Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,240
- 9,527
Nianze kwa kuomba samahani kwa niliowakwaza kwa heading hapo juu!
I am a realist and I wish to remain so!
Upinzani haujafa kama JPM alivyotamaani ila umeumia!
Our house isn't in orderWe can't realistically mount a challenge against Membe come 2020!
I want to forget about JPM because he is not even a challenger.
Nawashauri viongozi wangu tukae chini na Membe kabla. Tukae nae sasa tukiwa na 'leverage'.
Atuhakikishie kutakuwa na a level field of play kwenye uchaguzi wa wabunge na madiwani ili sisi tumuongezee nguvu kwenye urais.
Membe is not a foolish guy, hatafanya yanayofanyika sasa akiwa rais.
Wakati huo 'we bring order in our house'.
Na tunajipanga kuchalenge kwenye chaguzi za mbele kuliko ilivyokuwa 2015.
Samahani kwa nitakaokua nimewakera.
Haya ni mawazo yangu binafsi!
Tumsupport akiwa CCM
I am a realist and I wish to remain so!
Upinzani haujafa kama JPM alivyotamaani ila umeumia!
Our house isn't in orderWe can't realistically mount a challenge against Membe come 2020!
I want to forget about JPM because he is not even a challenger.
Nawashauri viongozi wangu tukae chini na Membe kabla. Tukae nae sasa tukiwa na 'leverage'.
Atuhakikishie kutakuwa na a level field of play kwenye uchaguzi wa wabunge na madiwani ili sisi tumuongezee nguvu kwenye urais.
Membe is not a foolish guy, hatafanya yanayofanyika sasa akiwa rais.
Wakati huo 'we bring order in our house'.
Na tunajipanga kuchalenge kwenye chaguzi za mbele kuliko ilivyokuwa 2015.
Samahani kwa nitakaokua nimewakera.
Haya ni mawazo yangu binafsi!
Tumsupport akiwa CCM