Ninachokipenda kimeharibika,naomba msaada jamn

Ninachokipenda kimeharibika,naomba msaada jamn

bwenyz

Member
Joined
Sep 19, 2016
Posts
55
Reaction score
20
Jamn wana jamii wenzangu ,naomba niulize,mnisaidie pia ushaur,nina nguo yangu naipenda sana,sasa juz kat nmeifua ,nkachanganya na nguo inayochuja,imechujia rangi haitamaniki,sasa kama kuna mtu anajua ,au aliwai kutana na hadha hii anisaidie
 
Imetoka hiyo. Stadi za kazi hukusoma nini?
 
Weka picha tuone, maana inategemeana na rangi ya nguo kama inawezekana nitakusaidia bure
 
Jamn wana jamii wenzangu ,naomba niulize,mnisaidie pia ushaur,nina nguo yangu naipenda sana,sasa juz kat nmeifua ,nkachanganya na nguo inayochuja,imechujia rangi haitamaniki,sasa kama kuna mtu anajua ,au aliwai kutana na hadha hii anisaidie
imeshawahi nitokea nili search youtube..nikagoogle pia and nlipata solution...hadi leo naivaa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom