Ninachokipenda kimeharibika,naomba msaada jamn

Ninachokipenda kimeharibika,naomba msaada jamn

Jamn wana jamii wenzangu ,naomba niulize,mnisaidie pia ushaur,nina nguo yangu naipenda sana,sasa juz kat nmeifua ,nkachanganya na nguo inayochuja,imechujia rangi haitamaniki,sasa kama kuna mtu anajua ,au aliwai kutana na hadha hii anisaidie
Pm nikusaidie
 
Hili nalo linataka ushauri jamani......

Sijui kwanini mods wanachelewa kuweka jukwaa la watoto......!!!!
Kweli jukwaa la watoto linahitajika. Kuna muda nashindwa kuchangia mada nyingine naona kama ni za kitoto sana, lakini najishtukia nasema labda mimi nimezeeka sana sipaswi kuwepo humu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom