Hadi hivi sasa huko Razaba, kuna watu wanaendesha shughuri zao za kila siku, na hii ni kwa sababu, hapakuwa na kufahamu iwapo eneo hilo linamilikiwa na Wazanzibari
Unajiuliza, watu hao sasa wahamie wapi
Kwamba nchi iliyo na watu milioni 59+ igawe aridhi yake kwa nchi yenye watu milioni 1+ ???
Nchi ambayo inabeba madeni mengi kutoka huko, kuyalipa bila kujali, deni la mabilioni ya pesa yaliyotokana na malimbikizo ya umeme tumefuta, lakini bado tunaogeshwa matusi na hawaridhiki na wema wetu!
Nchi ambayo kila leo inashuhudia mauwaji ya wakulima na wafugaji kugombania malisho ya mifugo, Isingwezekana kupewa wa Zanzibari
Ni wakati wa Watanganyika sasa kuamka na kudai urithi wao waliopewa na muumbaji!
Kupewa haiwezi kuwa sawa na kununua, hivyo, pewa yao isitishwe rasimi ili shughuri zilizokuwa zikiendelea, ziendelee
Unajiuliza, watu hao sasa wahamie wapi
Kwamba nchi iliyo na watu milioni 59+ igawe aridhi yake kwa nchi yenye watu milioni 1+ ???
Nchi ambayo inabeba madeni mengi kutoka huko, kuyalipa bila kujali, deni la mabilioni ya pesa yaliyotokana na malimbikizo ya umeme tumefuta, lakini bado tunaogeshwa matusi na hawaridhiki na wema wetu!
Nchi ambayo kila leo inashuhudia mauwaji ya wakulima na wafugaji kugombania malisho ya mifugo, Isingwezekana kupewa wa Zanzibari
Ni wakati wa Watanganyika sasa kuamka na kudai urithi wao waliopewa na muumbaji!
Kupewa haiwezi kuwa sawa na kununua, hivyo, pewa yao isitishwe rasimi ili shughuri zilizokuwa zikiendelea, ziendelee