AXIOM APEX VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 12,233
- 20,533
Usimpende mtu kwa sababu tu umemuonea huruma hapo ndio wengi wanapoharibui second
✍️
Usimpende mtu kwa sababu tu umemuonea huruma hapo ndio wengi wanapoharibui second
Hakika na wanakuja kujutaUsimpende mtu kwa sababu tu umemuonea huruma hapo ndio wengi wanapoharibu
✍️
na pia hujuma lazima akutane nazoUtapiga kutegemea na eneo
✍️
Huruma huruma ndio hio baadae unasema wameyachukulia mapenzi serious mtu anamuonea huruma anawekeza Pesa ya kiwanja alafu baadae uwekezaji unaenda kombo lazima mtu avurugwe na akiliHakika na wanakuja kujuta
Na muheshimu sana Hayati Nelson Mandela, natambua uwezo wake mkubwa wa akili na mchango wake mkubwa katika humanity, lakin mapenzi ni nyoko. Kwa urahisi wa rejea soma hadithi Samson na DelilahMAPENZI... wacha kabisa... NELSON aliwasamehe MAKABURU walomfunga Jela 30 yrs akashindwa kumsamehe WINNIE...
Ndio watu lazima wachangamkie fursana pia hujuma lazima akutane nazo
Uwekezaji Mzee Mandela aliwekeza kwa Winnie alafu Mambo yakaenda alijojo lazima ushikwe na KIHOROMAPENZI... wacha kabisa... NELSON aliwasamehe MAKABURU walomfunga Jela 30 yrs akashindwa kumsamehe WINNIE...
Kwakweli itapendeza zaidi 😊🤗uje nikupe diary
End of thread.Tafiti za mchongo zinaonesha, watu wengi makini walikwisha achana na mambo ya mapenzi wako busy ku-pursue ndoto zao.
Mkuu kwa heshima na taadhima tujikite kwenye hoja, kuoa au kutokuoa hakubadilishi mtazamo wangu kuhusu kutokua na umuhimu wa kuchukulia mapenzi seriouslyMIXOLOGIST umeoa hujaoa, hujanijibu swali langu
unapotosha watu, wewe uliyeoa huna mamlaka ya kuongea hiviMkuu kwa heshima na taadhima tujikite kwenye hoja, kuoa au kutokuoa hakubadilishi mtazamo wangu kuhusu kutokua na umuhimu wa kuchukulia mapenzi seriously
Na kama ameoa na ndoa yenye upendo hawezi kuja na stories kama hizi, huyu ameoa lakini ndoa yake ina mushkeli...pole yakeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee 😳🙄🙄🙄unapotosha watu, wewe uliooa huna mamlaka ya kuongea hivi
kuna post nadhani niliona ulisema umeoa
jf wanafki sana
Kuoa siyo ushuhuda wa mapenzi. Zamani watu walikua wanaozeshwa arranged marriages na wengine walikua wana rithi kilazima wake wa watu au ndugu zao wanapokufaunapotosha watu, wewe uliooa huna mamlaka ya kuongea hivi
kuna post nadhani niliona ulisema umeoa
jf wanafki sana
unafanya maamuzi ya kuishi na mtu maisha yako yote, na mahusiano yenu huchukulii kwa uzito??Kuoa siyo ushuhuda wa mapenzi. Zamani watu walikua wanaozeshwa arranged marriages na wengine walikua wana rithi kilazima wake wa watu au ndugu zao wanapokufa
unapiga ramli chongeshiNa kama ameoa na ndoa yenye upendo hawezi kuja na stories kama hizi, huyu ameoa lakini ndoa yake ina mushkeli...pole yakeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee 😳🙄🙄🙄