Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Ninachukizwa sana na taarifa juu ya OCD Arusha kuwaita wananchi wenzie panya,
Ninachukizwa sana na jinsi serikali inavyoufanyia mzaha muswada wa katiba mpya,
Ninachukizwa sana na tabia ya baadhi ya wabunge kulala bungeni wakati vikao vikiendelea,
je wewe unachukia nn?
Ninachukizwa sana na jinsi serikali inavyoufanyia mzaha muswada wa katiba mpya,
Ninachukizwa sana na tabia ya baadhi ya wabunge kulala bungeni wakati vikao vikiendelea,
je wewe unachukia nn?