Hahahhaha kumbe ndio inavyokuaga vitisho hiviMimi Branch ndo wananitesa, sms za vitisho hatariiii fire
Nataka nimuuzie Pierre Liquid kesi watasikia tu
"Aaaah Branch, Branch ikidhurumiwa itabaki kuwa juu, juu mawinguni, itabaki kileleni, chiiiiiiiii"View attachment 1065947
wasikutishe! mi nlikopa buku ishirini wakanipa vitisho vyao vya kiboya eti kama nipo ndani nitoke nje kuna difenda wameiagiza ije inikamate aisee, nlitoka sikukuta kitu. nikablock namba yao na app nikafuta tangu mwaka jana hadi leo wamekausha
Wacha wakutangaze..watKua wanakupiga kiki...mjini hapa..Nina daiwa laki moja na tala,nimeshindwa kuwalipa kwa wakat deni lao,kutonana na matatizo ya kifamilia.
Nakosa furaha maana tala wananitumia ujumbe wa vitisho,kuwa watanitangaza kwenye radio na magazet kuwa Mimi ni mdaiwa sugu.
Pia wanasema wameanza kunifuatilia kwenye mtandao wa tigo na mtaani kwangu kwa kutumia jeshi la Polisi.
Nakosa furaha kabisa, natamani kuwalipa lakini vyuma vimekaza sana.
Nifanyeje jamani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa a haaaa haaaaNami nataka kujua ,manake nimemliza App zote kukopa so natafuta nyingine nikope
Sent using Jamii Forums mobile app
tumia app mpya isiyo na riba inaitwa taraWataalam wa kukopa tujuzane,
App ambazo zimezoeleka zaidi ni Tala na Branch kwa kutoa mikopo kwa haraka bila longolongo, mana kuna apps zimeanzishwa za kuzingua,
Kama kuna zingine kando ya hizo tujuzane, ambayo mtu amekopa ikawa na mrejesho mzuri.
Kumbuka ni App toka play store na sio ushauri mwingine
Maana sio kwa vitisho vyao mkuu
Hawa jamaa watakuwa waswahili kweli kweli...hivyo vifungu sijui wanavitoa wapi?..ebu wablock waache kukusumbuaJamaa wananitumia sms kama hizi ila wananidai 11,880 tuView attachment 1072122
Usije kuniingiza kwenye matatizo mwenzakoHawa jamaa watakuwa waswahili kweli kweli...hivyo vifungu sijui wanavitoa wapi?..ebu wablock waache kukusumbua