Ninaamini, leo angelikuwepo Mwl. Nyerere, angekuwa wa kwanza kusema yalikuwa makosa kuwapa Wazanzibari Ardhi ya RAZABA huko Bagamoyo

Trable

JF-Expert Member
Jan 3, 2023
1,783
3,281
Hadi hivi sasa huko Razaba, kuna watu wanaendesha shughuri zao za kila siku, na hii ni kwa sababu, hapakuwa na kufahamu iwapo eneo hilo linamilikiwa na Wazanzibari

Unajiuliza, watu hao sasa wahamie wapi

Kwamba nchi iliyo na watu milioni 59+ igawe aridhi yake kwa nchi yenye watu milioni 1+ ???

Nchi ambayo inabeba madeni mengi kutoka huko, kuyalipa bila kujali, deni la mabilioni ya pesa yaliyotokana na malimbikizo ya umeme tumefuta, lakini bado tunaogeshwa matusi na hawaridhiki na wema wetu!

Nchi ambayo kila leo inashuhudia mauwaji ya wakulima na wafugaji kugombania malisho ya mifugo, Isingwezekana kupewa wa Zanzibari

Ni wakati wa Watanganyika sasa kuamka na kudai urithi wao waliopewa na muumbaji!


Kupewa haiwezi kuwa sawa na kununua, hivyo, pewa yao isitishwe rasimi ili shughuri zilizokuwa zikiendelea, ziendelee
 
Kwani alipokuwa hai alisema nini? Kwa taarifa yako, Zanzibar ilipewa ranch ya makurunge zamani wakati baba wa taifa akiwa bado yuko hai. Lengo lilikuwa ni kuipa smz ardhi ili ifuge ng'ombe na kurahisisha upatikanaji wa nyama huko zenji. Kwa hiyo point ya kusema baba wa taifa angesema sijui nini haina mashiko.
 
Kwani alipokuwa hai alisema nini? Kwa taarifa yako, Zanzibar ilipewa ranch ya makurunge zamani wakati baba wa taifa akiwa bado yuko hai. Lengo lilikuwa ni kuipa smz ardhi ili ifuge ng'ombe na kurahisisha upatikanaji wa nyama huko zenji. Kwa hiyo point ya kusema baba wa taifa angesema sijui nini haina mashiko.

..tuue ndege wawili kwa jiwe moja.

..ardhi hiyo igawiwe kwa Watanganyika, wafuge ngombe, wakawauzie Wazanzibar.
 
Hadi hivi sasa huko Razaba, kuna watu wanaendesha shughuri zao za kila siku, na hii ni kwa sababu, hapakuwa na kufahamu iwapo eneo hilo linamilikiwa na Wazanzibari

Unajiuliza, watu hao sasa wahamie wapi

Kwamba nchi iliyo na watu milioni 59+ igawe aridhi yake kwa nchi yenye watu milioni 1+ ???

Nchi ambayo inabeba madeni mengi kutoka huko, kuyalipa bila kujali, deni la mabilioni ya pesa yaliyotokana na malimbikizo ya umeme tumefuta, lakini bado tunaogeshwa matusi na hawaridhiki na wema wetu!

Nchi ambayo kila leo inashuhudia mauwaji ya wakulima na wafugaji kugombania malisho ya mifugo, Isingwezekana kupewa wa Zanzibari

Ni wakati wa Watanganyika sasa kuamka na kudai urithi wao waliopewa na muumbaji!


Kupewa haiwezi kuwa sawa na kununua, hivyo, pewa yao isitishwe rasimi ili shughuri zilizokuwa zikiendelea, ziendelee
Nafikiri ungejifunza kwanza ujue historia ya hilo Eneo na kwanini walipewa wazanzibari, mwalimu JKN ndiye alibariki wazanzibar kupewa Ardhi hiyo.

Hili Eneo limevamiwa na si wananchi wakazi bali ni wahuni ambao walishirikiana na maofisa wa ardhi wakapima viwanja na kuviuza.

Tatizo la ufamizi wa ardhi nchi hii ni kubwa sana, na mbaya kabisa maofisa wa Ardhi wakishirikiana na makampuni ya upimaji wana magenge ya wahuni kazi yao ni kuvamia ardhi na kujimilikisha.
 
Nafikiri ungejifunza kwanza ujue historia ya hilo Eneo na kwanini walipewa wazanzibari, mwalimu JKN ndiye alibariki wazanzibar kupewa Ardhi hiyo.

Hili Eneo limevamiwa na si wananchi wakazi bali ni wahuni ambao walishirikiana na maofisa wa ardhi wakapima viwanja na kuviuza.

Tatizo la ufamizi wa ardhi nchi hii ni kubwa sana, na mbaya kabisa maofisa wa Ardhi wakishirikiana na makampuni ya upimaji wana magenge ya wahuni kazi yao ni kuvamia ardhi na kujimilikisha.

..SMZ ilitelekeza eneo hilo.

..Uamuzi sahihi ni kuligawa kwa wananchi wanaohitaji ardhi.
 
Maaana halisi ya neno RAZABA ni Ranchi ya Zanzibar, Bagamoyo (Ranch of Zanzibar in Bagamoyo) Kwa simulizi kutoka kwa watangulizi wetu eneo la RAZABA ilikuwa ni zawadi ya Mwalimu Nyerere kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na lina ukubwa wa zaidi ya hekta elfu ishirini na nane.

Mto Wami, reli ya Tanga, Barabara ya Bagamoyo Msata, mto ruvu na bahari ya hindi ndio mipaka halisi ya RAZABA. Mmiliki wa RAZABA ni Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Kwa maana halisi, RAZABA ni eneo la Zanzibar ndani ya Tanganyika.

Hayati Mwalimu Nyerere alitoa eneo hilo ili kuwapa fursa Wazanzibari kumiliki mifugo yao wenyewe, na mifugo yote inayotoka maeneo ya Shinyanga, Tabora, Singida, Dodoma na kwingineko kwenda Zanzibar, ifikie RAZABA kabla ya kusafirishwa kwenda kutumiwa na wananchi wa Zanzibar
 
Hadi hivi sasa huko Razaba, kuna watu wanaendesha shughuri zao za kila siku, na hii ni kwa sababu, hapakuwa na kufahamu iwapo eneo hilo linamilikiwa na Wazanzibari

Unajiuliza, watu hao sasa wahamie wapi

Kwamba nchi iliyo na watu milioni 59+ igawe aridhi yake kwa nchi yenye watu milioni 1+ ???

Nchi ambayo inabeba madeni mengi kutoka huko, kuyalipa bila kujali, deni la mabilioni ya pesa yaliyotokana na malimbikizo ya umeme tumefuta, lakini bado tunaogeshwa matusi na hawaridhiki na wema wetu!

Nchi ambayo kila leo inashuhudia mauwaji ya wakulima na wafugaji kugombania malisho ya mifugo, Isingwezekana kupewa wa Zanzibari

Ni wakati wa Watanganyika sasa kuamka na kudai urithi wao waliopewa na muumbaji!


Kupewa haiwezi kuwa sawa na kununua, hivyo, pewa yao isitishwe rasimi ili shughuri zilizokuwa zikiendelea, ziendelee
Tulivyo wa hovyo, Hasira yetu ni Jina "Serikali ya ZANZIBAR"!
Lakini kama angepewa ardhi hiyo muwekezaji Sheikh Mansoor toka falme za uarabuni au Johnson Johnson kutoka Marekani au Amri Abeid toka Unguja kama ilivyo maeneo mengi tusingetia neno. Bado hatuna ufahamu Kuwa serikari zinaweza kufanya uwekezaji kwenye ardhi ya nchi nyingine ili mradi tu masharti na vigezo vinazingatiwa. Tena tafadhari Zanzibar waliomba ardhi kwa ajili ya uwekezaji uzalishaji mifugo, kuna nchi zinaomba ardhi kwa ajili ya kuhifadhi vifaa vita kumwaga taka hatarishi.
 
Kwani alipokuwa hai alisema nini? Kwa taarifa yako, Zanzibar ilipewa ranch ya makurunge zamani wakati baba wa taifa akiwa bado yuko hai. Lengo lilikuwa ni kuipa smz ardhi ili ifuge ng'ombe na kurahisisha upatikanaji wa nyama huko zenji. Kwa hiyo point ya kusema baba wa taifa angesema sijui nini haina mashiko.
Naunga hoja kwa mtoa mada, haiwezekani ukodishe ardhi yako kwa wawekezaji visiwa 30+ kwa hela ya kutupwa ukadai kwa nguvu ardhi uliyopewa kwa hisani kuitumia miaka 50 iliyopita na hukuitumia na watanganyika wenye ardhi yao wameanza kuitumia.
 
Kwani alipokuwa hai alisema nini? Kwa taarifa yako, Zanzibar ilipewa ranch ya makurunge zamani wakati baba wa taifa akiwa bado yuko hai. Lengo lilikuwa ni kuipa smz ardhi ili ifuge ng'ombe na kurahisisha upatikanaji wa nyama huko zenji. Kwa hiyo point ya kusema baba wa taifa angesema sijui nini haina mashiko.

watoto hao wamezaliwa 1999
 
Hadi hivi sasa huko Razaba, kuna watu wanaendesha shughuri zao za kila siku, na hii ni kwa sababu, hapakuwa na kufahamu iwapo eneo hilo linamilikiwa na Wazanzibari

Unajiuliza, watu hao sasa wahamie wapi

Kwamba nchi iliyo na watu milioni 59+ igawe aridhi yake kwa nchi yenye watu milioni 1+ ???

Nchi ambayo inabeba madeni mengi kutoka huko, kuyalipa bila kujali, deni la mabilioni ya pesa yaliyotokana na malimbikizo ya umeme tumefuta, lakini bado tunaogeshwa matusi na hawaridhiki na wema wetu!

Nchi ambayo kila leo inashuhudia mauwaji ya wakulima na wafugaji kugombania malisho ya mifugo, Isingwezekana kupewa wa Zanzibari

Ni wakati wa Watanganyika sasa kuamka na kudai urithi wao waliopewa na muumbaji!


Kupewa haiwezi kuwa sawa na kununua, hivyo, pewa yao isitishwe rasimi ili shughuri zilizokuwa zikiendelea, ziendelee
Utazabwa
 
Kuna nongwa gani Zanzibar kupewa eneo bara?. Wakati mwingine muwe mnaficha ujinga wenu.
 
Kwa maamuzi haya aliyoyafanya nyerere,imeonesha kabisa alikuwa siyo mzalendo kama watu wanavyomsifia.angekuwepo hadi sasa tungemfungulia mashitaka ya kutuhujumu wananchi kuhusu ardhi yetu kuigawia kwa nchi nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadi hivi sasa huko Razaba, kuna watu wanaendesha shughuri zao za kila siku, na hii ni kwa sababu, hapakuwa na kufahamu iwapo eneo hilo linamilikiwa na Wazanzibari

Unajiuliza, watu hao sasa wahamie wapi

Kwamba nchi iliyo na watu milioni 59+ igawe aridhi yake kwa nchi yenye watu milioni 1+ ???

Nchi ambayo inabeba madeni mengi kutoka huko, kuyalipa bila kujali, deni la mabilioni ya pesa yaliyotokana na malimbikizo ya umeme tumefuta, lakini bado tunaogeshwa matusi na hawaridhiki na wema wetu!

Nchi ambayo kila leo inashuhudia mauwaji ya wakulima na wafugaji kugombania malisho ya mifugo, Isingwezekana kupewa wa Zanzibari

Ni wakati wa Watanganyika sasa kuamka na kudai urithi wao waliopewa na muumbaji!


Kupewa haiwezi kuwa sawa na kununua, hivyo, pewa yao isitishwe rasimi ili shughuri zilizokuwa zikiendelea, ziendelee
Vi
Hadi hivi sasa huko Razaba, kuna watu wanaendesha shughuri zao za kila siku, na hii ni kwa sababu, hapakuwa na kufahamu iwapo eneo hilo linamilikiwa na Wazanzibari

Unajiuliza, watu hao sasa wahamie wapi

Kwamba nchi iliyo na watu milioni 59+ igawe aridhi yake kwa nchi yenye watu milioni 1+ ???

Nchi ambayo inabeba madeni mengi kutoka huko, kuyalipa bila kujali, deni la mabilioni ya pesa yaliyotokana na malimbikizo ya umeme tumefuta, lakini bado tunaogeshwa matusi na hawaridhiki na wema wetu!

Nchi ambayo kila leo inashuhudia mauwaji ya wakulima na wafugaji kugombania malisho ya mifugo, Isingwezekana kupewa wa Zanzibari

Ni wakati wa Watanganyika sasa kuamka na kudai urithi wao waliopewa na muumbaji!


Kupewa haiwezi kuwa sawa na kununua, hivyo, pewa yao isitishwe rasimi ili shughuri zilizokuwa zikiendelea, ziendelee
Vipi na Wazanzibari kupewa ukanda wote wa mwambao meli kumi ambao walikuwa wakiumuliki?
 
Hadi hivi sasa huko Razaba, kuna watu wanaendesha shughuri zao za kila siku, na hii ni kwa sababu, hapakuwa na kufahamu iwapo eneo hilo linamilikiwa na Wazanzibari

Unajiuliza, watu hao sasa wahamie wapi

Kwamba nchi iliyo na watu milioni 59+ igawe aridhi yake kwa nchi yenye watu milioni 1+ ???

Nchi ambayo inabeba madeni mengi kutoka huko, kuyalipa bila kujali, deni la mabilioni ya pesa yaliyotokana na malimbikizo ya umeme tumefuta, lakini bado tunaogeshwa matusi na hawaridhiki na wema wetu!

Nchi ambayo kila leo inashuhudia mauwaji ya wakulima na wafugaji kugombania malisho ya mifugo, Isingwezekana kupewa wa Zanzibari

Ni wakati wa Watanganyika sasa kuamka na kudai urithi wao waliopewa na muumbaji!


Kupewa haiwezi kuwa sawa na kununua, hivyo, pewa yao isitishwe rasimi ili shughuri zilizokuwa zikiendelea, ziendelee
Muwe mnaelewa nyie watu!!

Kwasasa visiwa vinakodishwa KWA ma miaka mengi sasa ILI kubalance equation tunawapa Bara eneo ILI kuua kiburi chao cha upemba na uunguja!yaani tuna kodisha visiwa KWA muda mrefu wanakosa ardhi kubwa ya kiuchumi wanahamia Bara hapo Bagamoyo halafu kile kiburi cha uzanzibari kina kufa wanalipwa watz wote baada ya miaka kama 50 itakua ngumu kutofautisha mtanganyika na mzanzibari!!

Maoni huru haya ya mlipa kodi asiekwepa!
 
Back
Top Bottom