Asterisk
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 214
- 50
Sijui niseme ni nyota, au sijui ni nini.
Mim ni kijana niliyebarikiwa yafuatayo,
1.Handsome na mtanashati
2.Mpendwa
3.Talented in music instruments (giter na kinanda)
4.Talented in books (nimesoma special school olev na advance na kumalizia udsm engineering)
5. Nimebahatika kazi nzuri (yenye kipato kizuri na usafiri)
Chakushangaza kila mtu ninayemtokea ananitolea nje tangu nipo sekondary, chuo mpaka hivi sasa nimemaliza, nimekua nikiishi na maumivu kwasababu ya kutoswa na wadada miaka yote,
Ninavyoandika ujumbe huu, leo mchana nimetoswa na dada mmoja niliyemtokea leo.
Hebu nisaidieni wadau, nini nakosea, na mim nina moyo pia jamani.
Mim ni kijana niliyebarikiwa yafuatayo,
1.Handsome na mtanashati
2.Mpendwa
3.Talented in music instruments (giter na kinanda)
4.Talented in books (nimesoma special school olev na advance na kumalizia udsm engineering)
5. Nimebahatika kazi nzuri (yenye kipato kizuri na usafiri)
Chakushangaza kila mtu ninayemtokea ananitolea nje tangu nipo sekondary, chuo mpaka hivi sasa nimemaliza, nimekua nikiishi na maumivu kwasababu ya kutoswa na wadada miaka yote,
Ninavyoandika ujumbe huu, leo mchana nimetoswa na dada mmoja niliyemtokea leo.
Hebu nisaidieni wadau, nini nakosea, na mim nina moyo pia jamani.