia niliomba na nimekua nikiomba, unapopatwa na vitu kama hivi, kama binadamu kuna mazingira ya kukata tamaa/discourage na sometimes kuwa down, but nikwambie kitu, kuna upande wa mungu kufanya na kuna upande wangu kufanya ambao nahisi ndo nahitaji kuelimishwa,,, kuna elimu ahela na elimu dunia,
 
Je, unaweza kuhendsamisha???
Hili ndio tatizo. Vijana wa siku hizi mkiona mna vibebi fesi basi mnafikiri you can have whoever you like, hii dunia imebadilika ati.
I bet kwa maelezo yako, umepiga gepu kubwa kinoma 50Cent kwa uhendsam boi, lakini jamaa kakupiga gap kwa kuhendsamisha. So, jifunze how to handsomize then you'll never face hii kadhia ya kupigwa vya mbavu.
Nawasilisha hoja.

mdogo wangu lol basi mwambie mwenzio atahandsamishaje?
 
Jamani my dada miss you. Sorry was kinda busy hizi siku mbili hata humu ndani nilikuwa nakuja kuitika jina then nasema.
Hope weekend did you well.. Miss uuuuu!!

me too ma lvly lito bro. pole sana kwa ubize and so do i ila miye huwa naish kwa stail ya na bip jf na huku kwenye kazi
 
bro usihofu mwaego when the right time comes mambo yatajipa uki right click mambo yajipa yenyewe soma kitabu cha Mwanzo 2:20-25 tunaambiwa uwe unamkumbusha Mungu unaposali kupitia vifungu vya biblia utampata tu laazizi
 
mbona mambo ya kawaida halafu mwanaume akishaanza na mimi ni handsome huwa anachosha nani alikuambia uzuri unaliwa wengine wakiona wanashiba.
 
duh, mshukuru Mungu wamekuwa wakikutaa tangia zamani. Wangekuwa wanakukubali pengine ungeshakuwa kaburini sasa!! Wa kwako hatokukataa kwamwe!! Tulizana na nenda taratibu utampata wa kwako tu!! Dont panic, otherwise utampata kicheche kisha ukajuta maishani. Not every beautiful woman is a wife material!! In fact, wife materials are very scarce in this ruined world!!
 
bro usihofu mwaego when the right time comes mambo yatajipa uki right click mambo yajipa yenyewe soma kitabu cha Mwanzo 2:20-25 tunaambiwa uwe unamkumbusha Mungu unaposali kupitia vifungu vya biblia utampata tu laazizi

Thanx for you advice
 
duh, mshukuru Mungu wamekuwa wakikutaa tangia zamani. Wangekuwa wanakukubali pengine ungeshakuwa kaburini sasa!! Wa kwako hatokukataa kwamwe!! Tulizana na nenda taratibu utampata wa kwako tu!! Dont panic, otherwise utampata kicheche kisha ukajuta maishani. Not every beautiful woman is a wife material!! In fact, wife materials are very scarce in this ruined world!!

Bado namshukuru mungu, Bado sijajikataa/kujidharau,,, naamini what your saying is true.
 
unajua personality ina mata sana kwenye haya mambo ya mahusiano ,ongea na marafiki karibu (wanaume) ambao wako open na wew na wanaweza kukuambia ukwel,?washirikishe kwenye hıli,watakusaidia sana.
 
Kwanza, fanya yafuatayo:


  1. Jiulize, unapowafuata akinadada, unajaribu hata kidogo kuwasikiliza kwa makini wao WANATAKA UWATENDEE NINI?
  2. Jiulize, unajitanguliza wewe mwenyewe mbele, kabla ya hao unaowafuata?

Pili, fanya yafuatayo:


  1. Jiulize, kama wewe ungekuwa mwanamke, ungependa mwanaume anayekufuata AKUFANYIE NINI?
  2. Jiulize, kama wewe ungekuwa mwanamke, ungependa mwanaume anayekufuata awe na sifa gani?

Kumbuka:


  1. Kuwa msomi mwenye akili
  2. Kuwa na kazi nzuri
  3. Kumiliki gari na nyumba nzuri

si jambo muhimu sana kwenye mapenzi.

Mapenzi hayataki papara, hayashurutishwi, hayajali pesa. Wako warembo waliowapenda wabeba zege na wavuta mikokoteni, tena warembo wa nguvu kabisa.

Usidhani kwamba kuwa umebarikiwa ndio kunakuweka wewe kwenye nafasi kubwa zaidi ya kumpata umtakaye, bila ya yeye kuwa ametimiziwa mahitaji yake.

Kifupi, BE HUMBLE.
 
NDG .YANGU WEWE UMESEMA MPENDWA ,SIJUI UKO MINISTRY GANI? NA SIJUI UMEFUNDISHWAJE, ILA ,SASA INAKUWAJE UNAWATONGOZA KINA DADA MITAANI??? KAMA KWELI WEWE UMEOKOKA SWALA LA KUMPATA MWENZI MBONA HIYO SIO NJIA SAHIHI, MPENDWA OMBA,OMBA,MWOMBE MUNGU WEWE UKIWA MWANAE YEYE HAJAWAHI SHINDWA ISAYA 40:28 - 29."je wewe hukujua,hukusikia yeye Mungu wa milele,Bwana,Muumba wa miisho ya dunia HAZIMII wala HACHOKI ,AKILI ZAKE HAZICHUNGUZIKI, Huwapa nguvu wazimiao,humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo.Mungu atakuongoza acha kutumia akili zako mwenyewe.

Jamani kwani mtaani hawapo waliookoka? mpaka kanisani tu ambako nako wasanii wapo vilevile
 
Kwanza, fanya yafuatayo:


  1. Jiulize, unapowafuata akinadada, unajaribu hata kidogo kuwasikiliza kwa makini wao WANATAKA UWATENDEE NINI?
  2. Jiulize, unajitanguliza wewe mwenyewe mbele, kabla ya hao unaowafuata?

Pili, fanya yafuatayo:


  1. Jiulize, kama wewe ungekuwa mwanamke, ungependa mwanaume anayekufuata AKUFANYIE NINI?
  2. Jiulize, kama wewe ungekuwa mwanamke, ungependa mwanaume anayekufuata awe na sifa gani?

Kumbuka:


  1. Kuwa msomi mwenye akili
  2. Kuwa na kazi nzuri
  3. Kumiliki gari na nyumba nzuri

si jambo muhimu sana kwenye mapenzi.

Mapenzi hayataki papara, hayashurutishwi, hayajali pesa. Wako warembo waliowapenda wabeba zege na wavuta mikokoteni, tena warembo wa nguvu kabisa.

Usidhani kwamba kuwa umebarikiwa ndio kunakuweka wewe kwenye nafasi kubwa zaidi ya kumpata umtakaye, bila ya yeye kuwa ametimiziwa mahitaji yake.

Kifupi, BE HUMBLE.

Asante kwa ushauri mzuri.
 
Back
Top Bottom