super thinker
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 370
- 109
Hadithi kama ya maisha yangu ,najua kwa kiasi gani inauma kuwa katika hali hiyo. Maumivu , maumivu mpaka basi ,ukiwa jobless,hakuna mpenzi wa kukufariji au kufarijiana unaweza kutamani ungekuwa titled R.I.P ,lakini haya ni mapito tu kuna siku yataisha ingawa kwangu sioni dalili. Baada ya safari ya muda mrefu ya kusaka mapenzi yenye mafanikio kidogo ,nilimtongoza msichana ambaye kwa majibu yake mwanzo ni kama kakubali ila hajasema na nikajenga matumaini ya kuwa naye coz niliiona tafsiri halisi ya mapenzi ktk story zake,matendo na vitu vingi. Nilitumia kila tech. ya kutongoza after two yrs niliambulia kutoswa kwa kishindo,,kwa kishindo, J still like to talk with her kama rafki but she donk pick my phone call,nilichokipata hapo ni kupoteza kabisa ujasiri wa kutongoza,nahisi kachukua kila kitu kinachohusu mapenzi kutoka kwangu, baada ya hapo nikitongoza tu nazinguliwa saaana ,yaani hata sielewi nakosea wapi ? ,I m a loser in love affairs, i know how it feels to be in such state, It pains ,it pains a lot...
Pole sana kaka, pole sana, umeongea kwa uchungu sana mpaka naumia kaka..........pole sana, jaribu kurudisha kujiamini kwako, wasichana wako wengi wazuri, ni kumpata akufaae tu