Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,117
- 49,469
poa poaHalafu nina ishu na wewe njoo piemu basi
poa poaHalafu nina ishu na wewe njoo piemu basi
10,000 Tzs, AiseeMbona ndo bei mkuu had 10k
Nzuri sana..nzito ...10,000 Tzs, Aisee
Juzijuzi 10,000Nzuri sana..nzito ...
Ila wanaume mnapendeza sana mkivaaga hizi kadet...masuruali ya vitambaa achien wasukumaJuzijuzi 10,000
1)nimenunua suruali ya kitambaa Executive kabisa
2)Mashati mawili Safi
4)Pesa ya kwafundi humohumo
5)Na chenji nimekula mishikaki yakutosha
Masuala ya Interview na connection lazima uwe kwenye Code of ethics shangazi.Ila wanaume mnapendeza sana mkivaaga hizi kadet...masuruali ya vitambaa achien wasukuma
Hahahahahaa....kumbe za interview🤣🤣🤣...dah...hongeraMasuala ya Interview na connection lazima uwe kwenye Code of ethics shangazi.
Mavazi yangu ya mtaani modo kalii inakamata chini damu haipiti nawekaga na zipu unyama tu
Wana jf Wenzangu hiyo biashara ndo nimeona Kwangu sijapenda wala kutaka kuwa omba omba mnaposema kuuza simu hii nimepewa tu na mtu kutumia, sina jinsi naomba nipambane tu na hali yangu, sina jinsi na mnaposema kujichanganya kitaa nimeshatafuta kazi za barua mpaka nimechoka, mi siwezi kumlazimisha mtu anisaidie nimeshaonekana tapeli humu JF naomba niwaache tu ntakuwa nachangia kama uzi ukitaka nifanye hivyo, nashukuru kwa wengine kunipa moyo Asante sana🙏🙏😔🚶🚶
Kutana na huyuWana jf Wenzangu hiyo biashara ndo nimeona Kwangu sijapenda wala kutaka kuwa omba omba mnaposema kuuza simu hii nimepewa tu na mtu kutumia, sina jinsi naomba nipambane tu na hali yangu, sina jinsi na mnaposema kujichanganya kitaa nimeshatafuta kazi za barua mpaka nimechoka, mi siwezi kumlazimisha mtu anisaidie nimeshaonekana tapeli humu JF naomba niwaache tu ntakuwa nachangia kama uzi ukitaka nifanye hivyo, nashukuru kwa wengine kunipa moyo Asante sana🙏🙏😔🚶🚶
Haahaaa jamani dahmkuu, tatizo hatukuamini kama ni kweli unatafuta hela ya mtaaji au ya kvant
Sina rafiki mwenye msaada wowote kwangu binadamu yoyote anajua kilichomzunguka ni kitu gani?Hujasimangwa mkuu....kuna watu tulisimangwa na familia....wewe cha mtoto mbona..tena hiyo ikupe nguvu kutafta chako ..ushauri wa tembo wangu ufatilie...katika hiyo list ya 50 friends add me...mbona utapata tu.....kubali na pendwa kusimangwa inaamsha ari fulani sana...usipende kusifiwa kamwe!
Ohhh sawaSina rafiki mwenye msaada wowote kwangu binadamu yoyote anajua kilichomzunguka ni kitu gani?
Sina rafiki mwenye msaada wowote kwangu
katika hiyo list ya 50 friends add me...mbona utapata tu.
10k hapo nachukua tatu zilizofungwa. Mtaa mgumu sana kumuuzia mtu boksa moja kwa elfu tatu. Mtu anayeweza toa 5k kwa boksa moja basi huyo hanunui rejareja za mkononi, ananunua zilizofungwa. Naamini biashara ni uhalisiaMbona ndo bei mkuu had 10k
Yakinikuta Kama yako! Nilikuwa Nina kabiashara kakuuza mishikaki barabarani nikawa napata Faida 8,000-12,000 kwa siku nilikuwa naanza biashara saa 12 jioni mpk saa 4 usiku..
Sasa Basi nikataka nikuze mataji kwa kuongeza ndizi Choma na za kukaanga pamoja kuongeza mda wa kufungia badala ya Saa 12 iwe saa 9 jioni.. ebwana ehee niliangaika Sana kupata 50,000..
MUNGU mkubwa now nimeajiliwa nalipwa zaidi ya laki 900k per monthly....
It's true bt kwa kuanzia sio mbaya!.Wazo zuri ila hio model ni uchuuzi tu. Haina value addition.